CHADEMA kuna Ombwe la Uongozi

CHADEMA kuna Ombwe la Uongozi

Kwa hiyo mimi nanarudi kwenye msimamio ule ule, hakuna msafi ila tupime usafi wa mtuu, Aliyechafuta na taka za chakula, hawezi kuwa sawa na aliyechafuka na kinyesi

Wote wawili Magufuli na Lowassa wamechafuka na vinyesi,hakuna msafi hapo.Kama CCM wangemweka Jaji Ramadhani wala nisingegeuka nyuma ningempa Judge Ramadhani.

Ni kama vile ninavyoaamini kama Dr.Slaa angekuwa na Mkewe wa kwanza Rose Kamili leo tusingeongelea suala la yeye kuingia kwenye kumtafuta Lowassa mpaka kumtafuta mshenga.

Ninaamini katika usafi uliotukuka.Hapo kati ya hao wawili wote ni wachafu wa aina moja,tofauti yao ni muda waliochafuka.

Kama ulikuwa Waziri ndani ya cabinet ukakubali kuuza GAS bure kwa miaka saba kwa wachina leo kwanini nikuchague???Kwanini hukukataa ukiwa ndani unakuja kuropoka nje???

Nyumba za serikali je,Zile bilioni 262?Na meli ya mwaka 1970 unasemaje.
 
Dr.Slaa alilisema mwenyewe,alienda kwa mshenga,baada ya kubaliana na mshenga wakamtafuta Mbowe.SIyo mimi nenda kamsikilize Dr.Slaa,kwa ulimi wake mwenyewe.
Hahaha, na wewe unaamini hayo, baada ya kusikia ile hadithi ya Gwajima, yaani sasa hivi hadi viongozi wa dini wanaingilia siasa, wanafanya mambo ovyo, wanawachanganya wananchi.
 
Wote wawili Magufuli na Lowassa wamechafuka na vinyesi,hakuna msafi hapo.Kama CCM wangemweka Jaji Ramadhani wala nisingegeuka nyuma ningempa Judge Ramadhani.

Ni kama vile ninavyoaamini kama Dr.Slaa angekuwa na Mkewe wa kwanza Rose Kamili leo tusingeongelea suala la yeye kuingia kwenye kumtafuta Lowassa mpaka kumtafuta mshenga.

Ninaamini katika usafi uliotukuka.Hapo kati ya hao wawili wote ni wachafu wa aina moja,tofauti yao ni muda waliochafuka.

Kama ulikuwa Waziri ndani ya cabinet ukakubali kuuza GAS bure kwa miaka saba kwa wachina leo kwanini nikuchague???Kwanini hukukataa ukiwa ndani unakuja kuropoka nje???

Nyumba za serikali je,Zile bilioni 262?Na meli ya mwaka 1970 unasemaje.

Sasa basi, kama hayo ya nyumba za serikali na mabilioni ya pesa yapo. Bas hata ya ESCROW, RICHMOND, KUUZA CDM n.k NAYO yatakuwepo, na wahusika watakuwepo. Ila haya si muda wake, tunachokitizama kwa hivi sasa rais apatikane kwa vyovyote vile, na sisi kama wananchi tuna haki ya kumchagua mmoja kati ya hao wanaogombea.

JAPO KILA MTU ANA CHAGUO LAKE, NA KWA KUWA VIPO VIGEZO VYA KUMCHAGUA KIONGOZI BORA, BASI TUSIFANYE MAKOSA TENA
 
Hizi ni siasa, kwa hiyo wewe kama mwananchi yakupasa ukae pembeni kabisa, usiumize kichwa nazo. Utaongea sana lakini mwisho hutapata jibu, nakuambia, utaleta hoja makontena hata 100, lakini utaula wa chuya, hakuna wa maana hata mmoja, ila tu wapo baadhi ambao wana afadhali

Sijaelewa .Mimi nilimsikiliza Dr.Slaa na alieleza vyema hilo, kwa yeye kuhusika na Lowassa na Gwajima.Ninaamini ninacbokifikiria ndani ya akili na moyo wangu.
 
Hahaha, na wewe unaamini hayo, baada ya kusikia ile hadithi ya Gwajima, yaani sasa hivi hadi viongozi wa dini wanaingilia siasa, wanafanya mambo ovyo, wanawachanganya wananchi.

Uzuri sikumsikiliza Gwajima.Nenda ukarudie kusikiliza alichoongea Dr.Slaa.

Namnukuu Dr.Slaa..."Nilimpigia simu Mwenyekiti Mbowe muda wa saa nne usiku, nikamwambia kuna kitu cha haraka cha kujadili, mbowe alifika nikamweleza na baada ya muda mfupi Gwajima akatujoin kwenye kikao hicho."

Siyo Gwajima nimemsikia live Dr.Slaa, uzuri sijawahi kumsikiliza Gwajima.

I believed so much on Dr.Slaa na nilipomsikia akiongea hayo maneno nilisikitika sana na mpaka sasa fornyour information sina mgombea wa kumpa kura yangu.Hata Anna Magwira simpi maana naye Act ni wale wale.Kura yangu ya urais nabaki nayo mwenyewe.

Pole.Ila hakikq rudia kumsikiliza Dr.Slaa maneno hayo ameongea.Mpaka nimeamini kama Dr.Slaa kama angekuwa na mkewe wa zamani haya yangekuwa hadithi.
 
Sijaelewa .Mimi nilimsikiliza Dr.Slaa na alieleza vyema hilo, kwa yeye kuhusika na Lowassa na Gwajima.Ninaamini ninacbokifikiria ndani ya akili na moyo wangu.

Unaamini unachokifikiria ndani ya akili na moyo wako hata kama ni uongo!!?
 
Mpangilio wa uongozi wà kijani umetufikisha hapa tulipo hata twiģa wanaishi kwa mashaka. Sidhani kama hui mpangilio mźuri wà uongozi ni kipaumbele. Ngoja tuikomboe nchi yetu kwanza mengiñe baadaye
 
wewe hautakuwa wa kwanza kuniona mimi ni mnafiki, lakini pia hautakuwa wa mwisho, wapo waliokutangulia na wapo watakaufuata baada yako.lakini hoja yangu itabaki imara na haitabadilika kuwa chadema kuna ombwe la uongozi..ni hoja ambayo nimeisema na kuisimamia tangu nikiwa chadema na nitaendelea kuisema na kuisimamia hata sasa..

Mimi sio katika wale ambao wanataka upinzani ufe kabisa, na wala sio katika wale wanaoamini kuwa salama ya ccm ni upinzani dhaifu..mimi naamini kuwa nguvu ya ccm, uimara wake na utendaji wake utakuwa bora zaidi kukiwepo upinzani madhubuti, ambao utawakumbusha ccm wanapojisahau..

Mimi ni mwanaccm, tena sio tu mwanachama bali ni mtumishi wa chama, naamini katika ccm lakini kama nilivyotangulia kusema kuwa siamini kuwa salama ya ccm ama ya tanzania ni kufa kwa upinzani...siamini hivyo.
huna kitu waambie wenzio wa sm waache haya watanzania hawapaendi,wanachukua hatua sasa
 
AMANI IWE JUU YENU ENYI WAJA WEMA WA BWANA MUNGU WANGU...!!



Hapo juu Ben Saanane tafadhali tia neno.




Kama umeamua kujizungumzia wewe fanya hivyo kwa uhuru wako.Lakini hili la kuwaunga unga watu wengine wenye masilahi zao binafsi kwenye andishi zao na ambao bila uwapo wa Chadema hawana cha kuandika haipendeze na inakuanika jinsi gani ulivyo mtu kichwani.

Baki kuandika kinachokukera au ulichokisahau CDM.


Muache aandike na wewe kama una kinachokukera, andika tuu. Nasi tutachangia
 
hili taifa lina HASARA huyu dada eti naye atakuwa mbunge,wa bunge lijalo

Mkuu, huyu aliyeandika uzi hapo juu naye atakuwa Mbunge? Nilikuwa sitaki kuandika chochote lakini ulivyotaja ubunge nimeshtuka sana! Kumbe ndio maana! Chama fulani kinajaza wabunge wanaokwenda kupiga makofi na usingizi tu. hakuna critical thinking kabisa! Ukisoma uzi hapo juu tatizo hili linaonekana wazi.
 
Hivi kuna watu wanakuja hapa kuandika ----- kwa sababu tu kila mtu ana uhuru wa kuandika? hiyo ndiyo demokrasia gani tena?
 
Hivi kuna watu wanakuja hapa kuandika ----- kwa sababu tu kila mtu ana uhuru wa kuandika? hiyo ndiyo demokrasia gani tena?

Kwani wewe hapo kilichokuuzi ni kipi kwann unakosa maarifa wewe uilipenda aandike nini kwa mfano? unapopewa taaarifa jaribu kuchsnganua kwanza
 
Hivi kuna watu wanakuja hapa kuandika ----- kwa sababu tu kila mtu ana uhuru wa kuandika? hiyo ndiyo demokrasia gani tena?
Hii ndio demokrasia huru na ya haki hapa JF hakuna tofauti kama utaelewa maana ya demokrasia huru...
 
Wauze tu, ili watufanyie wepesi wa kuingia IKULU
 
Ubongo wa samaki ni hatari yuko katika ubora wake ongera mabadiliko yapo
 
Lisu kama ana msimamo na habadiliki kwenye kauli zake ,basi airudishe ile list of shame kwenye tovuti ya Chadema.

Mnafiki mkubwa
 
Lisu kama ana msimamo na habadiliki kwenye kauli zake ,basi airudishe ile list of shame kwenye tovuti ya Chadema.

Mnafiki mkubwa
Kidume alikua Dr. Slaa hawa wengine wapiga deal tu. Afu wanataka wajtakatishe kwetu kuwa tuwaone wao ndo wanaijua sana demokrasia na wao ndo wana uchungu sana na hii nchi na wao ndo wanajua sana kuongoza. Mtupishe
 
Back
Top Bottom