Mkurugenzi wa Jiji hilo la Mwanza, Kabwe, alipoulizwa na Tanzania Daima Jumapili, kuhusiana na tuhuma hizo zilizoelekezwa kwake dhidi ya CHADEMA, alisema kwa kifupi: "Hizo tuhuma mimi sizifahamu, hata nakala ya barua yao sijaipata kwa hiyo siwezi kuzungumzia lolote kwa sababu nipo kikaoni muda huu."