BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
Kule Twitter mara nyingi tu baada ya kifo cha dhalimu aliulizwa lini anarudi ccm, akawa anavunga hajibu kitu.
Hatimaye yametimia
Hatimaye yametimia
Puyet Babel,
Kabla ya kuandika chunguza kwanza kilichomuondoa Nyalandu ccm , pia fuatilia maisha binafsi ya Nyalandu utagundua kitu , labda kwa faida yako na wengine huyu Nyalandu ndiye Mtanzania Pekee aliyemo humu Nchini mwenye Network kubwa zaidi ya kimataifa na ana exposure ya kutosha kumtoa ushamba
Mabavicha mnapata tabuMATAGA njooni huku....
Kwanini hamkumfukuza?Kule Twitter mara nyingi tu baada ya kifo cha dhalimu aliulizwa lini anarudi ccm, akawa anavunga hajibu kitu.
Chadema mnageuzwa geuzwa tu kama samakiHatimaye yametimia
😂😂😂😂😂
Tabu ipo lumumba baada ya mfalme mwenye kiburi kuondoka buku 7 hakuna hapo LumumbaMabavicha mnapata tabu
Chakaza,
Nyalandu ameokoka. All he wants is justice!
Ushauri Wa hovyo sana huu
Kuna watu wanajaribu kutubadilisha mawazo lakini Ngo hawatatuweza.
Nataka kusema sasa ni zamu ya kanda ya kati na wao wapate matunda na waingie serikalini
Na watu sahihi wa kanda ya kati ktk kugombea ni kina Mwingulu,Mkumbo,Lissu na Nyalandu.....sasa endeleeni wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi wewe mwaka jana ulifwata huu ushauri au ulikuwa miongoni mwa wale waliompiga vita mtoa madaKutoka maktaba
Buku 7? Si mlikuwa mnasema mwenda zake hatoi buku 7 tena? Leo mmegeuka tena?Tabu ipo lumumba baada ya mfalme mwenye kiburi kuondoka buku 7 hakuna hapo Lumumba
MatagaNi nyumbu tu atakayebaki chadema
Naam!Habari za Jumapili wakuu,
Katika hali isiyoshangaza kabisa ya mwana kurejea nyumbani (CCM) ikiwa inaendelea kwa sababu tu za kuunga juhudi za Mheshimiwa Rais Magufuli, napenda kutoa rai na kukiasa CHADEMA kwamba huu ndio muda sahihi kwao kuchukua hatua stahiki dhidi ya wana CCM waliobaki ndani ya chama.
Lazaro Nyalandu kwa sasa ndiye amebaki katika safu ya juu ya CHADEMA anayetokea CCM, ni vema wanaCHADEMA mkawa makini na mtu huyu kwani muda si mrefu ataunga juhudi za Rais kwa kigezo tu anarudi kwa chama chao cha nyumbani.
Ni muda sahihi sasa kubaki na wanaCHADEMA asilia, hawa wachumia tumbo wanaohama vyama kila kukicha baada ya kukosa wanachokitafuta kuwaondoa chamani mapema.
CHADEMA mnatakiwa kumvua Nyalandu uanachama, huyu hawafai na ndani ya mwaka huu msipochukua hatua atawakimbia mchana kweupe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anageuzwa mama yakoChadema mnageuzwa geuzwa tu kama samaki
Hatimaye yametimia