Zipo taarifa kuwa chadema chini ya kamanda mbowe itavunja baraza kiviri na kushirikisha vyama vingine vya upinzani huku nafasi ya naibu mkuu wa upinzani ikienda cuf na mnadhimu atatoka nccr chanzo ni tetesi toka vyama vitakavyo shirikishwa taarifa toka ktk matawi.