figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Heshima kwenu wakuu,
Nimesikia leo CHADEMA wana Press conference itakayofanyika kuanzia saa 4 asubuhi leo Jumamosi, Novemba 25, Ofisi za Makao Makuu ya CHADEMA, Kinondoni.
"Tutazungumza na vyombo vya habari leo juu ya hatua ambazo Chama kitachukua dhidi ya vitendo vya kiharamia vinavyofanywa na vinavyopangwa na watu wa CCM kuvuruga na kutisha wapiga kura uchaguzi wa kata 43 unaofanyika kesho Jumapili."
Nimesikia leo CHADEMA wana Press conference itakayofanyika kuanzia saa 4 asubuhi leo Jumamosi, Novemba 25, Ofisi za Makao Makuu ya CHADEMA, Kinondoni.
"Tutazungumza na vyombo vya habari leo juu ya hatua ambazo Chama kitachukua dhidi ya vitendo vya kiharamia vinavyofanywa na vinavyopangwa na watu wa CCM kuvuruga na kutisha wapiga kura uchaguzi wa kata 43 unaofanyika kesho Jumapili."