CHADEMA, mchungeni Mwenyekiti Mbowe

CHADEMA, mchungeni Mwenyekiti Mbowe

We jamaa mnafiki sana if you cant fight them join them George Bush aliwahi kusema hayo maneno ! Kwahio tumeshajua unapambana kwa namna nyingine ila autaweza. Njaa mbaya sana.
 
We jamaa mnafiki sana if you cant fight them join them George Bush aliwahi kusema hayo maneno ! Kwahio tumeshajua unapambana kwa namna nyingine ila autaweza. Njaa mbaya sana.
Usinipangie lengo
 
Mbowe sio mwepesi ila kwa anayokutana nayo ni njia ya ushindi kwani Watanzania wengi ni wanajua nini kinaendelea
Mngepewa nchi serikali yenu ingekuwa corrupt sana kuwahi kutokea
 
Kwa hoja hizo mimi binafsi simuamini Mbowe kabisa linapokuja swala la fedha. Na kwa yowe hili analolipiga sasa inaonyesha kabanwa mahali. Wito wangu wanachama na viongozi mchungeni Mwenyekiti wenu asije kutusaliti tena watanzania. Ukiona mtu mzima Analia ujue kuna jambo
Kweli wachaga hamuaminiki kabisa kwenye pesa
 
Kuna akina 'kamanda' Lowassa na 'kamanda' Kingunge na 'kamanda' Sumaye.
Wewe utajilinganisha na hao? Hao mpaka leo viongozi waandamizi ndani ya ccm wanaogopa kusema jambo la kubeza kuhusu wao kwani wanaheshima zao ndani ya jamii tena kubwa sana.
Huwezi kuwalinganisha nanyi munaosaliti vyama, munafukuzwa na kujiunga na ccm kisha kupata nafasi kwa kutumika kutukana mlikotoka, kutumikishwa kimwili (nadhani hapo umenielewa) na kazi zile zote chafu kisha kupewa uteuzi eitha viti maalum, U DAS au u DC.
Nahakika ukikaa mbele ya kioo unajiona jinsi ulivyo idhalilisha nafsi yako shauri ya tumbo. Na hayo wakati mwingine mwenza akiyajua huwa yanapelekea kuvunja mahusiano kwani yanaumiza sana. Hasa ukiwaza kuwa unashindwa kujua nani kapitia nani hajapitia na kwa matumizi ya aina gani.
Uwe unakuja na hoja za kujadilika sio kejeli au matusi na utaheshimiwa kwa uheshimiwa wako vinginevyo watu watamwaga ubuyu hadharani.
 
Wewe umesha hama chama sasa unatoa ushauri kwa nani ili iweje, usidhani kuwa watu wote wana mawazo finyu kama ya kwako.
 
Tatizo kubwa la Watanzania ni kuwa siasa imegeuzwa sehemu ya ushabiki kama wa mipira........

Na kwenye mambo ya ushabiki mihemko na mahaba ndio vinatawala kuliko uhalisia....

Ndio maana unakuta kwenye jukwaa la siasa michango mingi imejaa matusi na kejeli baada ya hoja za nguvu.....

Yaani akiona mtu amekosoa chama chake yeye ni matusi.....na lugha nyingine chafu tu......
 
Tatizo kubwa la Watanzania ni kuwa siasa imegeuzwa sehemu ya ushabiki kama wa mipira........

Na kwenye mambo ya ushabiki mihemko na mahaba ndio vinatawala kuliko uhalisia....

Ndio maana unakuta kwenye jukwaa la siasa michango mingi imejaa matusi na kejeli baada ya hoja za nguvu.....

Yaani akiona mtu amekosoa chama chake yeye ni matusi.....na lugha nyingine chafu tu......
Ni kweli kabisa. Mtu yeyote aliyeishiwa hoja usitegemee aje lingine zaidi ya tusi ndo mwisho wa mawazo aliyinayo usitegemee jipya kutoka kwa mtu huyu labda hasira ndo mtaji wake mkubwa

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli kabisa. Mtu yeyote aliyeishiwa hoja usitegemee aje lingine zaidi ya tusi ndo mwisho wa mawazo aliyinayo usitegemee jipya kutoka kwa mtu huyu labda hasira ndo mtaji wake mkubwa

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app

Siasa sio matusi na kejeli....

Msingi wa siasa ni sera na hoja nzito kuzisapoti sera zako....vinapokosekana vitu hivyo hapo panakuwa hakuna siasa bali pana ushabiki...... tu
 
Back
Top Bottom