CHADEMA kuendelea kukusanya rambirambi ni kiburi au ni njia ya upigaji?

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,034
28,201
Nianze kwa kusema RIP Mzee wetu Ndesamburo...Mwanga wa Milele uangaziwe.

Nikijikita kwenye hoja...inasemekana Meya wa jiji la Arusha alikutana na marehemu mzee Ndesamburo kwa ajili ya kukusanya rambirambi za msiba wa Lucky Vincent.

Ni majuma takribani matatu hivi toka mkuu wa mkoa asitishe rasmi zoezi la ukusanyaji wa rambirambi kwa ajili ya tukio hilo.Hii ni amri halali ya kiongozi wa mkoa na anayekiuka anaweza kuadhibiwa.

Naamini mkuu wa mkoa alisitisha zoezi hili ili kudhibiti wajanja wanaoeeza kutumia fursa hii ya msiba wa kitaifa au kimkoa kwa manufaa yao binafsi yakiwemo ya kifedha na kisiasa.

Sasa basi kwa kuwa ni wazi Meya au Chadema alikuwa kwenye muendelezo wa kukusanya rambirambi...KIMYAKIMYA ni wazi amekiuka kwa makusudi amri na maelelkezo halali na pia kuna uwezekano anafanya hivyo kujikusanyia fedha kwa maslahi zaidi ya wafiwa.

Je, ni lini sasa chadema watasitisha ukusanyaji huu wa rambirambi wa chini ya kapeti na ni lini basi watatutangazia kiasi walichokusanya na kukiwasilisha kwa walengwa?

Kiitifaki...je uwepo wa Mbowe pale uwanjani Shekh Amri abed na ahadi ya rambirambi za chadema ulimasnisha haya yanayofanywa na meya?

Je ni makada wangapi wa chadema wanaendelea kukusanya hizo rambirambi na ni nani anayeratibu?
 
Nianze kwa kusema RIP Mzee wetu Ndesamburo...Mwanga wa Milele uangaziwe...

Nikijikita kwenye hoja...inasemekana Meya wa jiji la Arusha alikutana na marehemu mzee Ndesamburo kwa ajili ya kukusanya rambirambi za msiba wa lucky vincente.

Ni majuma takribani matatu hivi toka mkuu wa mkoa asitishe rasmi zoezi la ukusanyaji wa rambirambi kwa ajili ya tukio hilo.Hii ni amri halali ya kiongozi wa mkoa na anayekiuka anaweza kuadhibiwa.

Naamini mkuu wa mkoa alisitisha zoezi hili ili kudhibiti wajanja wanaoeeza kutumia fursa hii ya msiba wa kitaifa au kimkoa kwa manufaa yao binafsi yakiwemo ya kifedha na kisiasa.

Sasa basi kwa kuwa ni wazi Meya au Chadema alikuwa kwenye muendelezo wa kukusanya rambirambi...KIMYAKIMYA ni wazi amekiuka kwa makusudi amri na maelelkezo halali na pia kuna uwezekano anafanya hivyo kujikusanyia fedha kwa maslahi zaidi ya wafiwa.

Je ni lini sasa chadema watasitisha ukusanyaji huu wa rambirambi wa chini ya kapeti na ni lini basi watatutangazia kiasi walichokusanya na kukiwasilisha kwa walengwa?
Kama anakusanya kimya kimya wewe umejuaje?Au yeye mwenyewe amekuambia kuwa anakusanya kimya kimya?
Nyie watu leo mnachekesha,nyuzi zenu leo ni za kujitekenya!
 
Ni majuma takribani matatu hivi toka mkuu wa mkoa asitishe rasmi zoezi la ukusanyaji wa rambirambi kwa ajili ya tukio hilo.Hii ni amri halali ya kiongozi wa mkoa na anayekiuka anaweza kuadhibiwa.

Huo hapo juu ni ujinga wako!

Hivi kuna sheria ya muda wa kumpa mtu pole kutokana na msiba?
 
Nianze kwa kusema RIP Mzee wetu Ndesamburo...Mwanga wa Milele uangaziwe.

Nikijikita kwenye hoja...inasemekana Meya wa jiji la Arusha alikutana na marehemu mzee Ndesamburo kwa ajili ya kukusanya rambirambi za msiba wa Lucky Vincent.

Ni majuma takribani matatu hivi toka mkuu wa mkoa asitishe rasmi zoezi la ukusanyaji wa rambirambi kwa ajili ya tukio hilo.Hii ni amri halali ya kiongozi wa mkoa na anayekiuka anaweza kuadhibiwa.

Naamini mkuu wa mkoa alisitisha zoezi hili ili kudhibiti wajanja wanaoeeza kutumia fursa hii ya msiba wa kitaifa au kimkoa kwa manufaa yao binafsi yakiwemo ya kifedha na kisiasa.

Sasa basi kwa kuwa ni wazi Meya au Chadema alikuwa kwenye muendelezo wa kukusanya rambirambi...KIMYAKIMYA ni wazi amekiuka kwa makusudi amri na maelelkezo halali na pia kuna uwezekano anafanya hivyo kujikusanyia fedha kwa maslahi zaidi ya wafiwa.

