CHADEMA kwenye mtego mkubwa mwingine...

CHADEMA kwenye mtego mkubwa mwingine...

Dialogist

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2014
Posts
1,512
Reaction score
2,490
Namfatilia Hapa Mkurugenzi wa Tume Ya Uchaguzi, iNEC Bwana Ramadhan Kairima, live kupitia UTV, anasema kesho ni siku ya kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, Na Kwamba Kama Kuna Chama Hakitashiriki Kwenye Kusaini Basi Hakitapata Nafasi Ya Kushiriki Uchaguzi Huo.. Hii Ni Kwa Mujibu Wa Kanuni Ya Uchaguzi No. 162.. (Ngoja Niitafute)

My Take: Hili Ni Pigo Na Mtego Mwingine Mkubwa Kwa Chadema...
 
Namfatilia Hapa Mkurugenzi wa Tume Ya Uchaguzi, iNEC Bwana Ramadhan Kairima, live kupitia UTV, anasema kesho ni siku ya kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, Na Kwamba Kama Kuna Chama Hakitashiriki Kwenye Kusaini Basi Hakitapata Nafasi Ya Kushiriki Uchaguzi Huo.. Hii Ni Kwa Mujibu Wa Kanuni Ya Uchaguzi No. 162.. (Ngoja Niitafute)

My Take: Hili Ni Pigo Na Mtego Mwingine Mkubwa Kwa Chadema...
Jmn mbona hamuelewi, CDM hatushiriki uchaguzi wa Maigizo!

Endeleeni nao nyie wenye maigizo yenu

Kwa sasa nguvu kubwa ya CDM ni kuelimisha maovu ya mfumo wa uchaguzi uliopo!
 
Namfatilia Hapa Mkurugenzi wa Tume Ya Uchaguzi, iNEC Bwana Ramadhan Kairima, live kupitia UTV, anasema kesho ni siku ya kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, Na Kwamba Kama Kuna Chama Hakitashiriki Kwenye Kusaini Basi Hakitapata Nafasi Ya Kushiriki Uchaguzi Huo.. Hii Ni Kwa Mujibu Wa Kanuni Ya Uchaguzi No. 162.. (Ngoja Niitafute)

My Take: Hili Ni Pigo Na Mtego Mwingine Mkubwa Kwa Chadema...
#No reforms no election
#No mbususu no erection
 
Namfatilia Hapa Mkurugenzi wa Tume Ya Uchaguzi, iNEC Bwana Ramadhan Kairima, live kupitia UTV, anasema kesho ni siku ya kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, Na Kwamba Kama Kuna Chama Hakitashiriki Kwenye Kusaini Basi Hakitapata Nafasi Ya Kushiriki Uchaguzi Huo.. Hii Ni Kwa Mujibu Wa Kanuni Ya Uchaguzi No. 162.. (Ngoja Niitafute)

My Take: Hili Ni Pigo Na Mtego Mwingine Mkubwa Kwa Chadema...
Hakuna mtego wa wala nini suala ni moja TU...
NO REFORM, NO ELECTION.
Ova
 
Safi yakose Ruzuku alafu tuone kama yatazururura hovyo

Lissu anajidanganya Tone tone itaendezha chama

Amaesahau ruzuku aliozita haramu ndio zinampa pesa na posho

Chiba kitambi chake kilichojaa mavi kama furushi
Dawa CHADEMA wakose RUZUKU,UMMA wenyewe ukomae hadi kieleweke,yaani UMMA ukatae uchaguzi ambao wakurugenzi ni waamuaji kwa maelekezo ya watawala wa kipindi hicho,yaani MABADILIKO yafanyike.
 
Namfatilia Hapa Mkurugenzi wa Tume Ya Uchaguzi, iNEC Bwana Ramadhan Kairima, live kupitia UTV, anasema kesho ni siku ya kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, Na Kwamba Kama Kuna Chama Hakitashiriki Kwenye Kusaini Basi Hakitapata Nafasi Ya Kushiriki Uchaguzi Huo.. Hii Ni Kwa Mujibu Wa Kanuni Ya Uchaguzi No. 162.. (Ngoja Niitafute)

My Take: Hili Ni Pigo Na Mtego Mwingine Mkubwa Kwa Chadema...
Mtego wa makusudi ??! Au ??

Makada
 
Back
Top Bottom