Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,502
- 6,403
- Thread starter
- #81
Kama vile ukitoka CCM wewe in fisadi lakini ukirudi ccm umerudi nyumbani (kwa mafisadi) na unajitambua.Nyalandu bora bado yupo chadema, hatatukanwa wala kebehiwa, kwa wanachadema kutokea ccm ukaja chadema wewe ni jasiri, ukiondoka chadema msaliti
Sent using Jamii Forums mobile app
Waberoya,
Slaa alihitaji nini zaidi wakati mpaka cheo cha juu alipata?
Kura ambazo Lowasa ameleta chadema Dr slaa asingeweza never so kwa wakati ule Lowasa alikuwa chaguo sahihi
CDM was firm, strong and well established na ilikuwa focused na agenda zake kila mtu alijua IDENTITY ya CDM ilijulikana hata bila Lowassa kuwepo
Mbowe na wewe mliwaza kubeba urais, ndoto ambazo hata Lowassa alijua haziwezi kuja. Mbowe akauza uttu wa CDM, Identity ya CDM, na akaua kila kilichopandwa na CDM, mafuriko ya kura ya LOWASSA yalikuwa na mlengo wa kibiashara wa kupiga hela za ubunge na ruzuku, haukuwa na na mitazomo/mtizamo wa ku focus kwenye uchaguzi wa 2020. Infact ni kama malaya ana danga anunue Range Rover au Maserati kwa kusimama na kuwa malaya pale Ohio, wakati wangezichanga kwa kazi yake halali angenunua bila kuvua utu wake
Ile ID ya chadema, imekufa
Slaa mwaka 2015 angegombea, CDM ingepata kura nyingi zaidi ya mwaka 2010, ingeingeza wabunge maana CCM ilikuwa imechokwa hiyo 2015, hata kama slaa aingepata kura milioni sita, ILA KURA ZA SLAA ZA MWAKA 2015 zingetengeneza PLATFORM nzuri kwa uchagui wa mwaka 2020!!!!!! CDM 2020 ingenoga!! ingekuwa tishio sana,
Lowasa yuko wapi sasa?? ile CDM ya mwaka 2007-2014 iko wapi??? CDM imekufa, na imekufa kwa maamuzi mabovu,
wewe kama una mtoto wa kike utaruhusu akawe malaya upate hela na mafanikio ya haraka haraka, naomba isiwe ndivyo ulivyopatikana mkuu!!!
Kaka hata slaa angekuwepo leo siasa zake za kuhonga na kupata mafaili zisingefaa lolote, ishu ni kuwa uelekeo wa siasa umebadilika sana hasa awamu hii
Lowasa kaleta faida kubwa chadema kuliko slaa, alichokuwa nafanya slaa ni kujijenga yy kama yy na ndio maana ccm wamempokea tena Lowasa coz wanajua dhamani yake
Unahitaji 101 basics za siasa,
Unahitaji kujua tumetoka wap
Slaa hakuwa anahonga, system ina watu wanaoipenda, walioipenda CDM....
Aliyeyakaribisha mafuriko haongelewi wala hakosolewi (mbowe) kama msababisha tatizo. Matokeo yake linaongelewa tatizo bila kumhusisha alielisababisha. Wanachama wa Chadema aliyewaroga amekufa. Dk. Slaa alitahadharisha mapema sana haya yanayotokea leo, akaishia kutukanwa matusi ya nguoni na kuitwa msaliti.Siusemei moyo wa Nyalandu. Lakini Nyalandu hakuja Chadema kwa mafuriko yale ya kipindi cha uchaguzi, yeye aliacha mambo ya CCM na hiana zao baada ya ndugu yake Mnyaturu na mbunge mwenzake kupigwa risasi nyingi kama nyati wa mwituni na Wabunge wa CCM kukatazwa kwenda kumuona.
Hilo la Nyalandu ni la kiutu na takatifu sana kuweza kulinganisha na matukio ya hao "manungayembe" wengine.
Pia ukiangalia genuineness ya Nyalandu ni kuwashirikisha hadi wazazi wake, kijiji chake na jamii iliyo mzunguka kuelewa kwa nini amebadili imani yake.
Sikatai kuwa haiwezekani kugeuka msaliti! Maana wapo mpaka waanzilishi wa mageuzi wamegeuka kuwa wasaliti na hata huko ndani ya CCM wapo ambao sio wa kwao na ndio wanaofanya mipango yote miovu ya CCM na serikali wakiamka tuu wanaikuta inajulikana Chadema
Sent using Jamii Forums mobile app
Haina faida kwetu wananchi
Puyet Babel,
Si rahisi kumjua mbaya na mwema. La msingi asipewe Chama kama mwambe alivyokuwa amegombea Uenyekiti CDM! Kumfukuza uanachama bila kosa si busara! Unakaa naye kwa machale!
Hatuwezi kumhukumu kwa hisia tu
Uyooo Waberoya munio wa ma nyinya!Yaani hata wewe huelewi! Chakaza kaeleza vizuri sana kwa nini kuhama kwake ni tofauti na wale wengine. Yaani Nyalandu alifanya ubinadamu wakati shetani anawazuia wabunge na wanaCCM kutokwenda kumuona Lissu hospitali. Ukishindwa kuelewa basi "munio wakho"
Mwenye masikio na asikieHabari za Jumapili wakuu,
Katika hali isiyoshangaza kabisa ya mwana kurejea nyumbani (CCM) ikiwa inaendelea kwa sababu tu za kuunga juhudi za Mheshimiwa Rais Magufuli, napenda kutoa rai na kukiasa CHADEMA kwamba huu ndio muda sahihi kwao kuchukua hatua stahiki dhidi ya wana CCM waliobaki ndani ya chama.
Lazaro Nyalandu kwa sasa ndiye amebaki katika safu ya juu ya CHADEMA anayetokea CCM, ni vema wanaCHADEMA mkawa makini na mtu huyu kwani muda si mrefu ataunga juhudi za Rais kwa kigezo tu anarudi kwa chama chao cha nyumbani.
Ni muda sahihi sasa kubaki na wanaCHADEMA asilia, hawa wachumia tumbo wanaohama vyama kila kukicha baada ya kukosa wanachokitafuta kuwaondoa chamani mapema.
CHADEMA mnatakiwa kumvua Nyalandu uanachama, huyu hawafai na ndani ya mwaka huu msipochukua hatua atawakimbia mchana kweupe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni mpya!Kuna watu wanajaribu kutubadilisha mawazo lakini Ngo hawatatuweza.
Nataka kusema sasa ni zamu ya kanda ya kati na wao wapate matunda na waingie serikalini
Na watu sahihi wa kanda ya kati ktk kugombea ni kina Mwingulu,Mkumbo,Lissu na Nyalandu.....sasa endeleeni wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa unateseka ukiiona post yanguWewe unahusika vipi na habari za wana cdm? Wewe ni lumumba tuView attachment 1359797
In God we Trust
Huwa unateseka ukiiona post yangu
Aliyeyakaribisha mafuriko haongelewi wala hakosolewi (mbowe) kama msababisha tatizo. Matokeo yake linaongelewa tatizo bila kumhusisha alielisababisha. Wanachama wa Chadema aliyewaroga amekufa. Dk. Slaa alitahadharisha mapema sana haya yanayotokea leo, akaishia kutukanwa matusi ya nguoni na kuitwa msaliti.
Sent using Jamii Forums mobile app