Chadema mnamuogopa lema?..anafanya nini mpaka leo cc??

Chadema mnamuogopa lema?..anafanya nini mpaka leo cc??

mkuu karibu jamii forums Join Date : 26th May 2012
Posts : 23Rep Power : 308Likes Received:0
Likes Given:5 ni jambo jema kuchukua hata dakika chache kusoma katiba ya chadema au kuangalia kanuni na taratibuu zinazoiongoza chadema na siyo kukurupuka na kusema maneno ambayo hayana maaana kwa jamii zaidi ya kuendeleza kujenga chuki kwa jamii na kuigawa nchi yetu ya Tanganyika kwa wale wanaoamini ivyo na Tanzania kwa wale wenngi
kuna kitu ulikuwa unataka kukisema ukashindwa kuandika au ndio uwezo wako umeishia hapo?..q
 
kuna kitu ulikuwa unataka kukisema ukashindwa kuandika au ndio uwezo wako umeishia hapo?..q

kimsingi ungekuwa umejaribu kusoma hizi document au miongozo inayoongoza chadema nadhani ungekuwa umesave muda na nguvu nyingi za kujibizana na watu hapa.kimsingi ni kuwa kunaweza kukawepo na taratibu zilizowekwa kumpatia ujumbe lema kwenye cc lakini kukawa hakuna kipengele ambazo kimeshindwa kuelezea kuwa ukomo wake utakoma pindi atakapopoteza nafasi yake ya kuwa mbunge.
 
hebu fafanua hii hoja yako na usil;ete viroja? mimi nitajie angalau sehemu 10 alizopita akawa analalamikiwa kua anafanya siasa za kibaguzi

Achana na huyu kilaza. Akutajie angalau sehemu kumi ili iweje?. yeye mwenyewe ana nya wima.
anadandia gari moshi kwa mbele. hana focus kiwewe tu huyo. amehudhuria mikutano mingapi ya Lema toka azaliwe juzi.
 
nadhani unajua kuwa umekosea hivyo sioni sababu ya kukupatia jibu
 
Denti wa Lumumba karibu sana Jf!Mulimvua ubunge wenyewe na kumfanya mbunge wa Tanzania Nzima kwasasa yupo na M4C anazunguka nchi nzima atawagaragaza mpaka mkome!Swala la yeye kuwa Kwenye CC ya CDM nafikiri huu ni utaratibu wa CDM na siyo CCM kama unaushauri wapeleke Lumumba.
 
Fanya utafiti vizuri utaelewa Kwanini Arusha Lema ni mbunge mioyoni mwa wana Arusha. Na mtakoma kumpumzisha Ubunge maana anaendelea kuwatesa kila anapopita nchi hii.
 
Lema alichaguliwa na wana wa Arusha kuwa mbunge wao awawakilishe bungeni. Hiyo ndiyo sifa iliyomwezesha Lema kuwa mjumbe wa CC ya chama. Watu wa Arusha hawajamkataa kwamba sio mbunge wao na wala hawajampigia kura mbunge mwingine. Hivyo basi sifa za kuwa mjumbe wa CC bado anazo. Anawawakilisha waliomchagua kwenye hiyo CC. Kama chama kingeona kwamba Lema hakuchaguliwa kihalali kisinge hata mteua kuwa mjumbe. Kisinge subiri mpaka wanaCCM waende mahakamani kupinga uhalali wa ubunge wa Lema. Na isitoshe Lema amekata rufaa kupinga maamuzi tata ya Mahakama na amepata baraka zote za chama. Hivyo kumuondoa Lema kwenye CC ni sawasawa na kubariki au kukubaliana na maamuzi ya mahakama ambayo yanashukiwa kuwa influenced na viongozi wa CCM.
 
Back
Top Bottom