CHADEMA M4C Kwa Wazungu!

CHADEMA M4C Kwa Wazungu!

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
9,323
Reaction score
15,005
Nawashauri CHADEMA kama wanataka kushinda Uraisi,wapeleke M4C kwa Wazungu kwanza, wakifanikiwa huko ndio waje wamalizie huku kwetu!
Natoa huo ushauri kwa maana Wazungu ndio wanaamua nani awe Raisi wetu, na sio sisi Ngedere Wananchi, hilo la kupiga kura ni kuzuga tu lkn mara nyingi Raisi huwa ameshaamuliwa na Wazungu!
 
Nawashauri CHADEMA
kama wanataka kushinda Uraisi,wapeleke M4C kwa Wazungu kwanza,
wakifanikiwa huko ndio waje wamalizie huku kwetu!
Natoa huo ushauri kwa maana Wazungu ndio wanaamua nani awe Raisi wetu,
na sio sisi Ngedere Wananchi, hilo la kupiga kura ni kuzuga tu lkn mara
nyingi Raisi huwa ameshaamuliwa na Wazungu!

Ndio wapi huko!? hujaisikia Chadema twanga kote kote? M4C ni kila mahali mkuu.
 
Aaaah wapi mbona Kenya wameshindwa?? Uhuru Kenyata ameshinda licha ya ubalozi wa Uingereza kutoa vitisho.

2015 tutalinda kura zetu na ushindi tutapata, huyu mkoloni mweusi lazima tumtoe, mweupe alishatoka zamani
 
Aaaah wapi mbona Kenya wameshindwa?? Uhuru Kenyata ameshinda licha ya ubalozi wa Uingereza kutoa vitisho.

2015 tutalinda kura zetu na ushindi tutapata, huyu mkoloni mweusi lazima tumtoe, mweupe alishatoka zamani

Ya Kenya hawajashindwa subiri kwanza uone mchezo unavyokwenda, na hapo kuna mawili, ukiwaona kimya ujue Bw. Uhuru ameshafanya nao dili na wamekubaliana au bado wanajadiliana ni jinsi gani Bw.Uhuru atakavyolinda maslahi yao, kama kuendeleza vita Somalia, Mali na kwingineko, Bw. Uhuru akikataa basi moto wake utauona siku chache zijazo!

Na hapa kwetu hivyo hivyo bila Wazungu kukubali hauwezi kuwa Raisi wa TZ, ni vizuri CHADEMA wakapeleka kwanza M4C kwa Wazungu, wao ndio wanaamua, wakiaamua hata kesho CCM itaondoka aidha kwa maandamano au kwa hiari, na wasipoamua CCM haitaondoka hata ishindwe kwa asilimia 80%, huo ndio ukweli!

 
Naelewa uzito wa hoja yako ila naamini CDM wanalielewa hili pia kwasababu politics is all about influence.
 
Ya Kenya hawajashindwa subiri kwanza uone mchezo unavyokwenda, na hapo kuna mawili, ukiwaona kimya ujue Bw. Uhuru ameshafanya nao dili na wamekubaliana au bado wanajadiliana ni jinsi gani Bw.Uhuru atakavyolinda maslahi yao, kama kuendeleza vita Somalia, Mali na kwingineko, Bw. Uhuru akikataa basi moto wake utauona siku chache zijazo!

Na hapa kwetu hivyo hivyo bila Wazungu kukubali hauwezi kuwa Raisi wa TZ, ni vizuri CHADEMA wakapeleka kwanza M4C kwa Wazungu, wao ndio wanaamua, wakiaamua hata kesho CCM itaondoka aidha kwa maandamano au kwa hiari, na wasipoamua CCM haitaondoka hata ishindwe kwa asilimia 80%, huo ndio ukweli!

Kwa hiyo CCM wanaendeleza hayo maslahi ya wazungu?
 
Baada ya skendo ya mengi na ndugu yake kuzulumu shamba kwa wanzungu sidhani kama kuna mzungu anataka kudeal na jamaa wa mlimani tena.
 
