econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,818
- 21,816
Wewe ndio uwache kujipendekeza.Chadema ni watu wachache wenye nguvu ndani yao,ikitokea kuwa Mbowe anatakiwa kugombea pale Hai,atagombea tuu.
Waambie watu wa Mshikamano waache kuisujudia cdm sababu chadema haina maslahi yeyote musoma zaidi ya wanamusoma kujipendekeza.