THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,340
- 12,825
Siku zote tunasema na kuwambia Chadema,
Hivi ni kweli wameshindwa kuwaandaa watu ndani ya Chama kiasi cha kutegemea watu walioshindwa ndan ya chaguz za CCM na kuwafanya kama ni chaguo lao ndan ya Chama??
Hii hali inaleta Taswira kwamba endapo Chadema ikiingia Madarakani watahangaika sana na mamluki au watu wenye elements za ufisadi ambazo wamekuwa nazo miaka mingi na kukulia nazo CCM,
TAARIFA ZIMEVUJA KWAMBA CHADEMA HUSUSANI MAKAO MAKUU,IMEPANGA KUMSIMAMISHA NDUG AKIBARU,KATIKA CHAGUZ ZIJAZO ZA 2015 KATIKA NAFASI YA UBUNGE KWA JIMBO LA NEWALA.
Kama nilivyosema,ni taarifa zilizovuja ndan ya wilaya hiyo na kusambaa kwa kasi sana miongoni mwa wakazi na wananchi wa eneo hilo,
Ikumbukwe kwamba Ndug AKIBARU Amekuwa mpinzani wa mkuchika kwenye kinyang'anyiro cha uchaguz wa kura za maoni ndan ya CCM na kuangushwa kwa hila takriban mara mbili na MKUCHIKA,hadi ikifikia hatua ya kuzusha mtafaruku mkubwa sana ndan ya chama baina ya hawa watu wawili,
Kwa wakazi wa newala,wenyewe wanathibitisha kwamba Ndug AKIBARU nae ni wale wale,zipo taarifa kwamba ni mtu anaejishughulisha na biashara za magendo na udanganyifu pamoja na kashfa zingine za rushwa na kuhonga watu mbali mbali katika chama na nje ya chama ili aweze kuchaguliwa katikanyadhifa mbalimbali,
Jambo pekee liliopelekea yeye kuanguka kwa hizo nyakati mbili na vipind tofauti katika kura za maoni za CCM ni hila za mkuchika na mtandao alionao kuanzia juu hadi chini kichama,lakini kama ni kuhonga na kununua wapiga kura huyu AKIBARU ndiyo kawaida yake na ni mfano m'baya kabisa kwa kiongoz wa kupewa dhamana ya uongoz.
Najua hili suala ndan ya chadema lipo chini kwa chini na halijatolewa kauli rasmi,lakini uhalisia uko hvyo sasa,hizo taarifa zimeshavuja na chadema kama chadema imeshaingia doa katika plan yao hii,either sasa watafute namna ya kumsafisha au namna ya kuongea na wana newala na kuwaomba wao ridhaa na sio kuwapangia kutoka juu mtu anaefaa kwa mustakabali wa maisha na maendeleo yao,
MY TAKE;
HIVI IMESHINDIKANA KABISA KUWAJENGA VIONGOZ IMARA NA WENYE WELEDI BORA KWA CHAMA HADI KUSUBIRI WATU WALIOKATA TAMAA NDANI YA CHAMA CHA CCM KISHA CHADEMA KIWAFANYE KAMA NDIYO FIRST CHOICE YAO??
KWA MAANA TABIA ZA WATU HAZIBADILIKI HATA WAKIHAMA CHAMA,HAINGII AKILINI LEO AKIBARU AONEKANE KUFAA KWA UONGOZ NA MIENENDO ET KISA TUH KAJIUNGA NA CHADEMA,HILI LIANGALIWE KWA UANGALIFU SANA,
NA USIKUTE ANAWEZA KUWA HATA KIBARAKA WA CCM & MAFISADI,
KWA CHAGUO LENU HILO,2015 KAZI MTAKUWA NAYO JIMBO LA NEWALA,,
MTAZAMO TUH.
Hivi ni kweli wameshindwa kuwaandaa watu ndani ya Chama kiasi cha kutegemea watu walioshindwa ndan ya chaguz za CCM na kuwafanya kama ni chaguo lao ndan ya Chama??
Hii hali inaleta Taswira kwamba endapo Chadema ikiingia Madarakani watahangaika sana na mamluki au watu wenye elements za ufisadi ambazo wamekuwa nazo miaka mingi na kukulia nazo CCM,
TAARIFA ZIMEVUJA KWAMBA CHADEMA HUSUSANI MAKAO MAKUU,IMEPANGA KUMSIMAMISHA NDUG AKIBARU,KATIKA CHAGUZ ZIJAZO ZA 2015 KATIKA NAFASI YA UBUNGE KWA JIMBO LA NEWALA.
Kama nilivyosema,ni taarifa zilizovuja ndan ya wilaya hiyo na kusambaa kwa kasi sana miongoni mwa wakazi na wananchi wa eneo hilo,
Ikumbukwe kwamba Ndug AKIBARU Amekuwa mpinzani wa mkuchika kwenye kinyang'anyiro cha uchaguz wa kura za maoni ndan ya CCM na kuangushwa kwa hila takriban mara mbili na MKUCHIKA,hadi ikifikia hatua ya kuzusha mtafaruku mkubwa sana ndan ya chama baina ya hawa watu wawili,
Kwa wakazi wa newala,wenyewe wanathibitisha kwamba Ndug AKIBARU nae ni wale wale,zipo taarifa kwamba ni mtu anaejishughulisha na biashara za magendo na udanganyifu pamoja na kashfa zingine za rushwa na kuhonga watu mbali mbali katika chama na nje ya chama ili aweze kuchaguliwa katikanyadhifa mbalimbali,
Jambo pekee liliopelekea yeye kuanguka kwa hizo nyakati mbili na vipind tofauti katika kura za maoni za CCM ni hila za mkuchika na mtandao alionao kuanzia juu hadi chini kichama,lakini kama ni kuhonga na kununua wapiga kura huyu AKIBARU ndiyo kawaida yake na ni mfano m'baya kabisa kwa kiongoz wa kupewa dhamana ya uongoz.
Najua hili suala ndan ya chadema lipo chini kwa chini na halijatolewa kauli rasmi,lakini uhalisia uko hvyo sasa,hizo taarifa zimeshavuja na chadema kama chadema imeshaingia doa katika plan yao hii,either sasa watafute namna ya kumsafisha au namna ya kuongea na wana newala na kuwaomba wao ridhaa na sio kuwapangia kutoka juu mtu anaefaa kwa mustakabali wa maisha na maendeleo yao,
MY TAKE;
HIVI IMESHINDIKANA KABISA KUWAJENGA VIONGOZ IMARA NA WENYE WELEDI BORA KWA CHAMA HADI KUSUBIRI WATU WALIOKATA TAMAA NDANI YA CHAMA CHA CCM KISHA CHADEMA KIWAFANYE KAMA NDIYO FIRST CHOICE YAO??
KWA MAANA TABIA ZA WATU HAZIBADILIKI HATA WAKIHAMA CHAMA,HAINGII AKILINI LEO AKIBARU AONEKANE KUFAA KWA UONGOZ NA MIENENDO ET KISA TUH KAJIUNGA NA CHADEMA,HILI LIANGALIWE KWA UANGALIFU SANA,
NA USIKUTE ANAWEZA KUWA HATA KIBARAKA WA CCM & MAFISADI,
KWA CHAGUO LENU HILO,2015 KAZI MTAKUWA NAYO JIMBO LA NEWALA,,
MTAZAMO TUH.