kwani obama ndio nani mpaka kila kitu obama?hujasikia anakashfa za ushoga?mbona hujamuiga kwa hilo?
Nimefuatilia upigaji wa kampeni za vyama mbalimbali.
Chadema; hawa jamaa hasa mbowe na slaa na zitto, wao ni makelele kama wanahubiri injili vile. Kwani ukiongea point ndo mpaka ufokefoke ndo ueleweke???
Ccm; hawa wanaongea pumba lakini kwa upole wa kuwatongoza wananchi na kutaka kura zao. Mfano ni jk, makamu wa raisi, pinda mizengo nk nk.
Makelele siyo ishu, wengine hatufungamani na upande wowote na tumechoshwa na siasa za tz za uwongo na uchwara.
Wananchi ndo tunaumia tu.
Sipendi kabisa na wana jf mliowanasiasa achenni mbwembwe na kufoka majukwaani. Kwani obama anafoka???
Wewe unatumia style gani kuandika? Kama Obama?tunaiga mazuri.
Wewe haujawasoma vema cdm? Yaani kufoka tuu utadhani wachungaji wa makanisa ya kilokole. Kutishiana nyau tu. Siasa za tz ni feki.
Nimefuatilia upigaji wa kampeni za vyama mbalimbali.
Chadema; hawa jamaa hasa mbowe na slaa na zitto, wao ni makelele kama wanahubiri injili vile. Kwani ukiongea point ndo mpaka ufokefoke ndo ueleweke???
Ccm; hawa wanaongea pumba lakini kwa upole wa kuwatongoza wananchi na kutaka kura zao. Mfano ni jk, makamu wa raisi, pinda mizengo nk nk.
Makelele siyo ishu, wengine hatufungamani na upande wowote na tumechoshwa na siasa za tz za uwongo na uchwara.
Wananchi ndo tunaumia tu.
Sipendi kabisa na wana jf mliowanasiasa achenni mbwembwe na kufoka majukwaani. Kwani obama anafoka???
Angalia hotuba za Adolf Hitler na hotuba za Martin Luther King
Nimefuatilia upigaji wa kampeni za vyama mbalimbali.
Chadema; hawa jamaa hasa mbowe na slaa na zitto, wao ni makelele kama wanahubiri injili vile. Kwani ukiongea point ndo mpaka ufokefoke ndo ueleweke???
Ccm; hawa wanaongea pumba lakini kwa upole wa kuwatongoza wananchi na kutaka kura zao. Mfano ni jk, makamu wa raisi, pinda mizengo nk nk.
Makelele siyo ishu, wengine hatufungamani na upande wowote na tumechoshwa na siasa za tz za uwongo na uchwara.
Wananchi ndo tunaumia tu.
Sipendi kabisa na wana jf mliowanasiasa achenni mbwembwe na kufoka majukwaani. Kwani obama anafoka???
Mie nadhani ukombozi hauji kwa upole..lazima uonyeshe ujasiri wa kuongea kama Chadema ndio utaupata..ninamuunga mkona mwana JF aliyechangia mtu akikukanyaga hutamjibu kwa upole lazima upandishe sauti ili aelewe alichokifanya sio sahihi..sasa Ccm wanachokifanya kwa wanainchi si sahihi ndio mana wanazidi kutuganyaga mana wanaichi wanajibu kwa upole tunakanyaga na giza la bila umeme karibu mwaka wa pili mgawo..unadhani wangejibu kama Misri au Tunisia na Lbya Mnatukanyagaaaaaaaaa?? si wangeelewa hapa tumekanyaga choo cha kiume?? acha Chadema wasikie nguvu ya mnyonge. Mie pia nadhani wewe ni mfurukutwa wa CCM una hisa nini?????
tunaiga mazuri.
Wewe haujawasoma vema cdm? Yaani kufoka tuu utadhani wachungaji wa makanisa ya kilokole. Kutishiana nyau tu. Siasa za tz ni feki.
kila thread ya kawaida na kaudini ndani yake.............kwani hii nchio imerogwa na nani?....imerogwa na rostam ambaye hakamatiki? Au na nani sasa......mbona magamba yapo lakini hayavuliwi akiwemo kikwete mwenyewe?..........ahaaaa
Hivi Obama ni Bench mark!!!!!!!!!!!Nimefuatilia upigaji wa kampeni za vyama mbalimbali.
Chadema; hawa jamaa hasa mbowe na slaa na zitto, wao ni makelele kama wanahubiri injili vile. Kwani ukiongea point ndo mpaka ufokefoke ndo ueleweke???
Ccm; hawa wanaongea pumba lakini kwa upole wa kuwatongoza wananchi na kutaka kura zao. Mfano ni jk, makamu wa raisi, pinda mizengo nk nk.
Makelele siyo ishu, wengine hatufungamani na upande wowote na tumechoshwa na siasa za tz za uwongo na uchwara.
Wananchi ndo tunaumia tu.
Sipendi kabisa na wana jf mliowanasiasa achenni mbwembwe na kufoka majukwaani. Kwani obama anafoka???