yegella
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,113
- 1,102
Vyama vingi vimeaanza mwaka 1992, hivyo watu wengi utakuta wamepitia CCM na hakuna mna unaweza kusema eti hatuwataki watu kutoka CCM, huo utakuwa upumbavu...cha msingi ni kumpa mtu nafasi kama anafaa na watu wajitokeze kugombea siyoo nasikia anatoa rushwa tuwekee ushahidi hata hivyo wangombea hawachaguliwi na makao makuu ni huko huko wana Newala ndiyo watako mteua mgombea kupitia chama chao na siyo Tundu Lisu wala Mbowe...The big show unatisha! Ila mimi nakuunga mkono, chadema inatabia ya kuchukuwa left overs, hilo hata mimi mwenyewe ninaliona kabisa kabisa.mfano walipotaka samweli sitta agombee urais thru chadema hivi kweli hiyo kitu inakuingia akilini? Ukweli mchungu ben saa8, tumaini makene fikisheni ujumbe kwa viongozi waache tabia ya kusomba somba wahamiaji haramu na kuwapa nafasi za kugombea uongozi.wawajali wana chama wao.hope ujumbe umefika.hata hawa akina bongo fleva wanaojiunga na chadema hatutaki wapewe nafasi za uongozi maana njaa zao ndio zinazo waleta. Big show nakubaliana na wewe 100%