CHADEMA mnamkomboa nani?

CHADEMA mnamkomboa nani?

Pilitoni

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2011
Posts
1,201
Reaction score
515
Hiki chama kila siku kinajipambanua kuwa kipo kwa ajili cha kumkomboa mtanzania.Hii ni fedheha kubwa kwa umma wa tanzania na asiyekifahamu vizuri hiki chama ni wa kuonea huruma sana sana.Chama hiki kina wenyewe na ni kama biashara tu kama biashara zingine, cha ajabu sana watu tunaowaita eti wasomi kama akina kitila mkumbo nao wamekubali kuingia ktk mtego huu wa ajabu! Nikiambiwa kuchagua kati ya shetani na chadema,bora shetani kuliko chadema chama hatari kwa mustakabali wa Tanzania
 
CHADEMA kipo kwa ajili ya kuwakomboa wale wakulima na wafanyakazi waliokuwa wamekombolewa na TANU baadae ccm ikaja kuwadharau kisha kuwatelekeza na kuwanyonya jasho lao kitapelitapeli yaani kisanii haswaa kifisadi huku ikiwaacha bila matibabu ya uhakika,elimu majanga kiasi kwamba ni umaskini juu ya umaskini,majanga juu ya majanga na vifo vya kupanga na kujitakia twamsingizia "ALLAH".>>>>Waalah hata yeye MAULANA hawezi kukubali nchi kuendelea kukaa mikononi mwenu.Aamin!
 
Bwana eeh. Hata Mobutu, Banda na Idd Amin waliwahi kuwa wakombozi Wakati fulani. Bokassa pia. Amini usiamini, Chadema pia ni wakombozi. Sijui wanamkomboa nani lakini ni wakombozi. Hii ni Africa na wao ni waafrika.
DUH. Imagine kukombolewa na Lema. Eeh Mungu tunusuru.
 
Hiki chama kila siku kinajipambanua kuwa kipo kwa ajili cha kumkomboa mtanzania.Hii ni fedheha kubwa kwa umma wa tanzania na asiyekifahamu vizuri hiki chama ni wa kuonea huruma sana sana.Chama hiki kina wenyewe na ni kama biashara tu kama biashara zingine, cha ajabu sana watu tunaowaita eti wasomi kama akina kitila mkumbo nao wamekubali kuingia ktk mtego huu wa ajabu! Nikiambiwa kuchagua kati ya shetani na chadema,bora shetani kuliko chadema chama hatari kwa mustakabali wa Tanzania

kinakukomboa wewe na ukoo wako mzima wa sasa na wa baadae...mijitu mingine bhana!! we una amani kabisa na utawala wa CCM? sina haja ya kuelezea make ukiongozwa na dhaifu nawe ni dhaifu, Piliton macho na masikio yako ni dhaifu!
 
Chadema 😛eace:nguvu ya umma.2015 ushindi :whoo: unakuja..njia ya mabadiliko ya kweli ni 😛eace:chadema.
 
Hahahahahahahahahaha

Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai...
Hahaha hahaha hahaha magamba ni chama kinacho endeshwa katika misingi ya ubakaji wa wasichana chini ya miaka 18...wizi, ufisadi, rushwa , uongo, umbeya , unafiki, uchawi na uzandiki.
 
Bwana eeh. Hata Mobutu, Banda na Idd Amin waliwahi kuwa wakombozi Wakati fulani. Bokassa pia. Amini usiamini, Chadema pia ni wakombozi. Sijui wanamkomboa nani lakini ni wakombozi. Hii ni Africa na wao ni waafrika.
DUH. Imagine kukombolewa na Lema. Eeh Mungu tunusuru.

Au Slaa!

Majanga.
 
Hiki chama kila siku kinajipambanua kuwa kipo kwa ajili cha kumkomboa mtanzania.Hii ni fedheha kubwa kwa umma wa tanzania na asiyekifahamu vizuri hiki chama ni wa kuonea huruma sana sana.Chama hiki kina wenyewe na ni kama biashara tu kama biashara zingine, cha ajabu sana watu tunaowaita eti wasomi kama akina kitila mkumbo nao wamekubali kuingia ktk mtego huu wa ajabu! Nikiambiwa kuchagua kati ya shetani na chadema,bora shetani kuliko chadema chama hatari kwa mustakabali wa Tanzania


Hapo sasa mantiki yako ni chuki za kibinafsi… kama shetani ni bora zaidi ya Chadema; vipi je, CUF, NCCR ?
 
Bwana eeh. Hata Mobutu, Banda na Idd Amin waliwahi kuwa wakombozi Wakati fulani. Bokassa pia. Amini usiamini, Chadema pia ni wakombozi. Sijui wanamkomboa nani lakini ni wakombozi. Hii ni Africa na wao ni waafrika.
DUH. Imagine kukombolewa na Lema. Eeh Mungu tunusuru.

Hao wote wana DAMU mikononi mwao; sasa na Lema pia? nilidhani yale mabomu ya Arusha yalitoka CHINA...

Kuweni makini na chuki zenu… sababu Demokrasia haina chuki mlizonazo nyinyi mionyoni mwenu… ndio maana hamfai kuishi nchini Tanganyika… nendeni kwenye hayo mafaifa yanayopenda CHUKI na GHARIKA...

Lema hakuua ili awe MBUNGE kama hao uliowataja hapo juu...
 
Bwana eeh. Hata Mobutu, Banda na Idd Amin waliwahi kuwa wakombozi Wakati fulani. Bokassa pia. Amini usiamini, Chadema pia ni wakombozi. Sijui wanamkomboa nani lakini ni wakombozi. Hii ni Africa na wao ni waafrika.
DUH.

