CHADEMA, lini mtajifunza kuacha kukurupuka?

CHADEMA, lini mtajifunza kuacha kukurupuka?

Mbowe amezungukwa na washauri wabaya toka

dr slaa aondoke amekuwa na maamuzi ya kukurupuka
We wakati Dr Slaa yupo ulikuwa umeshaingia mjini na kuyajua haya?au ulikuwa huko kusiko na mawasiliano na ndio maana bado mbumbumbu?
 
Kila mara ni matamko na mihemuko isiyo na impacts yoyote, hili hamjifunzi?, mnategemea wazungu wawasaidie?, "shame"

Toka muanze kususa nini kimebadilika?

Siwezi taja matamko na mihemuko yenu iliopita na haikuzaa matunda,kwani inajulikana wazi na kila mtanzania.

Ona sasa mmetegwa kwa pumba kirahisi mkakamatika.
Kilichofanyika ni nyie kutangulizwa chambo,ili ionekane Kama mnaweza kula matapishi yenu.
Utaratibu wa kisheria upo wazi kabisa wa namna ya kutatua kero za uchaguzi.hili halina ubishi.

Rejeeni tamko la Lipumba,lipo kijanja Sana,Ina maana serikali inaweza kufanyia kazi maombi yao ili mkaangwe,hali kadhalika ACT Wazalendo,sidhani kama wataungana nanyi.
Mmemsikia waziri mwenye dhamana, katoa ufafanuzi mzuri Sana wa namna ya kufanya kwa asie ridhika na maamuzi,

Sasa ngojeni serikali iyafanyie kazi maoni ya kina Lipumba na Zitto tuone kama mtakana maapizo yenu.

Njia ya kususa haijawahi fanikiwa,jirekebisheni,inawezekana mnahujumiana nyie wenyewe ndani ya chama chenu.
Unasema sheria ipo wazi! Kwani walipokua wanakataa fomu za wagombea wa upinzani walikua hawajui sheria kuwa zipo wazi?? Acha kuongea ujinga wewe! Nyie simmebaki pekeenu sasa wasiwasi wanini
 
Kila mara ni matamko na mihemuko isiyo na impacts yoyote, hili hamjifunzi?, mnategemea wazungu wawasaidie?, "shame"

Toka muanze kususa nini kimebadilika?

Siwezi taja matamko na mihemuko yenu iliopita na haikuzaa matunda,kwani inajulikana wazi na kila mtanzania.

Ona sasa mmetegwa kwa pumba kirahisi mkakamatika.
Kilichofanyika ni nyie kutangulizwa chambo,ili ionekane Kama mnaweza kula matapishi yenu.
Utaratibu wa kisheria upo wazi kabisa wa namna ya kutatua kero za uchaguzi.hili halina ubishi.

Rejeeni tamko la Lipumba,lipo kijanja Sana,Ina maana serikali inaweza kufanyia kazi maombi yao ili mkaangwe,hali kadhalika ACT Wazalendo,sidhani kama wataungana nanyi.
Mmemsikia waziri mwenye dhamana, katoa ufafanuzi mzuri Sana wa namna ya kufanya kwa asie ridhika na maamuzi,

Sasa ngojeni serikali iyafanyie kazi maoni ya kina Lipumba na Zitto tuone kama mtakana maapizo yenu.

Njia ya kususa haijawahi fanikiwa,jirekebisheni,inawezekana mnahujumiana nyie wenyewe ndani ya chama chenu.
una akili wewe, hivi haya mambo mngefanyiwa nyie nina uhakika mngekuwa msituni sasa hivi kujiandaa kumwaga damu, mnawafanyia wenzenu kama vile sio binadamu, si mnapendwa, sasa kwanini muwafanyie hivyo, mnaogopa mpaka vivuli vyenu, haya mshaachiwa shangilieni kwa kishindo, umesikia chadema wakilia tena, na ACT unayosema nayo hiyo ishajitoa, wacha washiriki ambao hawana mwakilishi hata 1
 
Kila mara ni matamko na mihemuko isiyo na impacts yoyote, hili hamjifunzi?, mnategemea wazungu wawasaidie?, "shame"

Toka muanze kususa nini kimebadilika?

Siwezi taja matamko na mihemuko yenu iliopita na haikuzaa matunda,kwani inajulikana wazi na kila mtanzania.

Ona sasa mmetegwa kwa pumba kirahisi mkakamatika.
Kilichofanyika ni nyie kutangulizwa chambo,ili ionekane Kama mnaweza kula matapishi yenu.
Utaratibu wa kisheria upo wazi kabisa wa namna ya kutatua kero za uchaguzi.hili halina ubishi.

Rejeeni tamko la Lipumba,lipo kijanja Sana,Ina maana serikali inaweza kufanyia kazi maombi yao ili mkaangwe,hali kadhalika ACT Wazalendo,sidhani kama wataungana nanyi.
Mmemsikia waziri mwenye dhamana, katoa ufafanuzi mzuri Sana wa namna ya kufanya kwa asie ridhika na maamuzi,

Sasa ngojeni serikali iyafanyie kazi maoni ya kina Lipumba na Zitto tuone kama mtakana maapizo yenu.

Njia ya kususa haijawahi fanikiwa,jirekebisheni,inawezekana mnahujumiana nyie wenyewe ndani ya chama chenu.


Unazungumzia ACT ipi?
 
Naunga mkono hoja.
Paskali tuongee ukweli kabisa bila ushabiki hivi kweli wagombea wote wa uongozi wa upinzani hawajui.kuandika wala hawakufuata taratibu za kujaza na kurudisha fomu?

Je tumwshuhudia wagombea wakikesha kituoni kusubiri.ofisi ifunguliwe warudishe fomu na bado hawakufanikiwa kweli bado kuna fairness hapo?

Haya mwanzon wananchi tuligomea kujiandikisha na baadae.viongozi wa upinzani wakaja kutushawishi tukauliza wamejipangaje kuhakikisha kuwa uchaguzi ni wa haki hakukuwa.na jibu.sahihi lililotolewa.

Leo hii tunashuhudia mfano kweenye kata yangu mwenyekiti ambaye ni msomi mzuri mtu muadilifu ametolewa halafu kapitishwa mtu wa ccm ambaye sijui hata darasa la.saba hakumalizaga kisa eti ni mzawa wa ungindoni.
Kimsingi uonevu ni wa wazi wazi. CCM ni chama changu lkn kijiangalie mwenendo wake. Impact ya hili.kwa taifa ni mbaya sana
 
Binadamu kula mbuzi sio habari,ila mbuzi kula binadamu si habari tu bali habari kubwaaa

halafu ....!!!!!!, hivi wale ambao walikuwa hawataki kujitokeza kujiandikisha , wengi walikuwa watanzania au wana ccm.
 
Back
Top Bottom