Wazungu..wazungu ndo nini? Jamani natambua nafasi ya mataifa yaliyoendelea katika influence za siasa za nchi zinazoendelea,lakini mwisho wa siku nguvu ya umma ndo inakuwa last say,usipende kuwakatisha tamaa watanzania kwani vijana wadogo wenye 18+ wana hamu sana ya kushiriki uchaguzi wa mwaka 2015 na hao ndo wataipa cdm ushindi,najua nguvu kubwa ya uchakachuaji itawekezwa especially vijijini lakini nasi cdm tujipange kufanya hivyo pale inapobidi kwani jino kwa jino ndo mtazamo wa vyama vingi,
Vijana wenzangu chama chetu kiko makini sana,kwani mbowe,slaa,prof safari nk si wageni wa siasa za afrika wanajua nini chakufanya ili magogoni iwekwe kibindoni,naomba tuwe na imani na viongozi wetu pia nasi tukifanya majukumu yetu kwa moyo tukitawaliwa na wazo la ukombozi wa tz 2015 kutoka mikononi mwa mkoloni mweusi.
Vijana tulieni,maboresho ya daftari la wapiga kura ndo mpango mzima,tutatumiana sms nyingi za kutuhamasisha tukajiandikishe then tuone 2015 nafasi ya nguvu ya umma Vs nguvu ya mzungu (ccm)
Vijana wenzangu chama chetu kiko makini sana,kwani mbowe,slaa,prof safari nk si wageni wa siasa za afrika wanajua nini chakufanya ili magogoni iwekwe kibindoni,naomba tuwe na imani na viongozi wetu pia nasi tukifanya majukumu yetu kwa moyo tukitawaliwa na wazo la ukombozi wa tz 2015 kutoka mikononi mwa mkoloni mweusi.
Vijana tulieni,maboresho ya daftari la wapiga kura ndo mpango mzima,tutatumiana sms nyingi za kutuhamasisha tukajiandikishe then tuone 2015 nafasi ya nguvu ya umma Vs nguvu ya mzungu (ccm)