CHADEMA kutoa maazimio mazito ya Kamati Kuu leo

CHADEMA kutoa maazimio mazito ya Kamati Kuu leo

Ni ulimbuken Mkubwa kushabikia matatizo yanayoweza kutatulika kisa suluhisho limetoka kwa mpinzan ndo maana hatuendelei
 
Ni ulimbuken Mkubwa kushabikia matatizo yanayoweza kutatulika kisa suluhisho limetoka kwa mpinzan ndo maana hatuendelei
Hivi ni nani alokudanganya kuwa mgomo umemalizwa na mbowe? Mgomo umemalizwa na makonda, Hebu tuulizen tulokuwepo ubungo, mbowe hata hakufanikiwa kuhutubia
 
Sasa nimeanza kuamini sasa kuwa Chadema hakuna watu makini tena bali wanavizia uwepo wa matukio ndio wajibaraguze kutafuta huruma ya wananchi.

Nakumbuka Siku ya mkutano wa ACT pale serena Mnyika nae aliitisha mkurano kwa madai kama hayohayo ya kufanta maamuzi mazito halafu akaishia kupata aibu kwa waandishi kugoma kwenda,sasa hili la madereva limerejesha uhai wa chama baada ya kumiss matukio kwa muda mrefu.

Chama cha matukio ni ishara ya kukosa umakini kwa viongozi wanaokiongiza.
 
Huyu Mzee sijui alipewa Nishani kwa Utumishi upi uliotukuka? Hope Rais anaona weakness ya watendaji wake ...

Wakati Taifa likiwa katika sintofahamu kubwa ya mgomo wa madereva nchini kote, CHADEMA inakutana na wanahabari saa 7 mchana makao makuu ya chama kutoa maazimio ya kikao cha kamati kuu kilichokutana kwa siku mbili.

Taifa pia linatarajia kupata msimamo rasmi wa CHADEMA juu ya mateso wanayopata wananchi baada ya mgomo wa madereva ulioingia siku ya pili.

Na hii ni baada ya viongozi wa serikali ya CCM kupuuza kilio na mateso makubwa ya wananchi wanayopata kwa sasa baada ya kukataa kuonana na madereva wanaogoma huku Waziri wa Uchukuzi Samwel Sitta akishindwa kabisa kutatua mgogoro huu kutokana na kuendekeza ubabe
 
Chama cha kusubiri matukio na misiba ndio kifanye siasa,msije kuanza kujilipua ili kutafuta huruma maana mkikosa matukio kuelekea uchaguzi mkuu msianze kujiteka na kujilipua kama mlivyofanya Arusha.shame on you
 
Imeshafahamika kati ya ccm na chadema ni nani anawajali wananchi.
 
Ni muda mrefu tangu kikao cha kamati kumalizika. Watanzania tukiwa na subira na uvumilivu wa hali ya juu sasa ni masaa takribani mawili hatuja pata yaliyojili katika kikao chenu. Hii siyo haki kwetu watanzania. Tunaomba mfanye hima kutuhabarisha nini kimejadiliwa na maazimio yepi yameafikiwa.

Kwa ujumbe huu naomba hima mtupe mrejesho ili watanzania tuweze kuliza moyo kwani kutunyima habari hii kwa masaa mawili siyo haki wala siyo uzalendo kwa mstakabali wa nchi yetu

Mods iache hapa wasome na wafanye haraka.
 
  • Thanks
Reactions: Gor
Ni muda mrefu tangu kikao cha kamati kumalizika. Watanzania tukiwa na subira na uvumilivu wa hali ya juu sasa ni masaa takribani mawili hatuja pata yaliyojili katika kikao chetu. Hii siyo haki kwetu watanzania. Tunaomba mfanye hima kutuhabarisha nini kimejadiliwa na maazimio yepi ya kikao yamefikiwa. Kwa ujumbe huu naomba haraka sana mtupe mrejesho ili watanzania tuwe na furaha kwani kutunyima habari hii kwa masaa mawili siyo haki wara siyo uzalendo.

Mods iache hapa wasome na wafanye haraka.
kwani hawajaja kwenye press assembly?
 
Sawa Tunasubiri makamanda...wale wenye macho ya husda kwa Chadema mtakoma na magazeti yenu uchwara ya Mtanzania, Jambo leo na Uhuru...eti JJ Mnyika na Tundu Lisu walikutana na viongozi wa madereva kupanga mgomo...yan ni ujinga tu wa fikra na kujipendekeza....Tayari nimeyaorodhesha magazeti haya katika blacklist yangu kuwa ni maadui wa haki na demokrasia...hivyo nimeyawekea vikwazo nisiyaone nyumbani kwangu toka sasa...hata mgeni akija kwangu akiwa nayo atalazimika kuyaacha huko nje ndo aingie ndani...

I never touch e'm
 
Asante kwa taarifa, tunasubiria hayo maazimio maZITO!.

Pasco
Kijambo cha mtu kama Pasco hakivurugi mkutano.Watu wanaweza ziba pua na kutema mate ila mkutano utaendelea.
 
Matamko,migomo na maandamano ndio njia pekee ya kuopeleka CDM ikulu.

Kama CHADEMA wanaona migomo na nchi kutotawalika basi ikifika wakati wao watajuta na kusaga meno maana wameishawajenga wananchi kuandamana na migomo na hiyo haitaisha milele yote na watajuta kufundisha ujinga huu.
 
Ni ulimbuken Mkubwa kushabikia matatizo yanayoweza kutatulika kisa suluhisho limetoka kwa mpinzan ndo maana hatuendelei

mimi siamini kama suluhu imepatikana maana madereva wanataka mikataba ya kazi toka kwa waajiri wao pamoja na mambo ya msingi kama hifadhi ya jamii na bima ambayo ni cost kwa waajiri at the same time watu tunataka kila basi liendalo mikoani liwe na madereva wawili, that is another cost kwa mwenye bus so niambie suluhu ipo wapi hapa? watu wanonyesha mbwembwe za kisiasa tu maana the very moment serikali ina lazimisha hizo gharama, wenye mabasi na malory nao wanagoma we go back to square one! and mbowe anaweza kujiandaa kwenda ubungo tena wakati matajiri wamegoma.

kitu ambacho sielewi ni watu wa dala dala wanagoma kwa nini wakati tunajua dereva kwa siku anachukua karibu mara tatu ya hesabu anayo mpa mwenye gari!! kama huamini tafuta dogo yeyote anaye endesha dala dala route yoyote ile atakwambia by saa tano hesabu imeisha kamilika, kesha peleka kilo nne za nyama kwa madem zake. jioni ndio anatafuta pesa ya boss sasa what is the logic behind kugoma kwao??

A LASTING SOLUTION TO THIS STUPIDITY IS TO INTRODUCE THE PUBLIC TRANSPORT SYSTEM PERIOD!!!!!!!!!!!!!!!
 
CHADEMA kuna nini huko ndani?. Mbona press imeyeyuka?.
 
Back
Top Bottom