CHADEMA mjitafakari kwa hili

CHADEMA mjitafakari kwa hili

Haingii akili ninyi kama Chama Kikuu cha Upinzani kwa zaidi ya miaka kumi kukosa TV ya kurusha mikutano yenu mubashara!

Nashindwa kuelewa idara yenu ya uenezi inafanya kazi gani? Kama imekufa pia mtuambie tujue moja!

Leo mtu akitaka kujua Tundu Lissu aliongea nini baada ya kuchukua fomu ya kuomba uteuzi au akiwa kule kijijini kwao Singinda ni ngumu mno kupata hizo speech.

Karibia media zote zimewasusa na mnafanyiwa hujuma za kila aina kama kukatiwa sauti na kufutiwa speech zenu nyie mpo mpo tu. Mmejipanga kuchukua nchi kweli nyie?

CHADEMA online media inafanya kazi gani? Nilitegemea ingekuwa msitari wa mbele kufanya live streaming ya mikutano yenu lakini wapi?

Mnajua ni watanzania wangapi wanawafatilia kupitia mitandao ya kijamiii?

Mjitafakari!
Mkuu, kwani Tanzania Daima lipo wapi?
 
Haingii akili ninyi kama Chama Kikuu cha Upinzani kwa zaidi ya miaka kumi kukosa TV ya kurusha mikutano yenu mubashara!

Nashindwa kuelewa idara yenu ya uenezi inafanya kazi gani? Kama imekufa pia mtuambie tujue moja!

Leo mtu akitaka kujua Tundu Lissu aliongea nini baada ya kuchukua fomu ya kuomba uteuzi au akiwa kule kijijini kwao Singinda ni ngumu mno kupata hizo speech.

Karibia media zote zimewasusa na mnafanyiwa hujuma za kila aina kama kukatiwa sauti na kufutiwa speech zenu nyie mpo mpo tu. Mmejipanga kuchukua nchi kweli nyie?

CHADEMA online media inafanya kazi gani? Nilitegemea ingekuwa msitari wa mbele kufanya live streaming ya mikutano yenu lakini wapi?

Mnajua ni watanzania wangapi wanawafatilia kupitia mitandao ya kijamiii?

Mjitafakari!
Yani waache kutafuna rudhuku wafungue TV?
Wenzio hata magari ya chama,kadi zinasoma majina yao.
Wanaikopesha chama kwa riba,wanajilipa posho na mishahara watakavyo kwa fedha ya chama.

Hata jengo la ofisi tu wameshindwa kujenga.

Ndo mana watu wakisema hicho ni KISACCOS muelewe
 
Haingii akili ninyi kama Chama Kikuu cha Upinzani kwa zaidi ya miaka kumi kukosa TV ya kurusha mikutano yenu mubashara!

Nashindwa kuelewa idara yenu ya uenezi inafanya kazi gani? Kama imekufa pia mtuambie tujue moja!

Leo mtu akitaka kujua Tundu Lissu aliongea nini baada ya kuchukua fomu ya kuomba uteuzi au akiwa kule kijijini kwao Singinda ni ngumu mno kupata hizo speech.

Karibia media zote zimewasusa na mnafanyiwa hujuma za kila aina kama kukatiwa sauti na kufutiwa speech zenu nyie mpo mpo tu. Mmejipanga kuchukua nchi kweli nyie?

CHADEMA online media inafanya kazi gani? Nilitegemea ingekuwa msitari wa mbele kufanya live streaming ya mikutano yenu lakini wapi?

Mnajua ni watanzania wangapi wanawafatilia kupitia mitandao ya kijamiii?

Mjitafakari!
KUWA NA UMMA UNAOKUAMINI NDO KITU PEKEEE YAHA YA VYOMBO VYA HABARI NI KZ YA UMMA KUTAFUTA HABARI NA WANAJUA SANA HABARI ZA CDM NANLISU ZIKO KILA KONA YA NCHI HII WATU WANA SMART PHONE takribann43%
 
nina kila sababu ya kuamini Tumaini makene anatumika kuhujumu CHADEMA
 
Back
Top Bottom