CHADEMA kutoa maazimio mazito ya Kamati Kuu leo

CHADEMA kutoa maazimio mazito ya Kamati Kuu leo

Molemo

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
14,620
Reaction score
13,361
Wakati Taifa likiwa katika sintofahamu kubwa ya mgomo wa madereva nchini kote, CHADEMA inakutana na wanahabari saa 7 mchana makao makuu ya chama kutoa maazimio ya kikao cha kamati kuu kilichokutana kwa siku mbili.

Taifa pia linatarajia kupata msimamo rasmi wa CHADEMA juu ya mateso wanayopata wananchi baada ya mgomo wa madereva ulioingia siku ya pili.

Na hii ni baada ya viongozi wa serikali ya CCM kupuuza kilio na mateso makubwa ya wananchi wanayopata kwa sasa baada ya kukataa kuonana na madereva wanaogoma huku Waziri wa Uchukuzi Samwel Sitta akishindwa kabisa kutatua mgogoro huu kutokana na kuendekeza ubabe
 
Sawa Tunasubiri makamanda...wale wenye macho ya husda kwa Chadema mtakoma na magazeti yenu uchwara ya Mtanzania, Jambo leo na Uhuru...eti JJ Mnyika na Tundu Lisu walikutana na viongozi wa madereva kupanga mgomo...yan ni ujinga tu wa fikra na kujipendekeza....Tayari nimeyaorodhesha magazeti haya katika blacklist yangu kuwa ni maadui wa haki na demokrasia...hivyo nimeyawekea vikwazo nisiyaone nyumbani kwangu toka sasa...hata mgeni akija kwangu akiwa nayo atalazimika kuyaacha huko nje ndo aingie ndani...
 
Sawa Tunasubiri makamanda...wale wenye macho ya husda kwa Chadema mtakoma na magazeti yenu uchwara ya Mtanzania, Jambo leo na Uhuru...eti JJ Mnyika na Tundu Lisu walikutana na viongozi wa madereva kupanga mgomo...yan ni ujinga tu wa fikra na kujipendekeza....Tayari nimeyaorodhesha magazeti haya katika blacklist yangu kuwa ni maadui wa haki na demokrasia...hivyo nimeyawekea vikwazo nisiyaone nyumbani kwangu toka sasa...hata mgeni akija kwangu akiwa nayo atalazimika kuyaacha huko nje ndo aingie ndani...

Ktk orodha hiyo umesahau tazama na mkakati
 
chama cha matamko yasio na tija.......ndio upeo wa kiongozi wa juu ulipokomea hapo, na bado anang'ang'ania madaraka.
Bora maccm yaendelee kushika hatamu, hawa matapeli wa siasa watatuingiza chaka zaidi.
 
Tunategemea mapendekezo ambayo yatatoa suluhu ya kudumu kwa tatizo hili hata kwa miaka 100 ijayo....hatutegemei malalamiko kwa kuwa hali hii imeshajitokeza na athari zake zinajulikana.
 
Hakuna kizito kinachoweza kutoka chadema,,nchi inaongozwa na CCM,,huku ndo kuna mazito...!
 
Inasikitisha sana kuona chama kinachotamba kwamba kina uzoefu wa uongozi wa taifa kwa miaka zaidi ya 50, kinashindwa kutatua matatizo madogo madogo kama haya - hii ni aibu kubwa!!

Techniques za uongozi wa nchi zilizotumika miaka iliyopita kwa sasa haziwezi kufanya kazi tena baada ya wananchi kuzijua haki zao za msingi.

Zile kauli za kisiasa za "wananchi tulieni wakati serikali inatafuta ufumbuzi wa kudumu wa jambo hili.." hizi kauli kwa sasa wananchi washaziona ni za kisanii.
 
Matamko,migomo na maandamano ndio njia pekee ya kuopeleka CDM ikulu.
 
Pasco aliyenifanya nijiunge Jf siyo huyu, Pasco anashadadia ukabira (kumbuka uzi wake kuhusu Lema!)
Duu,,!, kumbe mkuu ulijiunga jf kwa kufuata mtu?!. Mimi nilidhani umejiunga jf kufuata issues na jinsi watu wanavyokata issues?!.Kuhusu huyo Chalii, 2015 ndio mwisho wake, aende tuu Moshi, kwa sababu kwa sasa Arachuga pia wenyewe wapo na sio kutegemea wageni miaka nenda, miaka rudi!.

Pasco
 
chama cha matamko yasio na tija.......ndio upeo wa kiongozi wa juu ulipokomea hapo, na bado anang'ang'ania madaraka.
Bora maccm yaendelee kushika hatamu, hawa matapeli wa siasa watatuingiza chaka zaidi.
Ili wazazi wako waendelee kutuibia mwisho December ccm kwisha tafuta pa kuwapeleka familia yako.


swissme
 
Hakuna kizito kinachoweza kutoka chadema,,nchi inaongozwa na CCM,,huku ndo kuna mazito...!

Kweli mazito tunayaona, nchi inaenda mrama, ccm ipo monchwar ikisubiri maziko, maisha magumu kwa kila mdanganyika ndiyo haya basi ili mradi tu.
 
Chadema waache uchochezi, huu mgomo wa madereva hautawasaidia kitu
 
Hapo kwenye bold na herufi kubwa,kuna walakini,sijapata majibu,kwa nini ume-bold na umeandika kwa herufi kubwa? Kama ni kukosea basi neno hilo lisingekuwa bolded! There is something over there and actually there must be a reason since anything happens for reason. Na every person is rational in making decisions.
Asante kwa taarifa, tunasubiria hayo maazimio maZITO!.

Pasco
 
madereva wamegundua janja yenu, wamerudi kazini kabla ya matamko yenu ya kununua kwa mil 5 landmark
 
Kwa hiyo madereva nchi nzima ni chadema au mnaweweseka tu hapa?????????? Acheni siasa za miferejini, ccm imeshindwa kutatua kamgogoro kadogo kama hako kwa masaa 48 itawezaje kutatua matatizo makubwa yanayoikabili hii nchi??????? wakati mwingine ni bora kukaa kimya.
 
Mazito ya ccm nikushindwa kuongoza. Haiwezekani wananchi wanataabika serikali inashindwa kutoa suluhu ya jambo lililowazi na madai yaliyowazi. Hawataki madereva wawe na mkataba coz magari niyao na hawataki kulipa kodi stahiki
 
Back
Top Bottom