Yombayomba
JF-Expert Member
- Aug 23, 2006
- 818
- 214
Naona sasa kumekucha ha ha, lakini si mawaziri wote wana nyumba Dodoma? sasa wanalipwa posho za nini? huu ni wizi wa mchanaPosho zitaibua mengi sana. Hivi mbunge wa Dodoma Mjini analipwa per diem?