Je, ni lini sasa chadema watasitisha ukusanyaji huu wa rambirambi wa chini ya kapeti na ni lini basi watatutangazia kiasi walichokusanya na kukiwasilisha kwa walengwa?
Kwa kweli una roho ya kutu baada ya wafiwa kuporwa haki yao huoni ni kifuta machozi kuendelea kujipapasa na kuwapunguzia bughudha nyingi walizonazo baada ya kupoteza wawapendao?
 
Nianze kwa kusema RIP Mzee wetu Ndesamburo...Mwanga wa Milele uangaziwe.

Nikijikita kwenye hoja...inasemekana Meya wa jiji la Arusha alikutana na marehemu mzee Ndesamburo kwa ajili ya kukusanya rambirambi za msiba wa Lucky Vincent.

Ni majuma takribani matatu hivi toka mkuu wa mkoa asitishe rasmi zoezi la ukusanyaji wa rambirambi kwa ajili ya tukio hilo.Hii ni amri halali ya kiongozi wa mkoa na anayekiuka anaweza kuadhibiwa.

Naamini mkuu wa mkoa alisitisha zoezi hili ili kudhibiti wajanja wanaoeeza kutumia fursa hii ya msiba wa kitaifa au kimkoa kwa manufaa yao binafsi yakiwemo ya kifedha na kisiasa.

Sasa basi kwa kuwa ni wazi Meya au Chadema alikuwa kwenye muendelezo wa kukusanya rambirambi...KIMYAKIMYA ni wazi amekiuka kwa makusudi amri na maelelkezo halali na pia kuna uwezekano anafanya hivyo kujikusanyia fedha kwa maslahi zaidi ya wafiwa.

Je, ni lini sasa chadema watasitisha ukusanyaji huu wa rambirambi wa chini ya kapeti na ni lini basi watatutangazia kiasi walichokusanya na kukiwasilisha kwa walengwa?
Tafadhali sana mkuu naona mnataka kujisogeza kwenye msiba wa mzee wetu,hayo mambo yenu yaishie huko huko alaaa
 
Kama anakusanya kimya kimya wewe umejuaje?Au yeye mwenyewe amekuambia kuwa anakusanya kimya kimya?
Nyie watu leo mnachekesha,nyuzi zenu leo ni za kujitekenya!
Kuna mtu alijua Kalisti ameenda kwa ndesa kukusanya rambirambi?
 
Kwa kweli una roho ya kutu baada ya wafiwa kuporwa haki yao huoni ni kifuta machozi kuendelea kujipapasa na kuwapunguzia bughudha nyingi walizonazo baada ya kupoteza wawapendao?
Mnakusanya rambirambi kimyakimya tena nje ya muda hiyo ndio hoja
 
Nianze kwa kusema RIP Mzee wetu Ndesamburo...Mwanga wa Milele uangaziwe.

Nikijikita kwenye hoja...inasemekana Meya wa jiji la Arusha alikutana na marehemu mzee Ndesamburo kwa ajili ya kukusanya rambirambi za msiba wa Lucky Vincent.

Ni majuma takribani matatu hivi toka mkuu wa mkoa asitishe rasmi zoezi la ukusanyaji wa rambirambi kwa ajili ya tukio hilo.Hii ni amri halali ya kiongozi wa mkoa na anayekiuka anaweza kuadhibiwa.

Naamini mkuu wa mkoa alisitisha zoezi hili ili kudhibiti wajanja wanaoeeza kutumia fursa hii ya msiba wa kitaifa au kimkoa kwa manufaa yao binafsi yakiwemo ya kifedha na kisiasa.

Sasa basi kwa kuwa ni wazi Meya au Chadema alikuwa kwenye muendelezo wa kukusanya rambirambi...KIMYAKIMYA ni wazi amekiuka kwa makusudi amri na maelelkezo halali na pia kuna uwezekano anafanya hivyo kujikusanyia fedha kwa maslahi zaidi ya wafiwa.

Je, ni lini sasa chadema watasitisha ukusanyaji huu wa rambirambi wa chini ya kapeti na ni lini basi watatutangazia kiasi walichokusanya na kukiwasilisha kwa walengwa?
Ulitaka CCM ikusanye?
Jipange
 
Unashindwa kumwambia Magufuli ukweli unakazana na Chadema.
Wakati Mkuu wa Mkoa wa Arusha kazika Rambirambi na za Kijuu kule Kagera zimezikwa. Wewe Bwege kweli
Jibu hoja ya kukusanya ramburambi kimyakimya hadi msiba unawaumbua!
 
Kilio na mayowe haya kwa wezi wa rambirambi siyo cha bure mkuki utakuwa umechoma penyewe.
 
Pole sana jingalao , hii ni Arusha & Kilimanjaro ya ukweli na uwazi, Hizo mlizokula ndio za mwisho na msitegemee kama itatokea tena.
 
Pole sana jingalao , hii ni Arusha & Kilimanjaro ya ukweli na uwazi, Hizo mlizokula ndio za mwisho na msitegemee kama itatokea tena.
moment of clarity...tuambieni mtaenda kwa matajiri gani na hadi lini kujusanya rambirambi?

Wananchi wengi wa Arusha wameshamaliza msiba na ukusanyaji wa ramburambi except Chadema
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom