Malafyale
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 13,813
- 11,126
-Dhima halisi ya maandamano ni ''mshikamano ndani ya chama''
-Maandamano yataanzia ofisi zao kuu kinondoni na kuishia mbezi beach
-Watakaoongoza maandamano:
M/Kiti Ndugu Mbowe
Katibu Mkuu Dk Slaa
Naibu katibu mkuu Mh Zitto Zuberi Kabwe
SOURCE:Nimeasikia wakitangaza kwa gari na spika nikiwa Morroko-traffic lights
WITO WANGU:Wakuu tulioko Dar na wanachama wa Chadema tukutane hapo,sio blah blah za keyboards tu.ukiwa maandamanoni gonga hapa +255774207300 ili nithibitishe kama wewe ni mutu ya action
KARIBUNI SANA JAMANI!naomba mkumbuke kuja na kadi zenu
Haya maandamano siwezi kushiriki kwa sababu itakuwa kama kubariki ubakaji mkubwa wa demokrasia walioufanya CHADEMA;kama kuna maandamamno ya kulaani ubabaishaji mkubwa uliofanywa na akina Mtei kumbeba Mbowe awe mgombea pekee nipo tayari kushiriki hata leo!