Chadema hii nguvu mnayoitumia sasa baada ya Lissu kutangaza nia,mngeitumia katika kuhamasisha wafuasi wenu kipindi kile daftari la wapiga kura linaboreshwa na uandikishaji wa wapiga kura sahizi mngekuwa mnaongea mengine.
CCM ilihakikisha wanachama wake wanahakiki taarifa zao na wapya wanajiandikisha, lakini Chadema mlifanya nini?
Mlisahau watu wapo bize kutafuta vitambilisho vya Taifa, hawakuona umuhimu wa vitambilisho vya kura na mitaani hakuna aliyechukua jukumu la kuelimisha mliwaza nini?
CCM inawanachama wake ambao viongozi wa vijiji walipita nyumba kwa nyumba kuhakikisha wamefanya zoezi hilo ninyi mlifanya nini?
Mnajua kabisa uchaguzi wa serikali za mitaa uliwavunja wanachama wenu moyo nini mlifanya kukabili hali hiyo?
Maandalizi ya mashindano yanaanza mapema sio kipyenga kinapotaka kulia ndio unaingiza wachezaji kwenye zoezi.
Kwa hilo Magufuli keshawazidi point.
Mtajibu kwa mihemko ya mitandaoni Ila hii ndio hali halisi HAMKUJIPANGA MAPEMA..
CCM ilihakikisha wanachama wake wanahakiki taarifa zao na wapya wanajiandikisha, lakini Chadema mlifanya nini?
Mlisahau watu wapo bize kutafuta vitambilisho vya Taifa, hawakuona umuhimu wa vitambilisho vya kura na mitaani hakuna aliyechukua jukumu la kuelimisha mliwaza nini?
CCM inawanachama wake ambao viongozi wa vijiji walipita nyumba kwa nyumba kuhakikisha wamefanya zoezi hilo ninyi mlifanya nini?
Mnajua kabisa uchaguzi wa serikali za mitaa uliwavunja wanachama wenu moyo nini mlifanya kukabili hali hiyo?
Maandalizi ya mashindano yanaanza mapema sio kipyenga kinapotaka kulia ndio unaingiza wachezaji kwenye zoezi.
Kwa hilo Magufuli keshawazidi point.
Mtajibu kwa mihemko ya mitandaoni Ila hii ndio hali halisi HAMKUJIPANGA MAPEMA..