wadau bado naikumbuka kauli ya kamanda, mwanasheria wa mnyika pale chadema square kama `chadema imetawala kila idara. Nikifatilia timu iliyopo mtwara na marekani ukweli vile karibia kunakucha au mnaonaje.........
Uamaanisha MERU kama Mwigulu au??Yeah...its true bro..CDM ni kama Barcelona, Vyenga na manjonjo kibao, at the end wanakuwa defeted na watu wenye focus!!
hakika! Chenga twawalaaa, lakini vp kuhusu ubingwa......mbona mmewaachia madrid?
yeah...its true bro..cdm ni kama barcelona, vyenga na manjonjo kibao, at the end wanakuwa defeted na watu wenye focus!!
Mkuu Rejao, kama sio wizi wa kura wa CCM nchi hii ingekuwa mikononi mwa CHADEMA siku nyingi!Yeah...its true bro..CDM ni kama Barcelona, Vyenga na manjonjo kibao, at the end wanakuwa defeted na watu wenye focus!!
Yeah...its true bro..CDM ni kama Barcelona, Vyenga na manjonjo kibao, at the end wanakuwa defeted na watu wenye focus!!
vipi leo mmechoma makanisa mangapi?
Sikufundishwa uhalifu..mkuuu nawe jipange kuchoma makanisa!
Mtaendelea kuwa na mawazo hayo. Sisi tunazidi kusonga mbeleMkuu Rejao, kama sio wizi wa kura wa CCM nchi hii ingekuwa mikononi mwa CHADEMA siku nyingi!
Raisi wenu wa huko yupo bado?Uamaanisha MERU kama Mwigulu au??
kwenda zako kule jehanamu ewe ibilisi mkuu. ewe mola majitu kama haya yanayonyonya watanzania hata wale maskini ni kuwapiga kwa upofu na ukiziwi kwa wakatimmoja.Mtaendelea kuwa na mawazo hayo. Sisi tunazidi kusonga mbele
wadau bado naikumbuka kauli ya kamanda, mwanasheria wa mnyika pale chadema square kama `chadema imetawala kila idara. Nikifatilia timu iliyopo mtwara na marekani ukweli vile karibia kunakucha au mnaonaje.........
Mungu hapendi masikini, anampenda mtu anayejishughulisha na kutumia opportuinities zilizopo. Pia Mungu huwa hapendi umwombee mwenzako mabaya, angalia hiyo hali isije ikakurudia mwenyewe!kwenda zako kule jehanamu ewe ibilisi mkuu. ewe mola majitu kama haya yanayonyonya watanzania hata wale maskini ni kuwapiga kwa upofu na ukiziwi kwa wakatimmoja.
Mtaendelea kuwa na mawazo hayo. Sisi tunazidi kusonga mbele
Mungu hapendi masikini, anampenda mtu anayejishughulisha na kutumia opportuinities zilizopo. Pia Mungu huwa hapendi umwombee mwenzako mabaya, angalia hiyo hali isije ikakurudia mwenyewe!
Mawazo mgando hayo..nyinyi mnatumia opportunity ipi hiyo zaidi ya kuwafisadi wananchi.Mungu anachukia mafisadi mno zaidi ya maskini asiyependa kujishughulisha..........gamba mkubwa