CHADEMA kama wahubiri hivi

Status
Not open for further replies.

HAZOLE

JF-Expert Member
Feb 25, 2011
1,551
708
Nimefuatilia upigaji wa kampeni za vyama mbalimbali.
Chadema; hawa jamaa hasa mbowe na slaa na zitto, wao ni makelele kama wanahubiri injili vile. Kwani ukiongea point ndo mpaka ufokefoke ndo ueleweke???

Ccm; hawa wanaongea pumba lakini kwa upole wa kuwatongoza wananchi na kutaka kura zao. Mfano ni jk, makamu wa raisi, pinda mizengo nk nk.
Makelele siyo ishu, wengine hatufungamani na upande wowote na tumechoshwa na siasa za tz za uwongo na uchwara.
Wananchi ndo tunaumia tu.
Sipendi kabisa na wana jf mliowanasiasa achenni mbwembwe na kufoka majukwaani. Kwani obama anafoka???
 
kwani Obama ndio nani mpaka kila kitu Obama?hujasikia anakashfa za ushoga?mbona hujamuiga kwa hilo?
 
kwani obama ndio nani mpaka kila kitu obama?hujasikia anakashfa za ushoga?mbona hujamuiga kwa hilo?

tunaiga mazuri.
Wewe haujawasoma vema cdm? Yaani kufoka tuu utadhani wachungaji wa makanisa ya kilokole. Kutishiana nyau tu. Siasa za tz ni feki.
 
Nimefuatilia upigaji wa kampeni za vyama mbalimbali.
Chadema; hawa jamaa hasa mbowe na slaa na zitto, wao ni makelele kama wanahubiri injili vile. Kwani ukiongea point ndo mpaka ufokefoke ndo ueleweke???

Ccm; hawa wanaongea pumba lakini kwa upole wa kuwatongoza wananchi na kutaka kura zao. Mfano ni jk, makamu wa raisi, pinda mizengo nk nk.
Makelele siyo ishu, wengine hatufungamani na upande wowote na tumechoshwa na siasa za tz za uwongo na uchwara.
Wananchi ndo tunaumia tu.
Sipendi kabisa na wana jf mliowanasiasa achenni mbwembwe na kufoka majukwaani. Kwani obama anafoka???

Unajua CDM lazima wahubiri kama kanisani, kwani ndio sera zao !
 
We kama huna cha kuandika ni bora uwe unapitia tu threads za wengine. Hadi leo hujui kwamba ccm ni kandamizi sana kwa maisha yetu? We hujui kwanini mtu akikanyagwa na mwenzie analalamika sana kwa maumivu anayoyapata? Kama unakanyagwa mguu na mwenzio unafikiri sauti ya kulalamika ili asiendelee kukukanyaga itakuwa ndogo? Jaribu kuwaonea huruma viongozi wa upinzani ambao ktk kutafuta ukombozi wetu wanapitia vikwazo vingi sana.
 
Nyie magamba mnatumia masaburi kufikiri; Hii nchi haiwezi kuendeshwa kwa kuchekacheka na masihara mengi kama mabwabwa, we need to put on some serious face and WORK! Kucheka na nyani ndy kunatufanya tuvune mabua! Akili zako za masaburini ndy zinakufanya ufikiri Marekani ilijengwa kwa kuchekacheka, ilijengwa kwa MACHOZI, JASHO NA DAMU!
 
Cdm wanapoint sana na malengo mazuri. Nakereka sana na wanavyotumia nguvu kutema cheche ona wahubiri wa kilokole yaani utadhani kapandwa na degedege la ukubwani bwana...... Wewe toa point zako bila hiyana wananchi tunajua zipi pumba na zipi ngano full stop
 
tunaiga mazuri.
Wewe haujawasoma vema cdm? Yaani kufoka tuu utadhani wachungaji wa makanisa ya kilokole. Kutishiana nyau tu. Siasa za tz ni feki.
Wewe unatumia style gani kuandika? Kama Obama?
 
Nimefuatilia upigaji wa kampeni za vyama mbalimbali.
Chadema; hawa jamaa hasa mbowe na slaa na zitto, wao ni makelele kama wanahubiri injili vile. Kwani ukiongea point ndo mpaka ufokefoke ndo ueleweke???

Ccm; hawa wanaongea pumba lakini kwa upole wa kuwatongoza wananchi na kutaka kura zao. Mfano ni jk, makamu wa raisi, pinda mizengo nk nk.
Makelele siyo ishu, wengine hatufungamani na upande wowote na tumechoshwa na siasa za tz za uwongo na uchwara.
Wananchi ndo tunaumia tu.
Sipendi kabisa na wana jf mliowanasiasa achenni mbwembwe na kufoka majukwaani. Kwani obama anafoka???

Inasikitisha sana ulianza vizuri umemalizia kwa style ya kupitia kwa"ina maana kuwa Ulitumia Masaburi hapa kwani Obama ndio nani hadi awe mfano wa kuigwa?
 
Nimefuatilia upigaji wa kampeni za vyama mbalimbali.
Chadema; hawa jamaa hasa mbowe na slaa na zitto, wao ni makelele kama wanahubiri injili vile. Kwani ukiongea point ndo mpaka ufokefoke ndo ueleweke???

