Chadema mnamuogopa lema?..anafanya nini mpaka leo cc??

Chadema mnamuogopa lema?..anafanya nini mpaka leo cc??

Kikwete+LEMA+mnyika+wewe wote ni viraza tu na ni gasses kwa taiga hili....

Kenge wewe angalia thread yako sio unaanza kutoka nje ya maada na una mention majina ya kina M.kwere,Mnyika na kamanda LEMA... kama umeshindwa kuutetea huu uzi wako andika email kwa Mods kwenda support@jamiiforums.com waufute huu uzi wako... maana uzi wako mpaka ushaanza kujaa Nzi jinsi unavyotia kinyaa
 
Kumbe Mnyika alikimbia shule ndio maana CV yake ktk website ya bunge haionekani.

Turudi kwenye mada Lema si mwanasiasa ni mwanaharakati wa kichaga anayedhani jazba ndio siasa. Kwa mtu alienda shule na kupanua kichwa chake hawezi kumtetea Lema. Naona taaabu kuelezea udhaifu wake huyu
jamaa wameshapenda chongo sasa wanaona kengeza...
 
Ndugu zangu, kwa Hali ya kawaida mbunge ni Yule mwenye access ya kuingia bungeni na kufanya shuhuli za kibunge Kama kamati za kudumu nakadhalika. Ndugu yangu GODBLESS LEMA yeye alichaguliwa na wabunge kuwa mjumbe wa kamati kuu kupitia zile nafasi tano za Wajumbe wa kamati kuu kupitia wabunge..swali la kujiuliza ni kwanini hata baada ya kuenguliwa na mahakama kuwa mbunge bado anaruhusiwa kuingia kwenye kamati kuu ya chadema? Ni kwanini wabunge wasipewe nafasi ya kuchagua mbunge mwingine awe mjumbe wa kamati kuu?...na kwanini Chama kinamtumia LEMA mtu asiye hata na sifa yoyote kwenye jamii kwenda Kuje ga Chama mikoani?..sehemu nyingi alizopita amekuwa akilalamikiwa kuwa anafanya siasa za kibaguzi, je ni kuitimiza ile kauli kuwa kiongozi yeyote wa CDM ni lazima atokee sehemu Fulani Fulani maw nchi hii?...nimefuatilia wasifu wake akiwa bungeni kwa makini, na nimegundua tangu Ameingia
mpaka ametoka bungeni ameuliza swali la msingi moja tu na la nyongeza moja, na amechangia Mara kumi tu kwa siku zone zaidi ya 200 alizokaa bungeni....nafahamu kuwa kuna watu nitawakwaza lakini ninawaomba muyajadili niliyoyasema na Msiende nje ya mada.

ww mpuuz* na bonge la *****.
 
Mkuu Manyanza hizi ni zile product zilizo toroka mirembe jihadhari nazo utapoteza muda bure

Wafuasi wa CHADEMA wamezoea kusifiwa tu. Ukitaka kuwaudhi we kosoa chama chao. Busara huwaondoka haraka na utawaona watu wazima wakitokwa na povu mdomoni wakitukana na kutoa maneno ya kashfa na matusi. Ushauri wa bure: ukizoea kusifiwa uzoee na kukosolewa.
 
Kenge wewe angalia thread yako sio unaanza kutoka nje ya maada na una mention majina ya kina M.kwere,Mnyika na kamanda LEMA... kama umeshindwa kuutetea huu uzi wako andika email kwa Mods kwenda support@jamiiforums.com waufute huu uzi wako... maana uzi wako mpaka ushaanza kujaa Nzi jinsi unavyotia kinyaa
swala la msingi, LEMA anasubiri nini CC ya CHADEMA na ubunge kashavuliwa?...nisaidie kujibu hili swali Tafazali
 
ww mpuuz* na bonge la *****.

