Chadema Mbeya wachukua hatua kali

Chadema Mbeya wachukua hatua kali

wana JF. Leo mkoani MBEYA kumefanyika kikao cha Baraza Mkao na Wajumbe wa WILAYA ZOTE kuhudhuria..kikao kimeazimia 1st KUMTIMUA RASMI ndg EDO MAKATA MWAMALALA uanachama.2nd kumsimamisha m/kiti BAVICHA mkoa ndg KASAMBALA uongozi 3rd kamati ya uchunguzu ili kuwabaini wale wote wanaotuhumiwa kukichafua CHAMA na viongozi nao watimuliwe ktk CHAMA. IKUMBUKWE kuwa EDO ndiye aliyekwenda kwny MEDIA kumtaka Dr SLAA ajiuzuru kwa kuwa na kadi mbili na ni mwanakundi la MASALIA na Kasambala naye anatuhumiwa kuwa mfuasi wa hilo kundi.
Mh!! Tutashuhudia mengi mwaka ujao
 
Bora wangekuwa na uwezo hata wa kujenga hoja jukwaani,nimepata kuhudhuria mkutano mmoja ambao kasambala aliuandaa pale SIDO na kuwakaribisha hao jamaa ati wanajitambulisha ni makamanda kutoka CDM taifa,mkutano mzima,toka wa kwanza mpaka wa mwisho aliyepewa nafasi ilikuwa kunangana tuu hasa viongozi wa kitaifa.sishangai kusimamishwa na wengine kufukuzwa
na hiyo ndiyo 7bu kubwa ya kusimamishwa kwake,ikiambatana na ufisadi mkubwa!
 
Wapinzani bado tuko wachache sana, sizani kama fukuzafukuza ni solution. mliojiunga CDM wakati wa uchaguzi mkuu2010 mtaona ni sawa kufukuza. Ili tuiangushe CCM inahitaji umoja, hata kama kuna mbaya ndani ya chama anatakiwa abadilishwe tu kifikra. mbona sisi walimu tunapokea wanafunzi waajabu sana lakini wanakuwa shaped. Kama ndio hivi hatuwezi fika na tukifika si kwa mafanikio.
Upinzani sio CHADEMA tu hata ADC, CHAUMMA, CUF nk. ni wapinzani pia, kwanini usihamie huko kuliko kung'ang'ania huko Chadema ambako hawakutaki?

Toka lini chama kikakaa na wasaliti ndani ya chama?
Kule China wasaliti kama wewe huwa wananyongwa mpaka kufa.

Huku CCM hatuwataki kabisa watu kama nyinyi, kwa kuwa umlishakubali tuwatumie kama Condom.
Toka muanikwe hadharani na mipango yenu, pesa kutoka CCM hamtapewa tena, kama hujapata posho yako nenda kawadai 'masalia' maana mkataba na CCM umeshakwisha.
 
Na hoja zao zishughulikiwe ikiwa ni pamoja na baadhi ya viongozi kuzuiliwa kushiriki kukijenga chama
 
tani huu utetezi hautokusaidia ndugu, we bado sku zako kazaa urudi rasmi kwa waliokutuma, umemkosea heshima dk slaa sasa urudi kwa waliokutuma magamba kama we wenyewe watakuruhusu ukamkosee heshima mwenyekiti wao na katibu wao. Eti chadema tupo wachache sasa kujiunga kwako mwaka 2000 ndo kunakufanya usiwe na adabu

Kwanza muulize kwamba alipotangaza kugombea urais alitegemea 2015 atakuwa na umri gani na je nini kilimsukuma huku akijua kuwa katiba ya nchi haimruhusu ?
 
Hahahaaaa!Kisandu unaanza kuomba poo?Hivi unataka misukule kama wewe tuwashape vp?yani uvunje sheria,taratibu,na itifaki za chama kwa makusudi halafu uachwe?ati tuko wachache!unataka tuwe na misukule wengi tukijidanganya ni watu?CDM ni taasisi si genge hivyo ni mwiko kuvumilia manyang'au.Kama unafikiri CDM hakuna demokrasia na unadhani demokrasia ni kupayuka na kubwabwaja hovyo,nenda kunako demokrasia,acheni chama chetu cha kidikteta.Hima!hima!CDM Tanga ng'oa misukule yote hatuna pumba za kuwalisha
 
walitumwa na magamba wote tumeshawabaini ,tunaanza kunyoa mmoja mmoja mpaka waishe,huwezi kuchoma nyumba unayokaa wakati nawewe umo ndani utegemee kutoungua
 
Kisandu, dawa yako inachemka na tutakunywesha ikiwa ya moto kabla haijapoa. Masalia jiongezeni magamba wanawatumia kama condom.
 
