Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 9,323
- 15,005
Nawashauri CHADEMA kama wanataka kushinda Uraisi,wapeleke M4C kwa Wazungu kwanza, wakifanikiwa huko ndio waje wamalizie huku kwetu!
Natoa huo ushauri kwa maana Wazungu ndio wanaamua nani awe Raisi wetu, na sio sisi Ngedere Wananchi, hilo la kupiga kura ni kuzuga tu lkn mara nyingi Raisi huwa ameshaamuliwa na Wazungu!
Natoa huo ushauri kwa maana Wazungu ndio wanaamua nani awe Raisi wetu, na sio sisi Ngedere Wananchi, hilo la kupiga kura ni kuzuga tu lkn mara nyingi Raisi huwa ameshaamuliwa na Wazungu!