Hata Rhodesia ilikuwa nchi huru chini ya rais Smith na chama chake, lakini kina Mgabe hawakuuona uhuru huo wakaanza mikakati ya kuwakomboa. Tofauti ya uhuru wa Rhodesia na wa sisi hapa sio kubwa. Smith alikuwa mzungu akimiliki sehemu kubwa ya uchumi na wazungu wenzake kukiwamo ardhi, madini, siasa, maliasili, nk... Kwetu walio waswahili wenzetu utakuta uchumi umekaa kifamilia kadhaa na sheria zimewekwa kulinda hilo milele mgongoni mwa CCM mfano sheria ya mikopo kwa elimu ya juu na sera ya elimu kwa ujumla. Jiulize hawa akina Rostam ktk harakati zao kupanga safu za uongozi wa nchi huwa wanamfikiria mkulima wa Karagwe? Ebu tofautisha wao na Mengi. Jiulize kwnn Kambarage alijitosa kuwasaidia kina MUGABE? Kama CCM ndani ya miaka 52 ni SMITH, kwnn tusijaribu CDM?
 
Au Slaa!

Majanga.

Kweli unaweza kutupa hayo majanga? kwani hakuchaguliwa kwa DEMOKRASIA ya kweli kuwa MBUNGE? Au unataka kusema MABOMU ya ARUSHA ya MIKUTANO ya CHADEMA ?

Hapo ndipo invyoonyesha ufinyi wa uelewa wa baadhi ya watanganyika kuhusu DEMOCRASIA: na Unaishi nchi inayofuata Demokrasia, lakini nchini kwako unaona ni kama vile MAJANGA&#8230; <sasa majanga ni yapi hayo??

Unaweza kuyataja?

Au in basi tu chuki zilizoko <moyoni hata kama kizuri kikitendeka kwako bado sababu unamchukia aliyetenda ni MAJANGA?
 
Piliton yawezekana una chuki na cdm japo mie si mwana cdm.Hakuna sentesi ya kuiona cdm Haifa wakati wewe hujasema nini hasa kikufa nyacho ukione hakifai?.Siku nyingine uwe una a dika mawazo mema ili tutafakari kwa undani pamoja
 
CHADEMA inakomboa watoto wanaobakwa na kunajisiwa na MaCCM huku wakiambukizwa ukimwi na makapuya bila hatua zozote kuchukuliwa na dola iliyowekwa mfukoni na mafisadi wachache...

CHADEMA inakomboa Tembo wanaouliwa kila kukicha na makinana ambayo ndio maviongozi ya juu ya maccm huku Tembo wakibaki helpless na hatarini kutoweka wakati hakuna mwanaccm hata mmoja anayewajali...

CHADEMA inakomboa akina mama wanaojifungua kwa kulala sakafuni, wanaobahatika kulala kitandani wanalala wanne, huku mafisadi ya CCM yakitibiwa nje ya nchi au katika hospital zao chache teule. Mafisadi ya CCM yamejitenga na walalahoi, wao V8 sisi Bajaj ambulance...

CHADEMA inakomboa watoto wa watanzania wanaosoma kwa kukaa chini, bila kuwa na vitabu wala maabara na mwishowe wanaishia KUONJESHWA ELIMU. Watoto hawa walioonjeshwa elimu bila kuipata wanaishia kuteseka na maisha magumu bila ajira na hivyo kugeuka wachuuzi na bidhaa mikononi huku mabinti wakiamua kujiuza ya maccm makapuya yanawaambukiza ukimwi na ndoto zao za maisha zinazimika...

More to come...
 
CDM mwisho wao 2015 kwani baada ya hapo hakitakuwepo kwenye ramani! Maana hawataamini kitakachotokea!
 
Hiki chama kila siku kinajipambanua kuwa kipo kwa ajili cha kumkomboa mtanzania.Hii ni fedheha kubwa kwa umma wa tanzania na asiyekifahamu vizuri hiki chama ni wa kuonea huruma sana sana.Chama hiki kina wenyewe na ni kama biashara tu kama biashara zingine, cha ajabu sana watu tunaowaita eti wasomi kama akina kitila mkumbo nao wamekubali kuingia ktk mtego huu wa ajabu! Nikiambiwa kuchagua kati ya shetani na chadema,bora shetani kuliko chadema chama hatari kwa mustakabali wa Tanzania

Wewe mtoa mada Ni mchumia tumbo, umekengeuka Tu ili upate buku Saba. Umesahau kuwa kwa miaka 52 ya utawala WA maCCM yako bado hatuna umeme, waliobahatika kuupata ni wa mgao, hatuna maji majumbani, hatuna dawa mahospitalini. Rasilimali zote mafisadi wa CCM wamezigawa kwa wageni huku wazawa tukiambiwa tukauze juice.

Kama huoni kuwa kwa matatizo haya yaliyopo ukombozi unahitajika kesho panda basi nenda MILEMBE ukatibiwe ukichaa.
 
CDM mwisho wao 2015 kwani baada ya hapo hakitakuwepo kwenye ramani! Maana hawataamini kitakachotokea!

Kama unadhani mtu aliyedhulumiwa korosho zake au Pamba yake. Au mtu anayetumia siku nzima kutafuta maji ya kunywa, au mtu anayekula mlo mmoja atachagua tena CCM basi Ni heri mkamfufue Sheikh Yahya aje atuloge watanzania. 2015 mafisadi mtachaguana wenyewe, CHADEMA itabaki na wananchi wake. Mnachoshindwa kujua nyinyi mijinga ya CCM Ni kuwa wananchi hatudanganyiki tena na kanga. Tumeonjeshwa elimu lakini hatujaipata, hivyo tunajua kuwa hatutachagua longolongo, tutachagua against mafisadi.
 
Back
Top Bottom