Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,357
Mm nlifikiri CHADEMA wakorofi bungeni tu kumbe mpaka Hotelini!
Jana wakati wanakula:
WENJE:Mwongozo wa mwenye Hotel, chumvi haitoshi.
MNYIKA:Taarifa Mheshimiwa! Mchuzi unaonekana wa jana siungi mkono hoja ya kulipia chakula hiki.
LISSU: Mwongozo! Niliagiza kuku wa kienyeji Nimeletewa wa kisasa silipi!
ZITO:Tume iundwe kuchunguza km kweli mchele huu ni wa Mbeya!!! Gudnyt
Jana wakati wanakula:
WENJE:Mwongozo wa mwenye Hotel, chumvi haitoshi.
MNYIKA:Taarifa Mheshimiwa! Mchuzi unaonekana wa jana siungi mkono hoja ya kulipia chakula hiki.
LISSU: Mwongozo! Niliagiza kuku wa kienyeji Nimeletewa wa kisasa silipi!
ZITO:Tume iundwe kuchunguza km kweli mchele huu ni wa Mbeya!!! Gudnyt