Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,101
Ulitakaje?sikutaka Chadema ikusanye rambirambi gizani au kimyakimya
Kama kimya kimya umejuaje?
Hivi rambirambi kazi yake nini? Kujenga Hospital au kutumika na ccm na polisi?
Ulitakaje?sikutaka Chadema ikusanye rambirambi gizani au kimyakimya
Jibu hoja zote ndipo Utaelewa kwanini hujui.Ulitakaje?
Kama kimya kimya umejuaje?
Hivi rambirambi kazi yake nini? Kujenga Hospital au kutumika na ccm na polisi?
baada ya kutangazwa kwa msiba wa Ndesamburo
Ndio nakuuliza wew umejuaje kama alienda?Kuna mtu alijua Kalisti ameenda kwa ndesa kukusanya rambirambi?
Aliekwambia msiba huwa unaisha ni nani? Ifike mahali tujitambue na tusiwe mapunguani, mimi mama kafariki miaka 19 iliyopita lakini mpaka leo bado nina msiba na majonzi, Subiri ufiwe na mtu wa karibu ndio utajua msiba huwa hauishiNianze kwa kusema RIP Mzee wetu Ndesamburo...Mwanga wa Milele uangaziwe.
Nikijikita kwenye hoja...inasemekana Meya wa jiji la Arusha alikutana na marehemu mzee Ndesamburo kwa ajili ya kukusanya rambirambi za msiba wa Lucky Vincent.
Ni majuma takribani matatu hivi toka mkuu wa mkoa asitishe rasmi zoezi la ukusanyaji wa rambirambi kwa ajili ya tukio hilo.Hii ni amri halali ya kiongozi wa mkoa na anayekiuka anaweza kuadhibiwa.
Naamini mkuu wa mkoa alisitisha zoezi hili ili kudhibiti wajanja wanaoeeza kutumia fursa hii ya msiba wa kitaifa au kimkoa kwa manufaa yao binafsi yakiwemo ya kifedha na kisiasa.
Sasa basi kwa kuwa ni wazi Meya au Chadema alikuwa kwenye muendelezo wa kukusanya rambirambi...KIMYAKIMYA ni wazi amekiuka kwa makusudi amri na maelelkezo halali na pia kuna uwezekano anafanya hivyo kujikusanyia fedha kwa maslahi zaidi ya wafiwa.
Je, ni lini sasa chadema watasitisha ukusanyaji huu wa rambirambi wa chini ya kapeti na ni lini basi watatutangazia kiasi walichokusanya na kukiwasilisha kwa walengwa?
Mbona roho inakuuma sana?au mlitka mzipige?Nianze kwa kusema RIP Mzee wetu Ndesamburo...Mwanga wa Milele uangaziwe.
Nikijikita kwenye hoja...inasemekana Meya wa jiji la Arusha alikutana na marehemu mzee Ndesamburo kwa ajili ya kukusanya rambirambi za msiba wa Lucky Vincent.
Ni majuma takribani matatu hivi toka mkuu wa mkoa asitishe rasmi zoezi la ukusanyaji wa rambirambi kwa ajili ya tukio hilo.Hii ni amri halali ya kiongozi wa mkoa na anayekiuka anaweza kuadhibiwa.
Naamini mkuu wa mkoa alisitisha zoezi hili ili kudhibiti wajanja wanaoeeza kutumia fursa hii ya msiba wa kitaifa au kimkoa kwa manufaa yao binafsi yakiwemo ya kifedha na kisiasa.
Sasa basi kwa kuwa ni wazi Meya au Chadema alikuwa kwenye muendelezo wa kukusanya rambirambi...KIMYAKIMYA ni wazi amekiuka kwa makusudi amri na maelelkezo halali na pia kuna uwezekano anafanya hivyo kujikusanyia fedha kwa maslahi zaidi ya wafiwa.
Je, ni lini sasa chadema watasitisha ukusanyaji huu wa rambirambi wa chini ya kapeti na ni lini basi watatutangazia kiasi walichokusanya na kukiwasilisha kwa walengwa?
Juzi nilikuwa bukoba kuna watu wengine wanaapa kuwa 2020 ccm lazima wakipate cha mtema kuniBora wanaokusanya na kuzipeleka kuliko ninyi mna roho za kifashisti kula hela za rambirambi.
msiba hauishi lakini rambirambi zina ukomo!Aliekwambia msiba huwa unaisha ni nani? Ifike mahali tujitambue na tusiwe mapunguani, mimi mama kafariki miaka 19 iliyopita lakini mpaka leo bado nina msiba na majonzi, Subiri ufiwe na mtu wa karibu ndio utajua msiba huwa hauishi
Cc mgawanyo wa kazi! Wao wanakusanya upande wapili wanakula shida ipo wapBora wanaokusanya na kuzipeleka kuliko ninyi mna roho za kifashisti kula hela za rambirambi.
Nasikia wameahidiwa binasi pale lumumbaKama anakusanya kimya kimya wewe umejuaje?Au yeye mwenyewe amekuambia kuwa anakusanya kimya kimya?
Nyie watu leo mnachekesha,nyuzi zenu leo ni za kujitekenya!
Sasa kwanini unaita "kimya kimya"? Au wewe kutokujua ndio tafsiri ya kimya kimya???Kupitia tamko la Chadema kuhusu msiba
Ccm hawajitambui na kwa sasa tunafurahi maana jamii sasa ndiyo inawajua ccm walivyoNi majuma takribani matatu hivi toka mkuu wa mkoa asitishe rasmi zoezi la ukusanyaji wa rambirambi kwa ajili ya tukio hilo.Hii ni amri halali ya kiongozi wa mkoa na anayekiuka anaweza kuadhibiwa.
Huo hapo juu ni ujinga wako!
Hivi kuna sheria ya muda wa kumpa mtu pole kutokana na msiba?
Kwa hiyo Marehemu Ndesamburo(RIP) aliahidi kutia rambirambi?unaweza kutuambia aliahidi lini na wapi na kwa nani?jingalao Tatizo lako unapenda kujitoa ufahamu kwa kushadadia mambo ambayo hata hujui chanzo chake. Aliyekwambia kuwa Chadema inaendelea kukusanya rambi rambi kwa matajiri ni nani?
Je, mkuu wa mkoa akiitwa na wale watu waliokuwa wametoa ahadi, asiende kuchukua kwa sababu zoezi limeshafungwa?