johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,281
- 142,465
Mkuu wa mkoa wa Mara Adamu Malima amesema Waziri mkuu mh Majaliwa ameunda tume ya uchunguzi itakayowasili mjini Tarime wakati wowote kuanzia sasa.
Malima amesema kuna ufisadi mkubwa umefanyika ukihusisha sh 9.4 bilioni zilizotolewa na mgodi wa North Mara katika halmashauri hiyo inayoongozwa na Chadema.
Wakati huo huo mh Malima amezisimamisha kamati zote za fedha katika halmashauri hiyo ambazo zimesheheni madiwani wa Chadema ili kupisha uchunguzi.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama na si uhuru!
Malima amesema kuna ufisadi mkubwa umefanyika ukihusisha sh 9.4 bilioni zilizotolewa na mgodi wa North Mara katika halmashauri hiyo inayoongozwa na Chadema.
Wakati huo huo mh Malima amezisimamisha kamati zote za fedha katika halmashauri hiyo ambazo zimesheheni madiwani wa Chadema ili kupisha uchunguzi.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama na si uhuru!