Azim Sokoine
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 1,379
- 2,533
Wakuu nawasalimu,
Uchaguzi wa mwaka 2015 kituo kidogo cha kuhesabia na kujumuisha matokeo kutoka maeneo mbalimbali nchini cha Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) ‘Tally Center’ kilivamiwa na kuwakamata vijana wa Chadema waliokuwa wanafanya kazi hiyo hii ilitokea baada ya washindani wao kushikwa na wasiwasi na hofu kuwa wanaenda kushindwa lakini pia watz wangepata uhalisia wa matokeo lakini ghafla wakavamia na kuvuraga kabisa na kuwakamata vijana waliokuwa wanafanya kazi hiyo.
Je Chadema uchaguzi huu wa Oct 2020 mmejipanga vipi hali iliyotokea 2015 isitokee tena?
Uchaguzi wa mwaka 2015 kituo kidogo cha kuhesabia na kujumuisha matokeo kutoka maeneo mbalimbali nchini cha Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) ‘Tally Center’ kilivamiwa na kuwakamata vijana wa Chadema waliokuwa wanafanya kazi hiyo hii ilitokea baada ya washindani wao kushikwa na wasiwasi na hofu kuwa wanaenda kushindwa lakini pia watz wangepata uhalisia wa matokeo lakini ghafla wakavamia na kuvuraga kabisa na kuwakamata vijana waliokuwa wanafanya kazi hiyo.
Je Chadema uchaguzi huu wa Oct 2020 mmejipanga vipi hali iliyotokea 2015 isitokee tena?