HAZOLE
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,551
- 708
Nimefuatilia upigaji wa kampeni za vyama mbalimbali.
Chadema; hawa jamaa hasa mbowe na slaa na zitto, wao ni makelele kama wanahubiri injili vile. Kwani ukiongea point ndo mpaka ufokefoke ndo ueleweke???
Ccm; hawa wanaongea pumba lakini kwa upole wa kuwatongoza wananchi na kutaka kura zao. Mfano ni jk, makamu wa raisi, pinda mizengo nk nk.
Makelele siyo ishu, wengine hatufungamani na upande wowote na tumechoshwa na siasa za tz za uwongo na uchwara.
Wananchi ndo tunaumia tu.
Sipendi kabisa na wana jf mliowanasiasa achenni mbwembwe na kufoka majukwaani. Kwani obama anafoka???
Chadema; hawa jamaa hasa mbowe na slaa na zitto, wao ni makelele kama wanahubiri injili vile. Kwani ukiongea point ndo mpaka ufokefoke ndo ueleweke???
Ccm; hawa wanaongea pumba lakini kwa upole wa kuwatongoza wananchi na kutaka kura zao. Mfano ni jk, makamu wa raisi, pinda mizengo nk nk.
Makelele siyo ishu, wengine hatufungamani na upande wowote na tumechoshwa na siasa za tz za uwongo na uchwara.
Wananchi ndo tunaumia tu.
Sipendi kabisa na wana jf mliowanasiasa achenni mbwembwe na kufoka majukwaani. Kwani obama anafoka???