CHADEMA MMefungua NJIA!

CHADEMA MMefungua NJIA!

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
9,237
Reaction score
14,875
Ingawa ni ukweli ulio wazi kwamba Chama cha CHADEMA hakiwezi kushinda Uchaguzi wa Uraisi na Ubunge 2015, lakini ni jambo lililo wazi pia CHADEMA wamefungua njia ya mabadilko nchini mwetu!

Serikali ijayo ya CCM, haiwezi kuwa ya kisanii ukiilinganisha na ya sasa hivi, na nathubutu kusema pia Serikali zilizopita, na sio kwa sababu haiwezekani, bali ni kwa sababu CCM hawana jinsi bali kubadilika kwani kila siku zinavyozidi kwenda ndivyo watu wanvyozidi kuhoji Uhalali wao wa kuongoza, hivyo basi naweza kusema 2015 ndiyo karata ya mwisho kwa CCM, na kama wasipobadilika basi 2020 au 2025 CHADEMA kama wataendelea na kasi hii hii walionayo sasa hivi ni lazima watashinda Uchaguzi wa Uraisi na Ubunge!
 
CHADEMA ni mpango wa Mungu. Na mpango wa Mungu lazima utimie hata kama maccm watumie usalama wa taifa, mahakama na polisi lakini hawawezi shindana na Mpango wa Mungu.
 
Soma alama za nyakati. Tumaini letu kubwa ni katiba yenye kuendana na matakwa yetu watanzania. Tutashinda
 
2015 is the end of CCM holding the power of this country,take note of my words
 
Mleta mada ni gamba na mnachojidanganya hatuwezi kuwazuia ila hamtaamini 2015 tutakapokuwa maggoni na wezi wa mali za umma watakapokuwa wananyea ndoo!
 
Soma alama za nyakati. Tumaini letu kubwa ni katiba yenye kuendana na matakwa yetu watanzania. Tutashinda

Tatizo ni kwamba hata hiyo KATIBA ili ipite ni lazima CCM waikubali, maana yake ni kwamba ni lazima waisome, waichambue na kisha waamue kama inawafaa ama la, na kama haiwafai haitapita, kwa maana nyingine ni kwamba kwa hali jinsi ilivyo kwa sasa hakuna Chama kinachoweza kuishinda CCM 2015, hata iweje, labda kwa Mapinduzi kitu ambacho pia ni kigumu sana kwa Mazingira yetu!
 
Ingawa ni ukweli ulio wazi kwamba Chama cha CHADEMA hakiwezi kushinda Uchaguzi wa Uraisi na Ubunge 2015, lakini ni jambo lililo wazi pia CHADEMA wamefungua njia ya mabadilko nchini mwetu!

Serikali ijayo ya CCM, haiwezi kuwa ya kisanii ukiilinganisha na ya sasa hivi, na nathubutu kusema pia Serikali zilizopita, na sio kwa sababu haiwezekani, bali ni kwa sababu CCM hawana jinsi bali kubadilika kwani kila siku zinavyozidi kwenda ndivyo watu wanvyozidi kuhoji Uhalali wao wa kuongoza, hivyo basi naweza kusema 2015 ndiyo karata ya mwisho kwa CCM, na kama wasipobadilika basi 2020 au 2025 CHADEMA kama wataendelea na kasi hii hii walionayo sasa hivi ni lazima watashinda Uchaguzi wa Uraisi na Ubunge!

mtatumia mbinu nyingi sana kujaribu kuwaaminisha watu kwamba 2015 hamtoki madarakani lakini nakuhakikishia kwamba hamtaamini macho yenu maana kura zenu zitakua za aibu tumechoka na ccm na wala hatuna mda wa kuwaongezea hata dakika 1 ya ziada pale ikulu.
 
Mleta mada ni gamba na mnachojidanganya hatuwezi kuwazuia ila hamtaamini 2015 tutakapokuwa maggoni na wezi wa mali za umma watakapokuwa wananyea ndoo!

Kuna mambo mawili aidha haufahamu mfumo wa nchi yetu ulivyo au unafahamu na umeamua tu kutokuutambua ili ujifurahishe, ukweli ni kwamba kwa mfumo huu hakuna Chama kinachoweza kuishinda CCM 2015, kumbuka Raisi wa Tanzania ni Raisi mpaka pale Raisi mwingine anapoteuliwa, kwa maana hiyo hata wakati wa Uchaguzi bado yeye ni Raisi na ana full madaraka na anaweza pia kusitisha Uchaguzi muda wowote na hakuna wa kumuuuliza kitu, anaweza kuifuta CHADEMA kesho na hakuna kitu CHADEMA wanaweza kufanya, huo ndio ukweli!



 
Tatizo ni kwamba hata hiyo KATIBA ili ipite ni lazima CCM waikubali, maana yake ni kwamba ni lazima waisome, waichambue na kisha waamue kama inawafaa ama la, na kama haiwafai haitapita, kwa maana nyingine ni kwamba kwa hali jinsi ilivyo kwa sasa hakuna Chama kinachoweza kuishinda CCM 2015, hata iweje, labda kwa Mapinduzi kitu ambacho pia ni kigumu sana kwa Mazingira yetu!

Mkuu kwa taarifa yako watanzania hawako tayari tena kuongozwa na hilo likitu linaloitwa ccm! At any cost 2015 ccm must go! Tunachohitaji na viongozi waliojitoa mhanga kama akina Lissu watuongoze kwenye haya mapambano!
 
kuna njia mbili nyembamba ya uzimani na pana ya motoni .chadema wameonesha nyembamba ya kuzimu due to.sumu,ugaidi na udini
 
Back
Top Bottom