Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 9,317
- 14,992
- Thread starter
- #41
na ndio sera zao za kutawala dunia nzima, kwasababu kwa sasaivi hawa jamaa hawana kabisa rasilimali, na mategeo ni kutoka bara la Africa, hivyo kwa mbinu yoyote lazima wahodhi rasilimali za Afrika, na mifano tunayo kwa Mugabe na Gadafi, na wenzetu kubwa zaidi uchumi unapiganiwa na kulindwa na majeshi. hivyo tuwe makini sana na hila za wazungu kutuchagulia viongozi
Swala sio kwamba Wazungu kutuchagulia viongozi, la hasha! Bali ni Je tuna lolote tunaweza kufanya kuzuia hilo sisi kama sisi?