Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,778
- 218,404
Unaambiwa Nchini Tanzania leo kunafanyika uchaguzi kwenye Kata zaidi ya 10 , chaguzi hizi zinafanyika ili kuziba nafasi za madiwani zilizokuwa wazi kwa sababu mbalimbali zikiwemo za vifo .
Lakini baada ya Chadema kujiondoa kwenye chaguzi hizi zinazosimamiwa na makada wa ccm , Wananchi wote kwa umoja wao wamepuuza kabisa chaguzi hizi na wala hawataki hata kuzisikia .
Jambo hili limedhihirisha nguvu ya Chadema kwenye siasa za Tanzania.
Mungu Ibariki Chadema
Lakini baada ya Chadema kujiondoa kwenye chaguzi hizi zinazosimamiwa na makada wa ccm , Wananchi wote kwa umoja wao wamepuuza kabisa chaguzi hizi na wala hawataki hata kuzisikia .
Jambo hili limedhihirisha nguvu ya Chadema kwenye siasa za Tanzania.
Mungu Ibariki Chadema