Sahihi, CHADEMA waseme mapema kama watashiriki uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu na uchaguzi mkuu mwakani ili wanachama wao wajiandae vyema.Uchaguzi ni mikakati. Ukizubaa kidogo umepigwa. Mkakati muhimu kuliko wote ni kusimamia vizuri zoezi la uandikishaji. Chadema msilowee kwenye maandamano tu wakati wenzenu CCM wanapeleka vijana wa UVCCM kwa watendaji kata kuwa waandikishaji
HAKUNA UCHAGUZI BILA KATIBA MPYAUchaguzi ni mikakati. Ukizubaa kidogo umepigwa. Mkakati muhimu kuliko wote ni kusimamia vizuri zoezi la uandikishaji. Chadema msilowee kwenye maandamano tu wakati wenzenu CCM wanapeleka vijana wa UVCCM kwa watendaji kata kuwa waandikishaji