Wakati katibu mkuu wa chama cha mafisadi (CCM) akifanya ziara na kuleta uhai wa chama ili kishiriki katika chaguzi za serikali za mitaa hapo mwishoni mwa mwaka CHADEMA chenyewe kimesinzia kama si kulala usingizi wa pono, haiwezekani chama kinafanya mikutano yao Dar es salaam na Arusha ambako kimsingi watu wameshazinduka, ni kwanini juhudi hizo zisielekezwe vijijini ambako ndo kuna wapiga kura wengi, sasa hivi chama kimekalia serikali tatu ambazo kimsingi haziwezi kusaidia kubadilisha matokeo serikali za mitaa, Madhara ya Kinana mtayaona hapo October kwenye uchaguzi serikali za mitaa endeleeni kulala.