Dialogist
JF-Expert Member
- Apr 14, 2014
- 1,512
- 2,490
Namfatilia Hapa Mkurugenzi wa Tume Ya Uchaguzi, iNEC Bwana Ramadhan Kairima, live kupitia UTV, anasema kesho ni siku ya kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, Na Kwamba Kama Kuna Chama Hakitashiriki Kwenye Kusaini Basi Hakitapata Nafasi Ya Kushiriki Uchaguzi Huo.. Hii Ni Kwa Mujibu Wa Kanuni Ya Uchaguzi No. 162.. (Ngoja Niitafute)
My Take: Hili Ni Pigo Na Mtego Mwingine Mkubwa Kwa Chadema...
My Take: Hili Ni Pigo Na Mtego Mwingine Mkubwa Kwa Chadema...