CHADEMA kimenuka Mbeya

CHADEMA kimenuka Mbeya

Viongozi wa 4um na viongozi wa boda boda wa mkoa wa mbeya wameamua kuhama chadema na kujiunga na ccm kutokana na mambo maovu yanayo endelea ndani ya chadema na ukawa kwa ujumla hali hyoo imekwa ikiendelea kwa muda mrefu jambo ambalo limepelekea sintofaham ya viongoz hao wa 4um na kushindwa kueshimiana kati ya viongozi wa cdm na viongoz hao wa 4um kwa kauli yao moja wamesema watahakikisha wanampigania dr, magufuli na kumnadi nyumba kwa nyumba hadi kieleweke na mwishowe kuibuka na ushindi wa kimbunga,,,, tumekuja pahala salama kabisa na sehem ya kwenda ikulu......................

Mtaweweseka sana mwaka huu,mbeya ni sehemu salama ya cdm na ccm mbeya safari hii hamuambulii kiti hata kimoja
 
Hizi Habari za kuvalishwa mamluki wa 4Umovement mbeya mbona ilishafichuka tangu juzi? Na haina impact. Na 4UMovement wa ukweli wataongea na media. SSM mnatapatapa sana. Subirini mnyolewe 25 October. Mtaomba Pooo.

Yatajinyonga mwaka huu haya magamba
 
Timu mamvi si wanahonga pesa, wajanja wamechukua pesa na wamepotelea mbele ya safari. Huu ni mwanzo tu, watu wenu wengi sana watahamia kwa Magufuli kabla ya uchaguzi
 
jaman kuna mama ametukana kwenye gari walkua wanalumbana kati ya magufuli na lowasa nani apewe kura basi mama mmoja wa upande wa lowasa akasema hatuwez kumpa kura uncircumsized person.

Amewahi kukupiga pumb nini?
 
Ukianza kusoma nyuzi kama hizi wakati huu ndio unagundua kuwa zimejaa uzushi na uzandiki tu kutokana na namna mambo yanavyoenda uzuri hapo Mbeya kwa Ukawa...
 
Wangetembezewa kichapo kama wale wa Masaburi DSM. Haisaidii. Ni kampeni za ujima sana. Hiyo staili ndiyo inaiua ssm. Mwenzenu Lowassa na Ukawa ni kampeni za kistaarabu na kisayansi na atawanyuka vibaya kwa mbali.

Wapi huko nihamie? Huku ukitaka kufa ustafute sumu.
 
Back
Top Bottom