Ccm; hawa wanaongea pumba lakini kwa upole wa kuwatongoza wananchi na kutaka kura zao. Mfano ni jk, makamu wa raisi, pinda mizengo nk nk.
Makelele siyo ishu, wengine hatufungamani na upande wowote na tumechoshwa na siasa za tz za uwongo na uchwara.
Wananchi ndo tunaumia tu.
Sipendi kabisa na wana jf mliowanasiasa achenni mbwembwe na kufoka majukwaani. Kwani obama anafoka???

Ulishawahi kumsikiliza Nyerere? Anaongeaje jukwaani?
 
Mie nadhani ukombozi hauji kwa upole..lazima uonyeshe ujasiri wa kuongea kama Chadema ndio utaupata..ninamuunga mkona mwana JF aliyechangia mtu akikukanyaga hutamjibu kwa upole lazima upandishe sauti ili aelewe alichokifanya sio sahihi..sasa Ccm wanachokifanya kwa wanainchi si sahihi ndio mana wanazidi kutuganyaga mana wanaichi wanajibu kwa upole tunakanyaga na giza la bila umeme karibu mwaka wa pili mgawo..unadhani wangejibu kama Misri au Tunisia na Lbya Mnatukanyagaaaaaaaaa?? si wangeelewa hapa tumekanyaga choo cha kiume?? acha Chadema wasikie nguvu ya mnyonge. Mie pia nadhani wewe ni mfurukutwa wa CCM una hisa nini?????
 
Mie nadhani ukombozi hauji kwa upole..lazima uonyeshe ujasiri wa kuongea kama Chadema ndio utaupata..ninamuunga mkona mwana JF aliyechangia mtu akikukanyaga hutamjibu kwa upole lazima upandishe sauti ili aelewe alichokifanya sio sahihi..sasa Ccm wanachokifanya kwa wanainchi si sahihi ndio mana wanazidi kutuganyaga mana wanaichi wanajibu kwa upole tunakanyaga na giza la bila umeme karibu mwaka wa pili mgawo..unadhani wangejibu kama Misri au Tunisia na Lbya Mnatukanyagaaaaaaaaa?? si wangeelewa hapa tumekanyaga choo cha kiume?? acha Chadema wasikie nguvu ya mnyonge. Mie pia nadhani wewe ni mfurukutwa wa CCM una hisa nini?????

mimi sina chama na si mwanasiasa, siasa haina msaada katika hii nchi maskini. nakereka sana wanasiasa wanavyotudanganya hovyo watu wazima. mpaka nafikia mahali simuamini mwanasiasa yoyote coz tu ni mtwanzania. tumejaaliwa roho za kukwamishana tu. wananchi wanaumia sana, nyie mpo mjini hamjaona uhalisia wa tz bwana, kuna watu tunanunua sukari kwa sh. 2500 mpaka 3000 huku nyie mnaishia kupiga makelele tu.
bora siku wanajeshi na wananchi tuingie msituni tu.....hao cdm, ccm, updp and the likes ni wahuni tu, wote wanaroho za kitanzania, hakuna mwenye uchungu na hii nchi.

wa tz tunakosa vitu viwili, 1. akili 2. uzalendo.
 
KILA THREAD YA KAWAIDA na kaudini ndani yake.............kwani hii nchio imerogwa na nani?....imerogwa na rostam ambaye hakamatiki? au na nani sasa......mbona magamba yapo lakini hayavuliwi akiwemo kikwete mwenyewe?..........ahaaaa



tunaiga mazuri.
Wewe haujawasoma vema cdm? Yaani kufoka tuu utadhani wachungaji wa makanisa ya kilokole. Kutishiana nyau tu. Siasa za tz ni feki.
 
Mh hawa wanasiasa tuwe nao makini sana! Madaraka yatatumaliza! Tuache ushabiki wa vyama tuungane tulikomboe taifa letu!
 
kila thread ya kawaida na kaudini ndani yake.............kwani hii nchio imerogwa na nani?....imerogwa na rostam ambaye hakamatiki? Au na nani sasa......mbona magamba yapo lakini hayavuliwi akiwemo kikwete mwenyewe?..........ahaaaa

tumerogwa hatunaubavu wa kuchukuwa hatua. Kutegemea cdm ije juu eti ishike dola ni kujidanganya kwa ushahidi wa serikali nyingi za africa ni wabishi sana.
Mpaka muachape ndo waondoke.
Tafakari
 
Nimefuatilia upigaji wa kampeni za vyama mbalimbali.
Chadema; hawa jamaa hasa mbowe na slaa na zitto, wao ni makelele kama wanahubiri injili vile. Kwani ukiongea point ndo mpaka ufokefoke ndo ueleweke???

Ccm; hawa wanaongea pumba lakini kwa upole wa kuwatongoza wananchi na kutaka kura zao. Mfano ni jk, makamu wa raisi, pinda mizengo nk nk.
Makelele siyo ishu, wengine hatufungamani na upande wowote na tumechoshwa na siasa za tz za uwongo na uchwara.
Wananchi ndo tunaumia tu.
Sipendi kabisa na wana jf mliowanasiasa achenni mbwembwe na kufoka majukwaani. Kwani obama anafoka???
Hivi Obama ni Bench mark!!!!!!!!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom