dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,124
- 49,381
Ushauri mzuri dogo Lu-ma-ga.
Kesi hii unajua ilibidi ifanyikie Nzega badala ya Igunga, eti ili kuogopa vurugu zinazoweza tokea. Matokeo yake jana Nzega palikuwa hapatoshiiii kwa shamrashamra kila kona na maandamano ya pongezi.
Bravo CDM, Bravo Mwl. Kashindye!!
Akiunganishwa kwenye Ziara za Operation Sangara na M4C, it will sound good......
Salamu tosha kwa Dr. Hamisi. Ajiandae kukabidhi jimbo kwa wenyewe.