CHADEMA jifanyieni tathmini


Kumbe mliiba kura
 
upuuzi tuu si wanatafuta wa kumulaumu ili mradi tuu...ulinzi hawatoi na polisi hawawaamini kazi kulalamika tuu!!!

bado tuko hai tatizo ajira
 
Wale Red Brigades kazi yao ni nini?
 
Wale Red Brigades kazi yao ni nini?
Hahaaa.

For my money, they are just a ragtag copycat of CCM's Green Guard who have no training in VIP protection.

If they did, where were they?

How could they let such a high profile leader go about without a protective security detail even after he went public with his fear that he was being followed around by some car?!!

From the looks of it even the vehicle he was in doesn't appear to have been an armored one!

This should be a wake up call for them to reevaluate their security measures.
 
Hapa tunazungumzia emergency preparedness , contingencies etc achilia mbali uwepo wa chombo chenye jukumu LA ulinzi kikatiba, polisi. Hats kama wangekuwa hawatumiki kisiasa bado upinzani unatakiwa kuwa consciously alarted muda wote
Kwa nafasi ya TL, Hata kabla ya shambulizi alikua na ulinzi.

In short:- Ipo tofauti kubwa kati ya regular security versus security against arch enermy.

ikitokea unafahamu Adui anakuwinda, ndipo unagundua hata regular security ina mapungufu sana.

Maana adui anapokuja kwako anakua amesha assess ulinzi ulionao na sehemu gani wataachia mwanya ili akumalize.

Ndio maana:-
Unaweza nunua bastola ya kujilinda ukatembea nayo kama security. Lakini bado haufahamu adui atakuja muda gani na kwa style gani.

TL alitambua anafuatiliwa na gari nyeupe ya Polisi( which means Polisi walipaswa wamlinde uhai wake sio wamuue). Anaweza kua alijua wanamfuatilia ili wampate na Kosa.

Wakamzoesha hali hiyo mpaka muda anapigwa risasi. Hata kama ana bastola inaweza isimsaidie tena.

Omba uwe na Ulinzi lakini usiwe na adui.

Hapa Tanzania kuna Matajiri wengi wameuwawa si kwakua hawakua na walinzi bali walikua na maadui.
Mfano bilionea Erasto, Amran kombe, nk.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe unaweza ukaishi nchi za dunia ya kwanza lakini fikra zako zisiwe tofauti na yule anayeishi nchi za dunia ya tatu.

Sent from my Priceless H40-D00 Bombadier
 
Ww umesoma mpaka la ngapi?.Yaani Lissu ni raia wa kawaida? Lissu ni kiongozi mkubwa tena ni mwiba kwa serikali ya Ccm halafu ww unasema hilo ni jukimu la polisi ambao kutwa kucha mnawaita policcm? Hivi zinawatosha kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You have strikethroughs again. Was this intentional or a quirky glitch?

What's up with that?
 
You have strikethroughs again. Was this intentional or a quirky glitch?

What's up with that?
Huh...weird coz I used the JF app from my phone.

There must be something going on with the site, maybe.

But I know how to fix the issue now.
 
Viongozi wake wa juu hawakutaka kumpa ulinzi kwa sababu yeyw hatatoa pesa kupata nafasi ya kuwania uraisi.. hivyo hata viongozi wao wa usalama wanakuwa hawana la kufanya kama wa juu hawataki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…