POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,402
Kama ulivyofanya maCCM na mi kafu....:kev:Chadema yalivyo mabinafsi sijui kama yatakubali kuungana na wenzao.
Kama ulivyofanya maCCM na mi kafu....:kev:Chadema yalivyo mabinafsi sijui kama yatakubali kuungana na wenzao.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA kinatarajiwa kuongeza nguvu yake kisiasa kwa kuongoza Halmashauri mpya ya wilaya ya Uvinza inayotarajiwa kuanza kisheria 20 Julai,2013.Halmashauri hii iko katika mkoa wa Kigoma.
Halmashauri hiyo ya Uvinza ina Jumla ya Madiwani 13 kutoka upinzani na CCM ina madiwani 8 tu.Kati ya hao madiwani wa upinzani CHADEMA inao jumla 7 NCCR 5 na mbunge mmoja kutoka NCCR.
Kutokana na hali hiyo Chadema inatarajiwa kuungana na NCCR ili kumpata Mkiti na Makamu Mkiti kutoka katika vyama hivyo.Endapo kila kitu kitaenda sawa Mkiti atapendekezwa kutoka Chadema na Makamu Mkiti atatoka NCCR.Halafu vyama hivyo vitagawana nafasi ya wenyeviti wa kamati mbalimbali.
Hata hivyo kuna hofu kubwa kwamba CCM kinataka kumtumia Mkiti wa NCCR James Mbatia kutaka CCM waungane na NCCR na kuisaliti Chadema.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA kinatarajiwa kuongeza nguvu yake kisiasa kwa kuongoza Halmashauri mpya ya wilaya ya Uvinza inayotarajiwa kuanza kisheria 20 Julai,2013.Halmashauri hii iko katika mkoa wa Kigoma.
Halmashauri hiyo ya Uvinza ina Jumla ya Madiwani 13 kutoka upinzani na CCM ina madiwani 8 tu.Kati ya hao madiwani wa upinzani CHADEMA inao jumla 7 NCCR 5 na mbunge mmoja kutoka NCCR.
Kutokana na hali hiyo Chadema inatarajiwa kuungana na NCCR ili kumpata Mkiti na Makamu Mkiti kutoka katika vyama hivyo.Endapo kila kitu kitaenda sawa Mkiti atapendekezwa kutoka Chadema na Makamu Mkiti atatoka NCCR.Halafu vyama hivyo vitagawana nafasi ya wenyeviti wa kamati mbalimbali.
Hata hivyo kuna hofu kubwa kwamba CCM kinataka kumtumia Mkiti wa NCCR James Mbatia kutaka CCM waungane na NCCR na kuisaliti Chadema.
Chadema ni chama maslahi, inakuwaje muungane na nccr wakati kila siku mnahubiri majukaani kuwa nccr ni ccm c, wajinga ndio waliwao
Chadema yalivyo mabinafsi sijui kama yatakubali kuungana na wenzao.
Mkuu, MoU kati ya Chadema na NCCR ipoKuisaliti chadema???? Kwani kuna MoU kati ya Chadema na NCCR? Au neno kusaliti ni hisia tu?
NCCR wakikubali tu, kuungana na ccm ndio itakuwa mwisho wao katika mkoa wa KigomaChama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA kinatarajiwa kuongeza nguvu yake kisiasa kwa kuongoza Halmashauri mpya ya wilaya ya Uvinza inayotarajiwa kuanza kisheria 20 Julai,2013.Halmashauri hii iko katika mkoa wa Kigoma.
Halmashauri hiyo ya Uvinza ina Jumla ya Madiwani 13 kutoka upinzani na CCM ina madiwani 8 tu.Kati ya hao madiwani wa upinzani CHADEMA inao jumla 7 NCCR 5 na mbunge mmoja kutoka NCCR.
Kutokana na hali hiyo Chadema inatarajiwa kuungana na NCCR ili kumpata Mkiti na Makamu Mkiti kutoka katika vyama hivyo.Endapo kila kitu kitaenda sawa Mkiti atapendekezwa kutoka Chadema na Makamu Mkiti atatoka NCCR.Halafu vyama hivyo vitagawana nafasi ya wenyeviti wa kamati mbalimbali.
Hata hivyo kuna hofu kubwa kwamba CCM kinataka kumtumia Mkiti wa NCCR James Mbatia kutaka CCM waungane na NCCR na kuisaliti Chadema.
TANGAZO TOKA WIZARA YA AFYA...
Ugonjwa wa Fistula unatibika.
Usije dhani kuwa umerogwa.
Nenda kajishtaki.
Kama nccr na ccm wakifanya hivyo nd'o itakuwa vizuri zaidi kwa chadema.Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA kinatarajiwa kuongeza nguvu yake kisiasa kwa kuongoza Halmashauri mpya ya wilaya ya Uvinza inayotarajiwa kuanza kisheria 20 Julai,2013.Halmashauri hii iko katika mkoa wa Kigoma.
Halmashauri hiyo ya Uvinza ina Jumla ya Madiwani 13 kutoka upinzani na CCM ina madiwani 8 tu.Kati ya hao madiwani wa upinzani CHADEMA inao jumla 7 NCCR 5 na mbunge mmoja kutoka NCCR.
Kutokana na hali hiyo Chadema inatarajiwa kuungana na NCCR ili kumpata Mkiti na Makamu Mkiti kutoka katika vyama hivyo.Endapo kila kitu kitaenda sawa Mkiti atapendekezwa kutoka Chadema na Makamu Mkiti atatoka NCCR.Halafu vyama hivyo vitagawana nafasi ya wenyeviti wa kamati mbalimbali.
Hata hivyo kuna hofu kubwa kwamba CCM kinataka kumtumia Mkiti wa NCCR James Mbatia kutaka CCM waungane na NCCR na kuisaliti Chadema.
Mbatia yupi? huyu mwenyekiti wa NCCR aliyepewa ubunge na mkuu wa kaya ili a deal na vitu kama hivi?
Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA kinatarajiwa kuongeza nguvu yake kisiasa kwa kuongoza Halmashauri mpya ya wilaya ya Uvinza inayotarajiwa kuanza kisheria 20 Julai,2013.Halmashauri hii iko katika mkoa wa Kigoma.
Halmashauri hiyo ya Uvinza ina Jumla ya Madiwani 13 kutoka upinzani na CCM ina madiwani 8 tu.Kati ya hao madiwani wa upinzani CHADEMA inao jumla 7 NCCR 5 na mbunge mmoja kutoka NCCR.
Kutokana na hali hiyo Chadema inatarajiwa kuungana na NCCR ili kumpata Mkiti na Makamu Mkiti kutoka katika vyama hivyo.Endapo kila kitu kitaenda sawa Mkiti atapendekezwa kutoka Chadema na Makamu Mkiti atatoka NCCR.Halafu vyama hivyo vitagawana nafasi ya wenyeviti wa kamati mbalimbali.
Hata hivyo kuna hofu kubwa kwamba CCM kinataka kumtumia Mkiti wa NCCR James Mbatia kutaka CCM waungane na NCCR na kuisaliti Chadema.