CHADEMA kimenuka Mbeya

CHADEMA kimenuka Mbeya

Wangetembezewa kichapo kama wale wa Masaburi DSM. Haisaidii. Ni kampeni za ujima sana. Hiyo staili ndiyo inaiua ssm. Mwenzenu Lowassa na Ukawa ni kampeni za kistaarabu na kisayansi na atawanyuka vibaya kwa mbali.
 
baba yao magufuli anaendeleza mwendo wa ku copy na ku paste, na yeye sasa hivi kwenye majukwaa anasema anauchukia umasikini kweli kweli
 
Viongozi wa 4um na viongozi wa boda boda wa mkoa wa mbeya wameamua kuhama chadema na kujiunga na ccm kutokana na mambo maovu yanayo endelea ndani ya chadema na ukawa kwa ujumla hali hyoo imekwa ikiendelea kwa muda mrefu jambo ambalo limepelekea sintofaham ya viongoz hao wa 4um na kushindwa kueshimiana kati ya viongozi wa cdm na viongoz hao wa 4um kwa kauli yao moja wamesema watahakikisha wanampigania dr, magufuli na kumnadi nyumba kwa nyumba hadi kieleweke na mwishowe kuibuka na ushindi wa kimbunga,,,, tumekuja pahala salama kabisa na sehem ya kwenda ikulu......................

Umejitahidi sana kiongozi ongeza tena!! Au uwezo wako umeishia hapo?
 
Kunya ni miongoni mwa tabia za kibayolojia. Kwahiyo wala si ishu . Ningeshangaa sana kusikia hanyi wala hakojoi. Ishu hapa ni wapi? Hiyo ni bahati mbaya imetokea ila angalu hajaonesha tabia nje ya zile za binadamu. Nishangaa sana km ningesikia amesimama angani bila kuegemea ardhi hapo ningeshangaa sana. Na pushupu mkono sweta ukingining'inia je itakuwaje
 
CCM haipo Mbeya!So far CCM watatetea kiti kimoja tu cha Busokela
 
Hivi we mtoa mada upo wapi?, jana umeandika ya lowasa . mara ya lema arusha, leo unaandika ya mbeya.
 
Viongozi wa 4um na viongozi wa boda boda wa mkoa wa mbeya wameamua kuhama chadema na kujiunga na ccm kutokana na mambo maovu yanayo endelea ndani ya chadema na ukawa kwa ujumla hali hyoo imekwa ikiendelea kwa muda mrefu jambo ambalo limepelekea sintofaham ya viongoz hao wa 4um na kushindwa kueshimiana kati ya viongozi wa cdm na viongoz hao wa 4um kwa kauli yao moja wamesema watahakikisha wanampigania dr, magufuli na kumnadi nyumba kwa nyumba hadi kieleweke na mwishowe kuibuka na ushindi wa kimbunga,,,, tumekuja pahala salama kabisa na sehem ya kwenda ikulu......................



Unaijua Mbeya???Kamuulize Magufuli leo kilicho mkuta Uyole.Juzi mpaka Sugu mlisema amehamia CCM leo mmeona haikuvuka naona mnakuja kivingine....Duh ndiyo maana nikiona tarehe uliyojiunga napata jibu..........
 
Viva viva viva viva Lowassa makufuli tukimwangalia jicho la tano atakuwa mlinzi Ikulu coz kaanza mazoezi mapema
 
Viongozi wa 4um na viongozi wa boda boda wa mkoa wa mbeya wameamua kuhama chadema na kujiunga na ccm kutokana na mambo maovu yanayo endelea ndani ya chadema na ukawa kwa ujumla hali hyoo imekwa ikiendelea kwa muda mrefu jambo ambalo limepelekea sintofaham ya viongoz hao wa 4um na kushindwa kueshimiana kati ya viongozi wa cdm na viongoz hao wa 4um kwa kauli yao moja wamesema watahakikisha wanampigania dr, magufuli na kumnadi nyumba kwa nyumba hadi kieleweke na mwishowe kuibuka na ushindi wa kimbunga,,,, tumekuja pahala salama kabisa na sehem ya kwenda ikulu......................

Dhibitisha kauli yako kwan mm ni miongoni mwa waratibu wa 4UM hapa mbeya manispaa na hakuna kitu kama hcho unachopost!
 
Back
Top Bottom