Wapinzani bado tuko wachache sana, sizani kama fukuzafukuza ni solution. mliojiunga CDM wakati wa uchaguzi mkuu2010 mtaona ni sawa kufukuza. Ili tuiangushe CCM inahitaji umoja, hata kama kuna mbaya ndani ya chama anatakiwa abadilishwe tu kifikra. mbona sisi walimu tunapokea wanafunzi waajabu sana lakini wanakuwa shaped. Kama ndio hivi hatuwezi fika na tukifika si kwa mafanikio.

Mkuu unaongea kwa huruma ili kudraw sympathy?
Bado wewe very soon uanachama wako kwa CDM utakuwa historia.
Kwanza nani amekwambia kuwa Wapinzani wako wachache?...hebu nenda kawaombe tume ya uchaguzi matokeo halali
ya kura za urais 2010 then ndo uje na kauli yako hii. Yeyote atakayeleta vurugu ndani ya chama..fukuzia mbali, hii ndo
tofauti kati ya CDM na CCM. Hakuna kulindana ndani ya CDM.

Hivi wewe si ndo ulitangaza nia ya urais?...vp maandalizi yako yanaendaje?
Nilisikia uongozi wa CDM mkoa wa Tanga umetuma barua makao makuu ili wakufanyie uchunguzi
na ikigundulika unatumika dhidi ya Chama wakutimue...vp una feedback zozote?
Na vipi kuhusu ule mpango kabambe wa kuandamana kushinikiza Dr. Slaa na Katibu taifa wa BAVICHA wajiuzulu?

Shoka liko shinani kaka. Any wild vine tree will be cut off. There after ni kilio na kusaga meno.
 
Wasaliti si watu wa kuvumiliwa, hivi kuna faida gani ya kuwa na mtu kama shibuda ambaye kila akisimama wanachama au wabunge wenzake wanasubiria kudhalilishwa?
au kuna faida gani ya kuwa na watu ambao huna imani nao kwasbbu unajua ni watu wenye nia mbili na wananunulika kama yule diwani wa singida? Bora kuwa wachache lakini imara!
 
KISANDU NASIKIA UMEJIWAHI KUACHIA UANACHAMA WA Chadema KABLA YA KUTIMULIWA, WAAMBIE NA MASALIA WENZAKO WAKUIGE, MKOME
 
to every action ther z equal and oposit reaction?
mulika wesii
 
Sugu siku zinahesabika naye kutimuliwa? Make sugu na Eddo ni maswaiba siku zote, watu wa forest mnaweza kunijuza.
 
Wewe mwenyewe Kisandu una tuhuma kama hizo, na sijui kwanini huwa unakurupuka na kufikia hatima ya mambo ambayo wewe si msemaji....mifano hai tunayo.

Wapinzani bado tuko wachache sana, sizani kama fukuzafukuza ni solution. mliojiunga CDM wakati wa uchaguzi mkuu2010 mtaona ni sawa kufukuza. Ili tuiangushe CCM inahitaji umoja, hata kama kuna mbaya ndani ya chama anatakiwa abadilishwe tu kifikra. mbona sisi walimu tunapokea wanafunzi waajabu sana lakini wanakuwa shaped. Kama ndio hivi hatuwezi fika na tukifika si kwa mafanikio.
 
Katika hao waliotimuliwa wamemsahau TUMTEMEKE, ambaye jina lake halisi ni GWAKISA, maana huyu amekuwa akiwatukana sana viongozi wa CDM hasa Dr Slaa kwenye mtandao hasa hapa JF.
 
tani huu utetezi hautokusaidia ndugu, we bado sku zako kazaa urudi rasmi kwa waliokutuma, umemkosea heshima dk slaa sasa urudi kwa waliokutuma magamba kama we wenyewe watakuruhusu ukamkosee heshima mwenyekiti wao na katibu wao. Eti chadema tupo wachache sasa kujiunga kwako mwaka 2000 ndo kunakufanya usiwe na adabu
Punguza munkari mkuu dah!
 
Bora tubaki wawili wenye msimamo kuliko kua na mia wasaliti. Na bado dawa yao ndio hiyo warudi kwa wapika majungu wenzao.
 
Back
Top Bottom