Wafuasi wa CHADEMA wamezoea kusifiwa tu. Ukitaka kuwaudhi we kosoa chama chao. Busara huwaondoka haraka na utawaona watu wazima wakitokwa na povu mdomoni wakitukana na kutoa maneno ya kashfa na matusi. Ushauri wa bure: ukizoea kusifiwa uzoee na kukosolewa.
 
@ Precise pangolin, wakati mwingine mpuuzi kama aliyeletea huu uzi huwa wanaboa mpaka wanaweza kusababisha BAN zisizo na ulazima, yaani nikiangalia jinsi bunge linavyoendeshwa na huu upuuzi wa baadhi ya Members humu nabaki nasaga meno kwa hasira tu.

Wafuasi wa CHADEMA wamezoea kusifiwa tu. Ukitaka kuwaudhi we kosoa chama chao. Busara huwaondoka haraka na utawaona watu wazima wakitokwa na povu mdomoni wakitukana na kutoa maneno ya kashfa na matusi. Ushauri wa bure: ukizoea kusifiwa uzoee na kukosolewa.
 
ww mpuuz* na bonge la *****.

Wapuuzi tumekutana...Mimi nimesema ukweli kuwa LEMA hapaswi kuendelea kuwa mjumbe wa CC ya chadema kwa kujibu wa katiba na wewe umekuja kuonyesha upuuzi wako kwa outdrew UNO ga...hi Gera sana
 
John mnyika + rais wote sawa tu, tofauti pekee ni kwamba rais yeye Ali Aliza degree Yake japokuwa alipata gentlemen na mnyika yeye amekimbia shule kama boss wake...rudi tu kwenye hoja yangu

w ni ka.haba* kama m.bwa*
 
Wafuasi wa CHADEMA wamezoea kusifiwa tu. Ukitaka kuwaudhi we kosoa chama chao. Busara huwaondoka haraka na utawaona watu wazima wakitokwa na povu mdomoni wakitukana na kutoa maneno ya kashfa na matusi. Ushauri wa bure: ukizoea kusifiwa uzoee na kukosolewa.

baadhi Yao tu mkuu sio wote...hata Mimi ni mwanachama kabisa na natetea na kusema ukweli.
 
Kikwete+LEMA+mnyika+wewe wote ni viraza tu na ni gasses kwa taiga hili....

Sema tu kwa kifupi kwamba, wanasiasa wote ni dhaifu.
The unseen is illustrated by the seen.
 
Shebby nikuulize swali kwanini mpaka sasa uchaguzi mdogo haujafanyika Arusha mjini? Ukijibu hilo utapata jibu lako tu
 
Ndugu zangu, kwa Hali ya kawaida mbunge ni Yule mwenye access ya kuingia bungeni na kufanya shuhuli za kibunge Kama kamati za kudumu nakadhalika. Ndugu yangu GODBLESS LEMA yeye alichaguliwa na wabunge kuwa mjumbe wa kamati kuu kupitia zile nafasi tano za Wajumbe wa kamati kuu kupitia wabunge..swali la kujiuliza ni kwanini hata baada ya kuenguliwa na mahakama kuwa mbunge bado anaruhusiwa kuingia kwenye kamati kuu ya chadema? Ni kwanini wabunge wasipewe nafasi ya kuchagua mbunge mwingine awe mjumbe wa kamati kuu?...na kwanini Chama kinamtumia LEMA mtu asiye hata na sifa yoyote kwenye jamii kwenda Kuje ga Chama mikoani?..sehemu nyingi alizopita amekuwa akilalamikiwa kuwa anafanya siasa za kibaguzi, je ni kuitimiza ile kauli kuwa kiongozi yeyote wa CDM ni lazima atokee sehemu Fulani Fulani maw nchi hii?...nimefuatilia wasifu wake akiwa bungeni kwa makini, na nimegundua tangu Ameingia
mpaka ametoka bungeni ameuliza swali la msingi moja tu na la nyongeza moja, na amechangia Mara kumi tu kwa siku zone zaidi ya 200 alizokaa bungeni....nafahamu kuwa kuna watu nitawakwaza lakini ninawaomba muyajadili niliyoyasema na Msiende nje ya mada.