Mtoa mada nakusifia kwa mtazamo wa sera za nje. Cdm hawajui kuwa nguvu ya kushika nchi katika nchi maskini inatoka Washington. Ukifika hapo ndipo utagundua kuwa cdm haiwezi kushika nchi 2015. Katika matamko yao wanafanya makosa ya ki-stratejia kwa kupambana na wawekezaji, kuuona uwekezaji ni kama sehemu ya ufisadi.
 
Mtoa mada nakusifia kwa mtazamo wa sera za nje. Cdm hawajui kuwa nguvu ya kushika nchi katika nchi maskini inatoka Washington. Ukifika hapo ndipo utagundua kuwa cdm haiwezi kushika nchi 2015. Katika matamko yao wanafanya makosa ya ki-stratejia kwa kupambana na wawekezaji, kuuona uwekezaji ni kama sehemu ya ufisadi.
Mkuu, kwa hiyo una maanisha kura zinapigiwa na kuhesabiwa Washington? Ni dhahiri mnahitaji tuition ili muweze kuelewa vizuri nini maana ya NGUVU YA UMMA.
 
Mkuu, kwa hiyo una maanisha kura zinapigiwa na kuhesabiwa Washington? Ni dhahiri mnahitaji tuition ili muweze kuelewa vizuri nini maana ya NGUVU YA UMMA.

Asikudanganye Mtu hakuna kitu kama hicho Dunia hii!
 
Kama tukishindana na ccm kuwa please wazungu,nadhani hatutafanikiwa kwasababu ccm wameshauza kila kitu kwa bei chee.
 
Kama tukishindana na ccm kuwa please wazungu,nadhani hatutafanikiwa kwasababu ccm wameshauza kila kitu kwa bei chee.

Hakuna jinsi! Bila kuwafurahisha Wazungu, hauendi popote, watakushinda tu hata ufanye nini!
Hivyo CHADEMA wanahitaji kukubalika kwa Wazungu kwanza bila ya hivyo, safari yao hawatafika! Ndio ukweli mchungu wenyewe huo!
 

Hakuna jinsi! Bila kuwafurahisha Wazungu, hauendi popote, watakushinda tu hata ufanye nini!
Hivyo CHADEMA wanahitaji kukubalika kwa Wazungu kwanza bila ya hivyo, safari yao hawatafika! Ndio ukweli mchungu wenyewe huo!
Na ili wakubalike na wazungu inatakiwa wafanyeje?
 
Jibaba hapo umenena jambo ambalo nimetafakari sana bcoz bila idhini ya mzungu hakuna cha nini wala nini. nyie mnadhani hizo safari za kikwete zina madhumuni gani zaidi ya kuweka upinzani " in a bad light" ili wapate support for CCM. Kinachotisha ni kwamba the only way chadema watapa support nje ni wakiconvince mzungu ya kwamba hawatainterfere na shughuli zao za kuhujumu nchi. hapo imekaa between a rock and a hard place, sijui nimlilie nani. UN upuuzi, IMF usiseme yaani dunia hii.
 
Fidel Castro ni mhuni sana machoni mwa wazungu maana aliwapiga longolongo enzi zile walivyochukua kisiwa chao. Nilisoma mahali fulani kulikuwa na bustani kubwa kati kati ya jiji la havana ndani ya cuba. hiyo bustani ilikuwa ni kwa matumizi ya watu weupe tu, weusi walikuwa wakijipumzisha nje ya ukuta. castro alivyowini mjeshi mmoja akapanda grader akataka kuvunja ukuta wa bustani kama ishara kila mtu yuko huru kuja kupumzika lakini castro akamtonya akamwambia "muda bado" namna gani vipi subiria kidogo. Mpaka leo wamarekani wanahasira sana na castro kwa kuwadanganya na kuchukua mali zao nyingi ambazo walikuwa wamewekeza huko. Chadema ingeweza kuchukua page from castro's play book ingekuwa fiti sana maana bila idhini ya mtemi hakieleweki mwana, nguvu ya uma au la.
 
ni kweli si unaona kibakuli cha mr.vasco da gama akitulizwi chini.
 
Back
Top Bottom