CHADEMA Kushirikisha wapinzani kuongoza kambi rasmi bungeni?

Zipo taarifa kuwa chadema chini ya kamanda mbowe itavunja baraza kiviri na kushirikisha vyama vingine vya upinzani huku nafasi ya naibu mkuu wa upinzani ikienda cuf na mnadhimu atatoka nccr chanzo ni tetesi toka vyama vitakavyo shirikishwa taarifa toka ktk matawi.

Mtoa habari mwemanga heading yako ni kama inauliza swali then huku ndani unatupa kama maelezo lakini yamekaa kitetesi zaidi. You need to confirm this information ndo utuletee hapa jamvini. Otherwise sidhani kama hilo linawezekana.
 
betty-white-marriages-newsweek
 
...na wameisha-zaa mtoto anaitwa ADC...

Mkuu tetesi nilizosikia ni kwamba huyo mtoto ni wa haramu baba hamtaki ndio maana ndoa imeanza kuwa ndoano. Lakini kwa kuwa kitanda hakiz** haramu, basi mume ameamua atamlea hivyo hivyo japo nasikia mama kabeba nyingine na siku sio nyingi tutasikia mambo flani hivi. Stay tuned.
 
Alama ya vidole viwili siyo hati miliki ya chadema, ni ishara ya watu wanaotaka mabadiliko! Kwahiyo shekhe farid ni kama wale wananchi wa libya, tunisia, misri, siria wanatumia alama ya vidole viwili kama ishara ya victory au change.
 
Mkuu tetesi nilizosikia ni kwamba huyo mtoto ni wa haramu baba hamtaki ndio maana ndoa imeanza kuwa ndoano. Lakini kwa kuwa kitanda hakiz** haramu, basi mume ameamua atamlea hivyo hivyo japo nasikia mama kabeba nyingine na siku sio nyingi tutasikia mambo flani hivi. Stay tuned.

Chauma!!??
 
Join Date : 22nd October 2012
Posts : 5
Rep Power : 302
Likes Received1
Likes Given0



Registration yako inatosha kukudharau
 
Nika vile umedhamilia kupoteza muda wa wanajf kwa kutoa mawazo yako ambayo hayana tofauti na ndoto za ABUNUASI.
 
Wazanzibar wanaposema hawataki muungano kumbe wapo sahihi kwa sababu kitendo cha CUF na CCM kuungana ili kuondoa uhasama imekuwa nong'wa hivi ndugu zangu inamaana mlikuwa mkifurahi kwa vurugu za visiwani mpaka watu kuuawa kama kipindi kile
 
Hizo zitabaki ndoto za Ali-Nacha, there's no way CDM inaweza ku-sever umbilical cord ya kiukoo. Eti nini? wakakubali ku-accomodate vyama vingine vya upinzani!! THUBUTUU.
 
Mkuu, "tantarira" zako zote ningeweza kuzikubali isipokuwa hapo kwenye mnadhimu ndipo ulipoonesha hata kudanganya hujui. Nakuhakikishia tangu nchi hii ipate uhuru hapajaondekea mnadhimu bora kama huyu wa sasa hivi.

mwemanga,Mzito Kabwela,Mzee wa Rula,
Jambo hili wenye mtazamo wa kimapinduzi na mageuzi ya kweli wataweza kuona umuhimu wake kuongeza nguvu, na mambo yanayopiganiwa iwe nguvu ya umma na bungeni upinzani uwe na nguvu moja. Nafasi ipo kubwa tu tukishika dola kugawana majukumu kuanzia balozi, wizara, mikoa nk. Shida ni kumtoa nyoka pangoni anayetumalizia vifaranga vyetu.

Wazo lenyewe ni zuri sana tu nami naliafiki kama ipo siku watafikia hatua hiyo kwani kuunganisha nguvu kwa vyama vya upinzani itawapa sana jeuri upinzania Tanzania kuchukua dola kwa wepesi zaidi kwa sababu CCM na serikali yake hutumia mbinu za waingereza enzi wa ukoloni kwa ile kanuni ya divide and rule.

Jambo hilo linaweza kuleta picha fulani kwani movement za M4C na kauli za Kamanda Mbowe zinaonyesha hali ya kujiamini zaidi huenda kunga nguvu vulani yenye kuonyesha matumaini zaidi.

Binafsi nitakuwa na furaha na faraja zaidi ikitokea hivyo kwani hata kama kila Chama kitabaki peke yake, mambo yakishanyooka na kushika dola upo uwezekana wa vyama vilivyoungana kuamua kuwa Chama kimoja cha nguvu cha kisiasa nchini na hivyo kuisambaratisha kabisa CCM.

Tulipokuwa shule ya msingi tulikuwa tunaimba UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI UDHAIFU.

Best wetu wa JF
Ritz unaonaje mpango huo unafaa kwa maendeleo ya taifa leo au la?
 
Wazo zuri sana tena sana katika kuelekea 2015 yatupasa kuondoa fikra mgando za kichama na kuweka firka mpya za umoja wa vyama vyetu ili baadae kipatikane kimoja chenye tija,ufanisi na hali ya kweli ya kuleta mapinduzi ya kweli yatakayo kuwa hai siku zote.kama si sawa basi vyama vyetu vitaonekana kama magenge ya kiuni tu yasio na nia njema kwa ustawi wa nchi,basi kwa maslai yao binafsi na wale tu ambao wako karibu yao.katika hili itadhiliirika kama tunazo siasa za ukweli ama za uongo kwani inaovyoonekana sasa siasa ni deal kama dili nyingine tu cha msingi tu ni kuwa na watu wako.(kura).katika hili kama viongozi wetu wa vyama watayatoa maslai yao (money) pamoja na nafasi zao (material posotion) hakika suala hili litalejesha heshima yetu sisi kama taifa lenye kupenda amani,utulivu na ukarimu miongoni mwetu.
 
Back
Top Bottom