CHADEMA kimenuka Mbeya

CHADEMA kimenuka Mbeya

IMG-20150926-WA0239.jpg huu ndio uhalisia wenyewe.
 
Viongozi wa 4um na viongozi wa boda boda wa mkoa wa mbeya wameamua kuhama chadema na kujiunga na ccm kutokana na mambo maovu yanayo endelea ndani ya chadema na ukawa kwa ujumla hali hyoo imekwa ikiendelea kwa muda mrefu jambo ambalo limepelekea sintofaham ya viongoz hao wa 4um na kushindwa kueshimiana kati ya viongozi wa cdm na viongoz hao wa 4um kwa kauli yao moja wamesema watahakikisha wanampigania dr, magufuli na kumnadi nyumba kwa nyumba hadi kieleweke na mwishowe kuibuka na ushindi wa kimbunga,,,, tumekuja pahala salama kabisa na sehem ya kwenda ikulu......................

jaba likijaa maji linatulia....tulia bs jaba mbona muongo ka umezaliwa guest house..
 
Huyo anasema na yeye ni mratibu wa 4UM,hebu tuthibitishe halijatokea na picha hizo twaziona.Vinginevyo utakuwa mratibu wa watu wanaojinyea jukwaani.
 
Viongozi wa 4um na viongozi wa boda boda wa mkoa wa mbeya wameamua kuhama chadema na kujiunga na ccm kutokana na mambo maovu yanayo endelea ndani ya chadema na ukawa kwa ujumla hali hyoo imekwa ikiendelea kwa muda mrefu jambo ambalo limepelekea sintofaham ya viongoz hao wa 4um na kushindwa kueshimiana kati ya viongozi wa cdm na viongoz hao wa 4um kwa kauli yao moja wamesema watahakikisha wanampigania dr, magufuli na kumnadi nyumba kwa nyumba hadi kieleweke na mwishowe kuibuka na ushindi wa kimbunga,,,, tumekuja pahala salama kabisa na sehem ya kwenda ikulu......................[

Sijui ni Mbeya ipi ce Mbeya tunayoijua ni hii ya leo Magufuli kukataliwa wazi wazi sasa kama hao wenye t-shirt ndio wapiga kura sawa. Lkn mie najua wana Mbeya ni hawa

Http://www.youtube.com/v/Ur6H5aEBfJg
 
Mbeya Leo asubuhi alipokuwa anaenda Mbarali Wananchi walizuia msafara wake na kumwambia wanataka mabadiliko na mtu wa kuyaleta mabadiliko ni Lowassa

youtube video
 
Viongozi wa 4um na viongozi wa boda boda wa mkoa wa mbeya wameamua kuhama chadema na kujiunga na ccm kutokana na mambo maovu yanayo endelea ndani ya chadema na ukawa kwa ujumla hali hyoo imekwa ikiendelea kwa muda mrefu jambo ambalo limepelekea sintofaham ya viongoz hao wa 4um na kushindwa kueshimiana kati ya viongozi wa cdm na viongoz hao wa 4um kwa kauli yao moja wamesema watahakikisha wanampigania dr, magufuli na kumnadi nyumba kwa nyumba hadi kieleweke na mwishowe kuibuka na ushindi wa kimbunga,,,, tumekuja pahala salama kabisa na sehem ya kwenda ikulu......................
Wewe una stahili kich...po
 
Kinuke, kinukie, ni mabadiliko tu mpende msipende!
 
Hahah!!!! Nakukaribisha mbeya uje ujionee watu wenye msimamo we mjinga.. Ahame kutoka cdm to ccm my nose???
 
Back
Top Bottom