Ndg zangu (Hossam,Sangarara), mimi naona badala ya kuzidi kulumbana ni bora sasa tusaidiane kuunda hoja ili tufikie malengo.
Nikweli kabisa ndg Hossam kwamba nguvu ya kisiasa inaitajika vijijini(japo hukufafanua ndo maana ukapewa majibu mepesi) na mnavojua vijiji vingi hapo kwetu viko nyuma ki-elimu ndo maana ni wepesi kukubali kutoa haki yao kwa 1kg tu ya nyama! Hivo basi inahitajika mikutano mingi ya hadhara kwa kila kijiji kuelimishwa juu ya ulaia, ikiwezekana nyumba hadi nyumba!
Pili,akina Mama wengi vijijini ni "ccm imenilea!!" Cdm iunde mkakati hasa kwa kutumia wanawake wenzao kuwaelimisha juu ya dhana hiyo potovu walionayo kuwaondolea uoga! e.g kijiji kwetu 2010 wanawake waliambiwa maana ya neno Slaa ni mapanga na bunduki, hivo mkimpa kura Slaa atawamaliza! Wengi waliogopa na hawakupiga kura!!
Kwa kushirikiana na wazawa wekeni makazi ya kudumu(ofisi) japo moja tu hii itatusaidia sana mbeleni.
Cdm kuna wasomi, wabunifu na sera zao ni kali tukishirikiana vyema na wewe unaesoma jf nina uhakika nchi itakombolewa.
Cdm msikate tamaa sasa tuko 50/50 inahitajika nguvu kidogo tu tufikie malengo!
GOD BE WITH CDM!!
Nikweli kabisa ndg Hossam kwamba nguvu ya kisiasa inaitajika vijijini(japo hukufafanua ndo maana ukapewa majibu mepesi) na mnavojua vijiji vingi hapo kwetu viko nyuma ki-elimu ndo maana ni wepesi kukubali kutoa haki yao kwa 1kg tu ya nyama! Hivo basi inahitajika mikutano mingi ya hadhara kwa kila kijiji kuelimishwa juu ya ulaia, ikiwezekana nyumba hadi nyumba!
Pili,akina Mama wengi vijijini ni "ccm imenilea!!" Cdm iunde mkakati hasa kwa kutumia wanawake wenzao kuwaelimisha juu ya dhana hiyo potovu walionayo kuwaondolea uoga! e.g kijiji kwetu 2010 wanawake waliambiwa maana ya neno Slaa ni mapanga na bunduki, hivo mkimpa kura Slaa atawamaliza! Wengi waliogopa na hawakupiga kura!!
Kwa kushirikiana na wazawa wekeni makazi ya kudumu(ofisi) japo moja tu hii itatusaidia sana mbeleni.
Cdm kuna wasomi, wabunifu na sera zao ni kali tukishirikiana vyema na wewe unaesoma jf nina uhakika nchi itakombolewa.
Cdm msikate tamaa sasa tuko 50/50 inahitajika nguvu kidogo tu tufikie malengo!
GOD BE WITH CDM!!