CHADEMA kuendelea kukusanya rambirambi ni kiburi au ni njia ya upigaji?

jingalao Tatizo lako unapenda kujitoa ufahamu kwa kushadadia mambo ambayo hata hujui chanzo chake. Aliyekwambia kuwa Chadema inaendelea kukusanya rambi rambi kwa matajiri ni nani?

Je, mkuu wa mkoa akiitwa na wale watu waliokuwa wametoa ahadi, asiende kuchukua kwa sababu zoezi limeshafungwa?
 
Nianze kwa kusema RIP Mzee wetu Ndesamburo...Mwanga wa Milele uangaziwe.

Nikijikita kwenye hoja...inasemekana Meya wa jiji la Arusha alikutana na marehemu mzee Ndesamburo kwa ajili ya kukusanya rambirambi za msiba wa Lucky Vincent.

Ni majuma takribani matatu hivi toka mkuu wa mkoa asitishe rasmi zoezi la ukusanyaji wa rambirambi kwa ajili ya tukio hilo.Hii ni amri halali ya kiongozi wa mkoa na anayekiuka anaweza kuadhibiwa.

Naamini mkuu wa mkoa alisitisha zoezi hili ili kudhibiti wajanja wanaoeeza kutumia fursa hii ya msiba wa kitaifa au kimkoa kwa manufaa yao binafsi yakiwemo ya kifedha na kisiasa.

Sasa basi kwa kuwa ni wazi Meya au Chadema alikuwa kwenye muendelezo wa kukusanya rambirambi...KIMYAKIMYA ni wazi amekiuka kwa makusudi amri na maelelkezo halali na pia kuna uwezekano anafanya hivyo kujikusanyia fedha kwa maslahi zaidi ya wafiwa.

Je, ni lini sasa chadema watasitisha ukusanyaji huu wa rambirambi wa chini ya kapeti na ni lini basi watatutangazia kiasi walichokusanya na kukiwasilisha kwa walengwa?
Aliekwambia msiba huwa unaisha ni nani? Ifike mahali tujitambue na tusiwe mapunguani, mimi mama kafariki miaka 19 iliyopita lakini mpaka leo bado nina msiba na majonzi, Subiri ufiwe na mtu wa karibu ndio utajua msiba huwa hauishi
 
kwani jaman rambirambi ni lazima.kwanza me naona unamrudisha tu mfiwa kuendelea kukumbuka yaliyomkuta.me naona ni kutafuta kiki tu halafu raia tusielewane cc
 
Nianze kwa kusema RIP Mzee wetu Ndesamburo...Mwanga wa Milele uangaziwe.

Nikijikita kwenye hoja...inasemekana Meya wa jiji la Arusha alikutana na marehemu mzee Ndesamburo kwa ajili ya kukusanya rambirambi za msiba wa Lucky Vincent.

Ni majuma takribani matatu hivi toka mkuu wa mkoa asitishe rasmi zoezi la ukusanyaji wa rambirambi kwa ajili ya tukio hilo.Hii ni amri halali ya kiongozi wa mkoa na anayekiuka anaweza kuadhibiwa.

Naamini mkuu wa mkoa alisitisha zoezi hili ili kudhibiti wajanja wanaoeeza kutumia fursa hii ya msiba wa kitaifa au kimkoa kwa manufaa yao binafsi yakiwemo ya kifedha na kisiasa.

Sasa basi kwa kuwa ni wazi Meya au Chadema alikuwa kwenye muendelezo wa kukusanya rambirambi...KIMYAKIMYA ni wazi amekiuka kwa makusudi amri na maelelkezo halali na pia kuna uwezekano anafanya hivyo kujikusanyia fedha kwa maslahi zaidi ya wafiwa.

Je, ni lini sasa chadema watasitisha ukusanyaji huu wa rambirambi wa chini ya kapeti na ni lini basi watatutangazia kiasi walichokusanya na kukiwasilisha kwa walengwa?
Mbona roho inakuuma sana?au mlitka mzipige?
 
Aliekwambia msiba huwa unaisha ni nani? Ifike mahali tujitambue na tusiwe mapunguani, mimi mama kafariki miaka 19 iliyopita lakini mpaka leo bado nina msiba na majonzi, Subiri ufiwe na mtu wa karibu ndio utajua msiba huwa hauishi
msiba hauishi lakini rambirambi zina ukomo!
 
Kama anakusanya kimya kimya wewe umejuaje?Au yeye mwenyewe amekuambia kuwa anakusanya kimya kimya?
Nyie watu leo mnachekesha,nyuzi zenu leo ni za kujitekenya!
Nasikia wameahidiwa binasi pale lumumba
 
Ni majuma takribani matatu hivi toka mkuu wa mkoa asitishe rasmi zoezi la ukusanyaji wa rambirambi kwa ajili ya tukio hilo.Hii ni amri halali ya kiongozi wa mkoa na anayekiuka anaweza kuadhibiwa.

Huo hapo juu ni ujinga wako!

Hivi kuna sheria ya muda wa kumpa mtu pole kutokana na msiba?
Ccm hawajitambui na kwa sasa tunafurahi maana jamii sasa ndiyo inawajua ccm walivyo
 
jingalao Tatizo lako unapenda kujitoa ufahamu kwa kushadadia mambo ambayo hata hujui chanzo chake. Aliyekwambia kuwa Chadema inaendelea kukusanya rambi rambi kwa matajiri ni nani?

Je, mkuu wa mkoa akiitwa na wale watu waliokuwa wametoa ahadi, asiende kuchukua kwa sababu zoezi limeshafungwa?
Kwa hiyo Marehemu Ndesamburo(RIP) aliahidi kutia rambirambi?unaweza kutuambia aliahidi lini na wapi na kwa nani?
 
Sasa kwanini unaita "kimya kimya"? Au wewe kutokujua ndio tafsiri ya kimya kimya???
Sio mimi tu bali hata nyie wanachadema hamkujua ...siku ile mnataka kuwasilisha rambirambi mbele ya camera kulikuwa na ahadi ya Ndesamburo?
 
Back
Top Bottom