Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Ingependezaje kama CDM watachukua ushauri huu; Kumualika mpiganaji Mwl.Kashindye aliyefanya kazi ya ziada kuhakikisha ushahidi wote muhimu unawakilishwa mahakamani na pia kuhakikisha mashahidi wake wote muhimu wanatinga mahakamani hadi kumuangusha kigogo wa MADINI DR.DALALI KAFUMU.
Ni vema CDM wakafanya kumwalika huyu mpiganaji apate nafasi ya kutusalimia watanzania siku hiyo kwani huyo ni mmoja wa Heros wa chadema na pia kesi yake imeingia kwenye historia ya CDM
Ni vema CDM wakafanya kumwalika huyu mpiganaji apate nafasi ya kutusalimia watanzania siku hiyo kwani huyo ni mmoja wa Heros wa chadema na pia kesi yake imeingia kwenye historia ya CDM