CHADEMA jiandaeni kisaikolojia kupokea matokeo

CHADEMA jiandaeni kisaikolojia kupokea matokeo

Walivyo ving'ang'anizi Basi
Tunasubiri makelele ya malalamiko
 
Uchaguzi huu ni mwepesi kwa ccm kuliko chaguzi zote, au kwa mbaali unaweza kufanana na 2005 ushindi wa kikwete.

Upinzani wametuletea mgombea kituko, mpayukaji na kutukana hana hoja.
Wananchi kwa wengi tumemkataa. Tangu tareh 23 upepo umebadirika saiz anajuta kuwafahamu wa Tz.
 
Kampeni zimeenda salama salimini sasa imebaki kupigakura tu kesho na keshokutwa sasa kwa nini uwe na wasiwasi kuwa kupigakura tu ndiyo usiwe huru na haki? Uchaguzi ni process kuanzia kampenj mpaka kupigakura na kutoa matokeo mpaka sasa hivi uchaguzi ni huru na haki.
Mkishindwa mtakubali kupoteza ajira?.
 
Uchaguzi ukiwa huru na wa haki JIWE anarudi kwao UHUTU. Kachokwa.
Kulingana na kampeni zao nimeona Chadema wamekuwa na matumaini makubwa kupata kura nyingi katika uchaguzi huu mkuu. Ila kwa watu wenye upeo na wenye uwezo wa kuona mbali tunajua mgombea wao hatafikisha hata kura milioni 3 akipata sana 2.8 milioni ambapo hatafikia hata nusu ya kura alizopata Lowassa.

Chadema ningependa kuwashauri uchaguzi ujao mjifunze kutoka CCM kuandaa wagombea maana wagombea wenu ni yule anayeibuka tu hana maandalizi yeyote hajui kuwaambia Watanzania atawafanyia nini zaidi ya kutafuta sympathy za watu tu.

Hata kama angeshinda hakuna watu wa kutengeneza serikali kutoka Chadema hakuna watu wenye sifa hata za kuwa wakuu wa mikoa sembuse kuongoza wizara.

Jamani kuongoza nchi sio kitu cha kubahatisha nchi haiwezi kuongozwa na chama ambacho ofisi zake imepanga mtajengea nchi nini kama kujenga ofisi na ruzuku zote mnazopata mmeshindwa.

Wanachadema wote jiandaeni kisaikolojia kupokea matokeo mgombea wenu hatafikisha hata 20%.
 
Hizo kura za Chadema muwekee magufuli. Maana ukweli ni kwamba Tundu Lissu anaenda kuzoa kura zaidi ya asilimia 65
Ndugu yangu ushauri wangu wa bure kwako kama mtanzania mwenzangu, ukiona matokeo yameanza kutangazwa tu, kimbia uwe karibu na marafiki au jamaa zako, usikae peke yako, stress ina matokeo mabaya. Ushauri huu utakusaidia mengi. Tunahitaji tuendelee kukuona hapa tena hata baada ya uchaguzi. Maisha yataendelea ndani ya utawala mwingine wa miaka mitano ya JPM. Tunakupenda kama mtanzania mwenzetu.
 
Kulingana na kampeni zao nimeona CHADEMA wamekuwa na matumaini makubwa kupata kura nyingi katika uchaguzi huu mkuu. Ila kwa watu wenye upeo na wenye uwezo wa kuona mbali tunajua mgombea wao hatafikisha hata kura milioni 3 akipata sana 2.8 milioni ambapo hatafikia hata nusu ya kura alizopata Lowassa.

Chadema ningependa kuwashauri uchaguzi ujao mjifunze kutoka CCM kuandaa wagombea maana wagombea wenu ni yule anayeibuka tu hana maandalizi yeyote hajui kuwaambia Watanzania atawafanyia nini zaidi ya kutafuta sympathy za watu tu.

Hata kama angeshinda hakuna watu wa kutengeneza serikali kutoka CHADEMA hakuna watu wenye sifa hata za kuwa wakuu wa mikoa sembuse kuongoza wizara.

Jamani kuongoza nchi sio kitu cha kubahatisha nchi haiwezi kuongozwa na chama ambacho ofisi zake imepanga mtajengea nchi nini kama kujenga ofisi na ruzuku zote mnazopata mmeshindwa.

Wanachadema wote jiandaeni kisaikolojia kupokea matokeo mgombea wenu hatafikisha hata 20%.

We nani kakwambia
 
Kwa takribani siku kama tano hivi mfululizo chadema wanazidi kushuka umaarufu wao kwenye mitandao sijui shida ni nini
 
Mzee mbona jibu liko wazi mitaani au unakaa nje ya Tanzania? Watanzania wameamua kumpa kura za kishindo Dkt Magufuli. Survey zote zilizofanywa kisayansi zimethibitisha ushindi wa kati ya 86%-90% kwa JPM. Watanzania wamemkataa mwakilishi mkazi wa Mabeberu. Jumatano weka kura yako kwa JPM maisha yaendelee ukiwa na amani ya roho na upunguze stress wakati matokeo yanatangazwa au jiandae kisaikolojia

Hiyo survey ni bibi ako kafanya au,,
 
si kweli kwamba miongoni mwa watanzania M55+ eti M22 ni wanachama wa CCM si kweli hata kidogo...

Na wala si kweli nusu ya wa tz wamejiandikisha kura

Hapo NEC wanatuchezea kamchezo kasicho na jina
 
Na wala si kweli nusu ya wa tz wamejiandikisha kura

Hapo NEC wanatuchezea kamchezo kasicho na jina
Mwaka 2015 tulikuwa na wapiga kura waliojiandikisha 23 mil. Kwa nini isiwezekane baada ya miaka mitano kuwa na wapiga kura milioni 29? Kumbuka annual population growth ya Tanzania ni between 2.5-3%. Haya ni mahesabu rahisi tu ndugu yangu
 
Kulingana na kampeni zao nimeona CHADEMA wamekuwa na matumaini makubwa kupata kura nyingi katika uchaguzi huu mkuu. Ila kwa watu wenye upeo na wenye uwezo wa kuona mbali tunajua mgombea wao hatafikisha hata kura milioni 3 akipata sana 2.8 milioni ambapo hatafikia hata nusu ya kura alizopata Lowassa.

CHADEMA ningependa kuwashauri uchaguzi ujao mjifunze kutoka CCM kuandaa wagombea maana wagombea wenu ni yule anayeibuka tu hana maandalizi yeyote hajui kuwaambia Watanzania atawafanyia nini zaidi ya kutafuta sympathy za watu tu.

Hata kama angeshinda hakuna watu wa kutengeneza serikali kutoka CHADEMA hakuna watu wenye sifa hata za kuwa wakuu wa mikoa sembuse kuongoza wizara.

Jamani kuongoza nchi sio kitu cha kubahatisha nchi haiwezi kuongozwa na chama ambacho ofisi zake imepanga mtajengea nchi nini kama kujenga ofisi na ruzuku zote mnazopata mmeshindwa.

Wanachadema wote jiandaeni kisaikolojia kupokea matokeo mgombea wenu hatafikisha hata 20%.
Na hata CDM atakua na wabunge wa kutosha kwa wingi stahiki ili aweze kupata msukumo wake?Rais ambaye hana wingi stahiki wa wabunge atafanyeje kazi hasa pale ambapo unakuta anataka afanye mabadiliko makubwa?
 
Back
Top Bottom