Haka kagamba bado kapya kapya kanaweza kungoka twendeni nako taratibu ni kalaini ka kasamaki dawa yake kisu kikali.
 
Shebby nikuulize swali kwanini mpaka sasa uchaguzi mdogo haujafanyika Arusha mjini? Ukijibu hilo utapata jibu lako tu

Swali la msingi ni kwamba je, LEMA ni mbunge au sio mbunge?....ukivuliwa ubunge maana Yake unapoteza sifa zone za kibunge, ndoo maana Jana kambi ya upinzani imemteua mbunge mwingine kusikia uwaziri kivuli wa mambo ya ndani badala ya LEMA...sasa kwanini isimchague na mjumbe mwingine wa cc?..uwakilishi wa wabunge cc hauhitqji kusubiri maamuzi ya mahakama
 
Ndugu zangu, kwa Hali ya kawaida mbunge ni Yule mwenye access ya kuingia bungeni na kufanya shuhuli za kibunge Kama kamati za kudumu nakadhalika. Ndugu yangu GODBLESS LEMA yeye alichaguliwa na wabunge kuwa mjumbe wa kamati kuu kupitia zile nafasi tano za Wajumbe wa kamati kuu kupitia wabunge..swali la kujiuliza ni kwanini hata baada ya kuenguliwa na mahakama kuwa mbunge bado anaruhusiwa kuingia kwenye kamati kuu ya chadema? Ni kwanini wabunge wasipewe nafasi ya kuchagua mbunge mwingine awe mjumbe wa kamati kuu?...na kwanini Chama kinamtumia LEMA mtu asiye hata na sifa yoyote kwenye jamii kwenda Kuje ga Chama mikoani?..sehemu nyingi alizopita amekuwa akilalamikiwa kuwa anafanya siasa za kibaguzi, je ni kuitimiza ile kauli kuwa kiongozi yeyote wa CDM ni lazima atokee sehemu Fulani Fulani maw nchi hii?...nimefuatilia wasifu wake akiwa bungeni kwa makini, na nimegundua tangu Ameingia
mpaka ametoka bungeni ameuliza swali la msingi moja tu na la nyongeza moja, na amechangia Mara kumi tu kwa siku zone zaidi ya 200 alizokaa bungeni....nafahamu kuwa kuna watu nitawakwaza lakini ninawaomba muyajadili niliyoyasema na Msiende nje ya mada.
sheeby1,sifa gani ambayo unataka awe nayo kwenye jamii.au kwa vile ulshazoea wanasiasa wenye pesa kama lowasa,chenge,lostamu,na wengine kama hao?maana hiyo sifa sijajua.si ni raia mwema wa tanzania na ni mwanachama wa chama pia anahaki ya kuwa kiongozi??????nipashe bwana
 
Mkuu unaweza kunitajia ni kipengele kipi cha katiba ili na mimi nikipitie pitie?

Fungus katiba ya chadema kipengele cha Wajumbe wa kamati kuu na wanavyopatikana, ipo katika sehemu ya bio Gozo wa kitaifa na vikao vya kitaifa...
 
sheeby1,sifa gani ambayo unataka awe nayo kwenye jamii.au kwa vile ulshazoea wanasiasa wenye pesa kama lowasa,chenge,lostamu,na wengine kama hao?maana hiyo sifa sijajua/si ni raia mwema wa tanzania na ni mwaqnachama wa chama pia anahaki ya kuwa kiongozi??????nipashe bwana

sifa Yake kubwani kwamba amesoma Cambridge university of London na amechukua advance diploma in proper management of people....hiyo ndoo sifa Yake kubwani anayonizidi Mimi.
 
Back
Top Bottom