CHADEMA lazima itashinda uchaguzi 2015 - Maige

CHADEMA lazima itashinda uchaguzi 2015 - Maige

Molemo

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
14,620
Reaction score
13,361
Mbunge wa Msalala CCM Ezekiel Maige amekitabiria ushindi mkubwa chama cha Demokrasia na Maendeleo-CDM katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Maige amesema hiyo inatokana na vita ya makundi ndani ya chama hicho ambacho baadhi ya wanachama wananyooshea vidole wanachama wenzao kwamba ni mafisadi.

Ametoa mfano katika jimbo lake mwenyewe la Msalala kwamba ana uhakika jimbo hilo litachukuliwa na CDM kutokana na chuki na fitina za wanaCCM wenyewe.


SOURCE: NIPASHE JUMAPILI
 
kapoteza uwaziri huyo. sasa anaweweseka. mpotezeeni hana jipya, na siyo news tena
 
creating antagonism among politicians is the only way to meet the demands of citizens
 
Nape alishaliona hilo na ameahidi hata ccm ikiwa ni chama cha upinzani bado yeye hatahama, na ataendelea kupiga majungu hadi abaki pekeyake.
 
Namshauri ajiwahi mapema kuhamia CDM la sivyo jimbo lake Msalala liko rehani!!!!!!ingawa ajiandae kupambana na kesi toka kwa magamba hawatamuachia hivi hivi!!
 
Lakini Maige kwanini ayaseme haya sasa na si wakati akiwa serikalini?
 
"CCM imepoteza dira na mwelekeo" - Hayati Horace Kolimba.

Jiangalie Ndugu Maige.
 
maige kumbe ni muongeaji namna hii? Kila siku anaongea yeye tu
 
Mbunge wa Msalala CCM Ezekiel Maige amekitabiria ushindi mkubwa chama cha Demokrasia na Maendeleo-CDM katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Maige amesema hiyo
inatokana na vita ya makundi ndani ya chama hicho ambacho baadhi ya wanachama wananyooshea vidole wanachama wenzao kwamba ni mafisadi.

Ametoa mfano katika jimbo lake mwenyewe la Msalala kwamba ana uhakika jimbo hilo litachukuliwa na CDM kutokana na chuki na fitina za wanaCCM wenyewe.


SOURCE: NIPASHE JUMAPILI
vita vya makundi ccm haiwezi kuwa sababu ya ushindi wa chadema.
ushindi wa chadema utaletwa na watanzania wazalendo wanaotaka mabadiliko na sio vizee vya ccm.
 
Na hichi ni kipaji chake kilchofunikwa mwanzoni.
Unabii....
Ahsante kwa kutusemea mema Maige!
 
Sasa yeye anangoja nini CCM? Si ajivue gamba, na ku-confess mbele ya Watanzania wote uzembe alioufanya maliasili hata kupelekea twiga wetu kuibiwa wakiwa hai? Anaendeleaje kubaki kwenye chama ambacho ni dhahiri kinaelekea kufa?
 
Back
Top Bottom