Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,192
- 678
kwa muundo huu wanaoenda nao chadema, itafikia pahali naona hata bungeni wanaweza kumkwida mama Anna spika wabunge/
ndugu zetu utawala wa sheria mnaujua na mnafahamu maana yake, kwa nn mnataka kulipeleka taifa pabaya kwa maslahi enu wachache?
vyema
ila nnaamini kwa mliyoyafanya mmewapa nafasi watanzania kukujueni vyeama, na nnaamini hawatofanya tena makosa ya kukupeni kiburi hiki mlichonacho
ndugu zetu utawala wa sheria mnaujua na mnafahamu maana yake, kwa nn mnataka kulipeleka taifa pabaya kwa maslahi enu wachache?
vyema
ila nnaamini kwa mliyoyafanya mmewapa nafasi watanzania kukujueni vyeama, na nnaamini hawatofanya tena makosa ya kukupeni kiburi hiki mlichonacho