Laurence
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 3,104
- 426
<br /><br />Naombeni cv ya maji marefuuuu....Ova!
<br /><br />
Yupo mwingine mbunge wao anaitwa Livingstone Lusinde,huyu kaishia darasa la NNE tu
<br /><br />Naombeni cv ya maji marefuuuu....Ova!
bora hata huyo livingstone lusinde kaishia darasa la nne lakini kuna huyu Deo Sanga wa ini darasa la pili<br /><br />
<br /><br />
Yupo mwingine mbunge wao anaitwa Livingstone Lusinde,huyu kaishia darasa la NNE tu
Naombeni cv ya maji marefuuuu....Ova!
chadema wameshaanza kutapatapa na kuamua kupiga viongozi wa serikali kama vile dc badala ya kuendesha kampeni za kistaarabu. Mikutano yao ambayo haina tija imekosa wahudhuriaji katika maeneo ya vijijini.
cHAMA CHETU CHA DEMOCRASIA NA MAENDELEO BADO HAKIJAWA TAYARI KWA USHINDI IGUNGA KUTOKANA NA UWEZO MDOGO WA MGOMBEA WETU WA KIELIMU NA KUJENGA HOJA UKILINGANISHA NA YULE WA MAGAMBA...........!
Tukisema serikali iko likizo mnasema tunawazushia, Sasa hii ya kusema serikali imepigwa inaingia kweli akilini sio aibu hii hata kusema tu?chadema wameshaanza kutapatapa na kuamua kupiga viongozi wa serikali kama vile dc badala ya kuendesha kampeni za kistaarabu. Mikutano yao ambayo haina tija imekosa wahudhuriaji katika maeneo ya vijijini.
chadema wameshaanza kutapatapa na kuamua kupiga viongozi wa serikali kama vile dc badala ya kuendesha kampeni za kistaarabu. Mikutano yao ambayo haina tija imekosa wahudhuriaji katika maeneo ya vijijini.
Kama CCM kigezo ni elimu mbona Kiristan Mzindakaya alikua ni kondakta wa mabasi lakini na ukuu wa mkoa alipewa? Muanzisha mada nenda kafikiri halafu urudi tena.
Ndallo,
Huyu hajui analosema, ni Masaburu tupu. MWANTUMU MAHIZA anaelimu gani?????? serikali ya JK bure kabisa.
<br />cHAMA CHETU CHA DEMOCRASIA NA MAENDELEO BADO HAKIJAWA TAYARI KWA USHINDI IGUNGA KUTOKANA NA UWEZO MDOGO WA MGOMBEA WETU WA KIELIMU NA KUJENGA HOJA UKILINGANISHA NA YULE WA MAGAMBA...........!